CCM mrudisheni Makonda kwenye uenezi, twanga pepeta ana pwaya

CCM mrudisheni Makonda kwenye uenezi, twanga pepeta ana pwaya

wakyl

Member
Joined
Mar 24, 2017
Posts
40
Reaction score
85
Kwa upepo wa kisiasa unavyo vuma hivi sasa, Makonda ni mtu sahihi kueneza sera za chama tawala kuelekea uchaguzi mkuu

Uzuri wa Makonda ni proactive

Ushauri wangu ni huo

Makonda na Polepole warudi kundini harak sana
 
Kwa upepo wa kisiasa unavyo vuma hivi sasa, Makonda ni mtu sahihi kueneza sera za chama tawala kuelekea uchaguzi mkuu

Uzuri wa Makonda ni proactive

Ushauri wangu ni huo

Makonda na Polepole warudi kundini harak sana
Bado hamjasema,
Mbona mtaomba hata wafu wafufuke!!
 
CPA Twanga Pepeta, Huyo Mzee Tyson
Hawatawaweza CDM, yaani Watakalishwa Asubuhi Sana
 
huyo makonda stahili za siasa zake hazina tofauti sana na Magu au Lissu ni watu wenye nyota kali ya kupendwa,wanasikilizwa,wanaogopwa na wana mamlaka pia wala hawaitaji kusombewa watu kwa malori kuja kuwasikiliza ..hivyo watu dizaini hiyo ni rahisi sana kung'ara zaidi ya boss kitu ambacho huko ccm hakitakiwi kumzidi umaarufu boss..huyo hawezi pewa hio nafasi yenye kumruhusu kuzunguka nchi nzima atamu outshine boss na vile boss mwenyewe alivyo mweupe hanaga hoja zenye mvuto zaidi ya mipasho tu atafunikwa vibaya mno
 
CCM sio mtu ni taasisi, kama unaamini Kuna mtu akikosekana basi CCM itayumba unajidanganya sana
 
huyo makonda stahili za siasa zake hazina tofauti sana na Magu au Lissu ni watu wenye nyota kali ya kupendwa,wanasikilizwa,wanaogopwa na wana mamlaka pia wala hawaitaji kusombewa watu kwa malori kuja kuwasikiliza ..hivyo watu dizaini hiyo ni rahisi sana kung'ara zaidi ya boss kitu ambacho huko ccm hakitakiwi kumzidi umaarufu boss..huyo hawezi pewa hio nafasi yenye kumruhusu kuzunguka nchi nzima atamu outshine boss na vile boss mwenyewe alivyo mweupe hanaga hoja zenye mvuto zaidi ya mipasho tu atafunikwa vibaya mno
napenda kukomenti kwa watu wenye akil kama wewe ndugu
 
Kwa upepo wa kisiasa unavyo vuma hivi sasa, Makonda ni mtu sahihi kueneza sera za chama tawala kuelekea uchaguzi mkuu

Uzuri wa Makonda ni proactive

Ushauri wangu ni huo

Makonda na Polepole warudi kundini harak sana
Makonda hana adabu hata ukuu wa mkoa bado hakustahili
 
huyo makonda stahili za siasa zake hazina tofauti sana na Magu au Lissu ni watu wenye nyota kali ya kupendwa,wanasikilizwa,wanaogopwa na wana mamlaka pia wala hawaitaji kusombewa watu kwa malori kuja kuwasikiliza ..hivyo watu dizaini hiyo ni rahisi sana kung'ara zaidi ya boss kitu ambacho huko ccm hakitakiwi kumzidi umaarufu boss..huyo hawezi pewa hio nafasi yenye kumruhusu kuzunguka nchi nzima atamu outshine boss na vile boss mwenyewe alivyo mweupe hanaga hoja zenye mvuto zaidi ya mipasho tu atafunikwa vibaya mno
Hii comment ni kama imeongea kila kitu nilichokuwa nawaza.

Chakuongezea tu.
Makonda hawezi kukaa chini ya mzanzibari. Siasa za Bara ni za moto hasa kitu ambacho Samia anatakiwa ajihoji sana kama anataka ccm ivuka ama iishie mikononi mwake.
 
Hii comment ni kama imeongea kila kitu nilichokuwa nawaza.

Chakuongezea tu.
Makonda hawezi kukaa chini ya mzanzibari. Siasa za Bara ni za moto hasa kitu ambacho Samia anatakiwa ajihoji sana kama anataka ccm ivuka ama iishie mikononi mwake.
Mkuu kwani sasa yupo nani??
sio chini ya mzanzibari??

Una uhakika siasa za bara ni moto kuliko za Zanzibar??

Hujui serikali ya Zanzibar ni ya umoja wa kitaifa kwa sababu ya siasa zake??
 
Kwa upepo wa kisiasa unavyo vuma hivi sasa, Makonda ni mtu sahihi kueneza sera za chama tawala kuelekea uchaguzi mkuu

Uzuri wa Makonda ni proactive

Ushauri wangu ni huo

Makonda na Polepole warudi kundini harak sana
Hizi siasa wakati mwingine zinahitaji dodoki, (please use social inference), kama huna dodoki ,.......
 
Back
Top Bottom