CCM msaidieni chawa wa Samia Kigogo 2014 aelewe Sheria za Nchi na aache kupost asivyovielewa huko X

CCM msaidieni chawa wa Samia Kigogo 2014 aelewe Sheria za Nchi na aache kupost asivyovielewa huko X

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndug John Heche kueleza jana kuwa CHADEMA wanaenda kuweka ushahidi na kuuelezea Umma namna taifa hili linavyoibiwa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo tenda za ununuzi za mradi wa SGR, chawa wa Samia na CCM amejitokeza kumtisha Heche eti atakamatwa na kushtakiwa aelezee amepata wapi nyaraka za Serikali ili kumtisha Heche na CHADEMA wasianike wazi wizi wanaoufanya CCM kwa taifa letu pendwa.

Nawaomba CCM mumueleze huyo Kigogo wenu, kuwa nchi hii kuna sheria maalum inayowalinda Watoa Taarifa za Ufisadi, Wizi na Uhalifu wote, hivyo ni vizuri ajifunze na asome mambo kabla ya kupost ujinga wake mitandaoni. Heche na CHADEMA wakitoa taarifa za Wizi unaofanyika huko Serikalini na CCM wanatakiwa kulindwa na sio kukamatwa na kushtakiwa.

Sheria hiyo inaitwa The Whisleblower and Witness Protection Act ( Sheria ya Ulinzi wa Watoa Taarifa na Mashahidi).

Mwisho kwa CCM na machawa wenu. Napenda kuwaeleza kuwa nchi yetu lazima iokolewe sasa dhidi ya udhalimu na wizi wa kutisha mnaoufanya. Taifa hili Mungu analipenda na ndo mana kila siku ananyanyua watu kwa ajili ya kulitetea.

Screenshot_20250222-101816_All PDF Reader.jpg


Lord denning,
Dubai
 
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndug John Heche kueleza jana kuwa CHADEMA wanaenda kuweka ushahidi na kuuelezea Umma namna taifa hili linavyoibiwa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo tenda za ununuzi za mradi wa SGR, chawa wa Samia na CCM amejitokeza kumtisha Heche eti atakamatwa na kushtakiwa aelezee amepata wapi nyaraka za Serikali ili kumtisha Heche na CHADEMA wasianike wazi wizi wanaoufanya CCM kwa taifa letu pendwa.

Nawaomba CCM mumueleze huyo Kigogo wenu, kuwa nchi hii kuna sheria maalum inayowalinda Watoa Taarifa za Ufisadi, Wizi na Uhalifu wote, hivyo ni vizuri ajifunze na asome mambo kabla ya kupost ujinga wake mitandaoni. Heche na CHADEMA wakitoa taarifa za Wizi unaofanyika huko Serikalini na CCM wanatakiwa kulindwa na sio kukamatwa na kushtakiwa.

Sheria hiyo inaitwa The Whisleblower and Witness Protection Act ( Sheria ya Ulinzi wa Watoa Taarifa na Mashahidi).

Mwisho kwa CCM na machawa wenu. Napenda kuwaeleza kuwa nchi yetu lazima iokolewe sasa dhidi ya udhalimu na wizi wa kutisha mnaoufanya. Taifa hili Mungu analipenda na ndo mana kila siku ananyanyua watu kwa ajili ya kulitetea.

View attachment 3245118

Lord denning,
Dubai
Huyo Kigogo2014 si ndio tulijulishwa kwamba tayari ametekwa na amemalizwa. Amefufuka au?
 
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndug John Heche kueleza jana kuwa CHADEMA wanaenda kuweka ushahidi na kuuelezea Umma namna taifa hili linavyoibiwa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo tenda za ununuzi za mradi wa SGR, chawa wa Samia na CCM amejitokeza kumtisha Heche eti atakamatwa na kushtakiwa aelezee amepata wapi nyaraka za Serikali ili kumtisha Heche na CHADEMA wasianike wazi wizi wanaoufanya CCM kwa taifa letu pendwa.

Nawaomba CCM mumueleze huyo Kigogo wenu, kuwa nchi hii kuna sheria maalum inayowalinda Watoa Taarifa za Ufisadi, Wizi na Uhalifu wote, hivyo ni vizuri ajifunze na asome mambo kabla ya kupost ujinga wake mitandaoni. Heche na CHADEMA wakitoa taarifa za Wizi unaofanyika huko Serikalini na CCM wanatakiwa kulindwa na sio kukamatwa na kushtakiwa.

Sheria hiyo inaitwa The Whisleblower and Witness Protection Act ( Sheria ya Ulinzi wa Watoa Taarifa na Mashahidi).

Mwisho kwa CCM na machawa wenu. Napenda kuwaeleza kuwa nchi yetu lazima iokolewe sasa dhidi ya udhalimu na wizi wa kutisha mnaoufanya. Taifa hili Mungu analipenda na ndo mana kila siku ananyanyua watu kwa ajili ya kulitetea.

View attachment 3245118

Lord denning,
Dubai
Gentleman,
sasa huyo muungwana si angeweka wazi kwanza namna ambavyo alikua anabeti kwa pupa mpaka akafilisika kabisa pension yake yote ya ubunge ili tuone chanzo cha tatizo la stress zake hata akafikia hatua ya kukosa pesa ya msosi wa siku na akaamua kurudi kuishi nyumbani kwa wazazi ingawa ni mtu nzima.

