CCM mmeteua au mmepinduana?

Mmeondolewa na hamna mtakachofanya. Mtabaki kubweka tu mitandoani.

True Keyboard warriors🤣🤣
 
Imekula kwako ulikuwa unashinda mtandaoni hapa kazi yako kutukana tu. Nenda kalime Mpunga huko Malinyi mashamba kibao. Kwani lazima Katibu uwe wewe?
 
 
Acha wajidanganye
Kujidanganya nini ?!!

Kwani ni Mara ya kwanza katika awamu zilizopita MWENYEKITI kufanya mabadiliko hayo?!!!Khaa😳😳😳🤣

#Kazi Inaendelea Kwa Kasi & Weledi Zaidi 💪
 
Hali ni tete huko CCM.
Timu Magufuli (Sukuma Gang) inang'olewa kwa kasi ya ajabu ili timu Samia (Mkojani gang) ili ipate nafasi.

Safari hii lazima mtoane roho.
 
CCM igawanyike leo ?!!

Igawanyike kwa kuwa MWENYEKITI amefanya mabadiliko ?!!!

Yaani kugawanyika huko ukujue wewe na asijue mwenyekiti ,washauri wake wa siasa na chama ?!!! Khaaa 😳😳😳🤣

Hiyo ni HOFU iliyo tu ndani ya moyo wako....iko tu ndani yako......

SIEMPRE JMT
 
Hali ni tete huko CCM.
Timu Magufuli (Sukuma Gang) inang'olewa kwa kasi ya ajabu ili timu Samia (Mkojani gang) ili ipate nafasi.

Safari hii lazima mtoane roho.
Hakuna wa kumzidi mwenyekiti CCM....hayupo huyo.....
 
Walimu wa dini?
Wewe jamaa una maradhi ya udini moyoni....si thread hii unaongea hayo.......kamueleze aliyekufundisha maradhi hayo kuwa kamwe TAIFA halibomoki kwa hiyo mioyo yenu dhaifu.......

SIEMPRE JMT
 
Hali ni tete huko CCM.
Timu Magufuli (Sukuma Gang) inang'olewa kwa kasi ya ajabu ili timu Samia (Mkojani gang) ili ipate nafasi.

Safari hii lazima mtoane roho.
Hiyo kitu inaitwa magufuli legacy ni kitu nzito sana labda mama amwage damu ya wazarendo 2000 hivi ndiyo atawezana nayo kuiondoa
 
😍
 
Mwenyekiti Taifa aliyetangulia alikuwa hana uzoefu wa kuendesha fitna za kisiasa ndani ya chama chake. Alikuwa ni mgeni na mwenye kukosa uzoefu na umakini.

Aliteua ama kuhakikisha teuzi nyingine za viongozi wengine dhaifu zaidi yake ili akapate kukiongoza chama chake kwa njia za bahati na sibu.
 
Tatzo mkiwa na vyeo mnajiona miungu watu mkivipoteza mnakuja kulia lia hapa Jf.

Shiiit.
 
Ccm ni kichaka cha wahuni kama wewe
Matusi ndio katiba ya chadema ndio maana mmebaki wahuni huko watu wa heshima wote walikwishaondoka.

Na bado ndugu wa Chacha Wangwe wanapanga kutaka uchunguzi wa kifo cha ndugu yao ufanyike upya.
Gaidi hachomoki!
 
Wanajali nini kama uchaguzi wenyewe ni wa Polisi na usalama wa taifa. Watendaji kwa sasa ni chawa tu hawana kazi!

Hapo ndo unafeli mkuu. Sisi tusio na vyama tuko huru sana katika kuona na kupima how serious watu wapo. Unabaki kama ….. visingizio. Tu. Offer us something. Huna. Majungu tu na lugha kama hizi. Huna sera. Huna candidate maneno tu. Unajifariji hapa JF na watu 10.
 
Matusi ndio katiba ya chadema ndio maana mmebaki wahuni huko watu wa heshima wote walikwishaondoka.

Na bado ndugu wa Chacha Wangwe wanapanga kutaka uchunguzi wa kifo cha ndugu yao ufanyike upya.
Gaidi hachomoki!
Corona ndiyo kiboko yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…