CCM mmeridhika sasa? Bodi ya ligi ya tanganza kuufunga uwanja wa BMW kwa muda usiojulikana!

Wanasubiri mfalme wa murocco akijenga wa dodona.akija mfalme mwingine nao waombe
 
Hii ni sababu pia ya kutoipigia kura ccm kwa uharibifu na kutojali sekta ya michezo
 
Acha kudanganya wenzio, meneja wa uwanja wa mkapa alisema uwanja umefungwa kwa sababu wanategemea kupisha shughuli za kiserikali zitakazofanyika hapo na uwanja kwa ujumla uko vzr kila sehemu.
Mmmhh kumbe tunadanganywa [emoji1][emoji1][emoji1]siyo kweli sehemu ya kuchezea soka kwenye uwanja wa Mkapa una vipara .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…