Na kule kwenye retreat ya kifahari sana bagamoyo viongozi wapya na viburidisho vyao walitumia milioni ngapi kujilipa posho achila mbali gharama za starehe walizokua wanakula huko?

si angeweka wazi mambo hayo kwanza na ingependeza zaidi aise 🐒
 
Kigogo alikuwaga yule wa Chadema ambaye Nafasi yake imechukuliwa na Nyagali 😂

Huyu wa Twitter ni kigogo wa Maria
 
Imagine unatoa uzi lakini hata huzijui 🤣🤣🤣🤣. Hii nchi ina wajinga wengi sana ambao wengine hata jamii inadhani wana akili
Sasa hapa mjinga ni nani kati ya wewe na mimi?

Kuna shida gani ukizitaja kwa mujibu wa hiyo sheria hiyo kama nilivyokuuliza ili kunionesha ujinga wangu? au umeshajishtukia kuwa huna jibu?🤣
 
Yule alijiteka?
Huoni mchezo wa kuisambaratisha CDM amefanikiwa, kwa kumtumia Mapank...

Sasaivi yeye ndio insider wa CDM huku akisema hana chama 😂...

Mapank ni mtu smart lakini kuna watu smart kwenye fitna kumliko.... Sasaivi wanamchangia dola mia mia baada ya miaka miwil wanamtelekeza
 
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndug John Heche kueleza jana kuwa CHADEMA wanaenda kuweka ushahidi na kuuelezea Umma namna taifa hili linavyoibiwa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo tenda za ununuzi za mradi wa SGR, chawa wa Samia na CCM amejitokeza kumtisha Heche eti atakamatwa na kushtakiwa aelezee amepata wapi nyaraka za Serikali ili kumtisha Heche na CHADEMA wasianike wazi wizi wanaoufanya CCM kwa taifa letu pendwa.

Nawaomba CCM mumueleze huyo Kigogo wenu, kuwa nchi hii kuna sheria maalum inayowalinda Watoa Taarifa za Ufisadi, Wizi na Uhalifu wote, hivyo ni vizuri ajifunze na asome mambo kabla ya kupost ujinga wake mitandaoni. Heche na CHADEMA wakitoa taarifa za Wizi unaofanyika huko Serikalini na CCM wanatakiwa kulindwa na sio kukamatwa na kushtakiwa.

Sheria hiyo inaitwa The Whisleblower and Witness Protection Act ( Sheria ya Ulinzi wa Watoa Taarifa na Mashahidi).

Mwisho kwa CCM na machawa wenu. Napenda kuwaeleza kuwa nchi yetu lazima iokolewe sasa dhidi ya udhalimu na wizi wa kutisha mnaoufanya. Taifa hili Mungu analipenda na ndo mana kila siku ananyanyua watu kwa ajili ya kulitetea.

View attachment 3245118
Nawaomba CCM mumueleze huyo Kigogo wenu, kuwa nchi hii kuna sheria maalum inayowalinda Watoa Taarifa za Ufisadi, Wizi na Uhalifu wote, hivyo ni vizuri ajifunze na asome mambo kabla ya kupost ujinga wake mitandaoni. Heche na CHADEMA wakitoa taarifa za Wizi unaofanyika huko Serikalini na CCM wanatakiwa kulindwa na sio kukamatwa na kushtakiwa.

Lord denning,
Dubai
 
Sasa hapa mjinga ni nani kati ya wewe na mimi?

Kuna shida gani ukizitaja kwa mujibu wa hiyo sheria hiyo kama nilivyokuuliza ili kunionesha ujinga wangu? au umeshajishtukia kuwa huna jibu?🤣
Mjinga ni wewe unayeclaim kitu ambacho hukijui. Kubali ujinga wako then ndo nitakuelewesha
 
Mjinga ni wewe unayeclaim kitu ambacho hukijui. Kubali ujinga wako then ndo nitakuelewesha
Nakuhalikishia hata nikikupa miaka 5, huwezi kuniletea hicho kifungu kinachosema hayo.

Wewe ni mjinga na kwa sababu siwezi endelea kupoteza muda wangu kujibishana na mjinga, naishia hapa.
 
Kigogo ni mwehu tu
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndug John Heche kueleza jana kuwa CHADEMA wanaenda kuweka ushahidi na kuuelezea Umma namna taifa hili linavyoibiwa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo tenda za ununuzi za mradi wa SGR, chawa wa Samia na CCM amejitokeza kumtisha Heche eti atakamatwa na kushtakiwa aelezee amepata wapi nyaraka za Serikali ili kumtisha Heche na CHADEMA wasianike wazi wizi wanaoufanya CCM kwa taifa letu pendwa.

Nawaomba CCM mumueleze huyo Kigogo wenu, kuwa nchi hii kuna sheria maalum inayowalinda Watoa Taarifa za Ufisadi, Wizi na Uhalifu wote, hivyo ni vizuri ajifunze na asome mambo kabla ya kupost ujinga wake mitandaoni. Heche na CHADEMA wakitoa taarifa za Wizi unaofanyika huko Serikalini na CCM wanatakiwa kulindwa na sio kukamatwa na kushtakiwa.

Sheria hiyo inaitwa The Whisleblower and Witness Protection Act ( Sheria ya Ulinzi wa Watoa Taarifa na Mashahidi).

Mwisho kwa CCM na machawa wenu. Napenda kuwaeleza kuwa nchi yetu lazima iokolewe sasa dhidi ya udhalimu na wizi wa kutisha mnaoufanya. Taifa hili Mungu analipenda na ndo mana kila siku ananyanyua watu kwa ajili ya kulitetea.

View attachment 3245118

Lord denning,
Dubai
 
Back
Top Bottom