Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Since 1960s ?Mama anaendelea kufungua nchi taratibu. Maendeleo hayaji tuu kwa haraka it takes time!
Siyo kwa watanzania hawa wa sasa, ni bure kabisa.Soon soo soon watajikuta hawana kitu mitaani
Mleta mada njoo uone hii takataka.Mama anaendelea kufungua nchi taratibu. Maendeleo hayaji tuu kwa haraka it takes time!
Tunaendelea na safarilile neno hipo siku tutaongea lugha moja naona limefikia asilimia 79% bado kidogo kukamlika ikifika 2025
BaaaassiiiNdio sababu ht ukiwauliza mnatupeleka wapi ?, Hawajui.
Ni wazi kabisa chama kimejaa wanaowaza kuiba tu na kusubiri chaguzi na teuzi ili wazid kuiba .