Uchaguzi 2020 CCM mnajitapa kuwang'oa wapinzani katika majimbo yao kwa gharama yoyote, hiyo gharama muitumie kuondoa umaskini kwa wananchi

Uchaguzi 2020 CCM mnajitapa kuwang'oa wapinzani katika majimbo yao kwa gharama yoyote, hiyo gharama muitumie kuondoa umaskini kwa wananchi

Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote.

Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?

Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?

Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.

UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...
Kipaumbele chetu si maendeleo ya hao wadanganyika,hao wameshazoe mafuriko,kipindupindu,kukosa dawa,barabara mbovu,Bora watoto wakacheze shule kuliko kushinda nyumbani na uchafu mwingine wowote,so kibaumbele kwa sasa ni kuwa madarakani kwa hiari yao au kwa nguvu
 
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote.

Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?

Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?

Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.

UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...
Umasikini ndiyo mtaji wa CCM, bila umasikini hakuna atakayewasikiliza ndiyo sababu kila siku wanajivunia nchi ya masikini na wanyonge.
 
Wale wananchi wa Kigoma na majimbo mengine chini ya upinzani tunataka kuyarudisha kundini nao wapate maendeleo kwa kasi kama wanyonge wenzao chini ya CCM. Hamuoni majimbo yaliyo chini ya CCM yalivyopiga hatua kimaendeleo chini ya chama cha wanyonge CCM?. CCM ni chama cha wanyonge hivyo lazima tuhakikishe wanyonge wote wanakuwa CCM.
Kilosa,Handeni,Dodoma yote n.k
 
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote.

Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?

Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?

Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.

UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...
Mkuu, ni ukweli uliokuwa wazi kuwa, kwa kadiri umaskini, ujinga na maradhi yanavyoongezeka miongoni mwa Watanzania, ndivyo pia ambavyo CCM inazidi kukubalika mno, na hasa maeneo ya vijijini, "and vice versa". Ama kwa lugha nyingine tunaweza kusema ni vitu pacha na vyenye kutegemeana katika uhakika maisha ya kila kimoja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote.

Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?

Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?

Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.

UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...
MIMI NINGEWASIFU CCM KAMA WANGESEMA TUTAONDOA UMASIKINI, UJINGA NA MARADHI KWA GHARAMA YOYOTE ILE. HAPO NINGEWASIFU. LAKINI KUJITAPA KUWA MTAFUTA WABUNGE WA UPINZANI SIYO HABARI NZURI KWETU MAANA HAPO NDIO UTAKUWA MWISHO WA KITU KIITWACHO TANZANIA.
 
Kipaumbele chetu si maendeleo ya hao wadanganyika,hao wameshazoe mafuriko,kipindupindu,kukosa dawa,barabara mbovu,Bora watoto wakacheze shule kuliko kushinda nyumbani na uchafu mwingine wowote,so kibaumbele kwa sasa ni kuwa madarakani kwa hiari yao au kwa nguvu
A very understanding satirical reply! Kama nawaona mataga wanavyojisikia vibaya kwa hoja hii inavyojengwa na kujibiwa kiufundi!
 
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote.

Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?

Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?

Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.

UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...
Halafu wakishinda, wana quote na biblia kwamba mamlaka imewekwa na Mungu, tuiheshimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote.

Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM hata kama hakushinda, kuwateka au kuwafunga wagombea wa upinzani, kuwaondoa katika fomu za wagombea?

Kama ni gharama yoyote (nguvu au pesa), iwekeni katika kuboresha maisha ya wananchi. Mmefanya siasa miaka minne mfululizo peke yenu lakini bado mnawaogopa wapinzani?

Zitto amezuiliwa Kigoma, ila Bashiru anafanya mikutano halafu anajitapa kumng'oa Zitto. Haha haaaa VITUKO VYA MWAKA.

UNAPIGANA NA MTU ULIYEMFUNGA PINGU MWILI MZIMA HALAFU UNAJIONA MSHINDI...
Tatizo bongo ni taifa la wajinga ndio maana waona na kusikia upumbavu wote huoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilosa,Handeni,Dodoma yote n.k
Wanyonge wanatambuliwa wakati wa kupiga kura kwenye kitabu changu cha ujasiliamali nimetaja chanzo rahisi cha kupata mtaji wa biashara ni toka kwa wanasiasa kipindi cha uchaguzi mkuu maana wengine hutumia gharama zozote ili washinde nikipindi kizuri cha mavuno kwa kutumia unafiki 'unapiga hela toka kwa wanasiasa'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
h
Somo la kufikiria lipo kila level, ShariaE. Umakini wako tu ndiyo utakufanya ujue somo la kufikiria lipo, sio shuleni tu, ila hata kwenye maisha yetu ya kila siku.

Tatizo mfumo wa elimu tulioupata wa Tanzania wengi ni ule unaohamasisha kukariri na ndiyo maana sishangai kuwa wengi wetu huwa hatufikirii ila tunakariri tu.

Kwa lugha nyepesi, Kufikiria ni somo ambalo ulifundishwa kuanzia nyumbani hadi leo ila linahitaji umakini tu kujua unafunzwa kufikiria. Naamini umenielewa sasa.
hata darasa la tatu kuna topc cjui ndo wanaiita "udadisi" or "probing issues"ambayo inamuhitaji mtu kufikir,ss huyu sungukuku kasomea ile elimu ya ngumbaru n mweupe kabixa kichwan
 
Back
Top Bottom