CCM mnapongeza wafanyakazi kuongezwa mishahara kwani imeongezwa tayari? Acheni siasa za kitapeli

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Wewe mwenezi wa CCM taifa unajitambua kweli? Mishahara haijaongezwa maana bado kuna majadiliano wewe unaleta uongo.
 
Viongozi wa ccm ni waongo na waonevu sana kwa watumishi wa umma.
 
Viongozi wa ccm ni waongo na waonevu sana kwa watumishi wa umma.
Sio waongo, bali wakulamiwa ni Vyama vya Wafanyakazi na hao wanachama, Wanachama ni waoga kuliko kitu chochote kile,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…