CCM msijifanye nunda kupuuza Jamii Forum, Chadema wanabamba sana.

CCM msijifanye nunda kupuuza Jamii Forum, Chadema wanabamba sana.

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
ZAMA zimebadilika sana. Siasa za majukwaani zipo lakini ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii nayo ina nafasi kubwa sana Kwa sasa. Na si kila mtandao unafaa kufikisha ujumbe.

Jamii Forum ni jukwaa muhimu mno kufanya siasa kutoa hoja na kujibu hoja maana JF kuna wajinga wachache tofauti na Facebook. Lakini utafiti mdogo nilioufanya ni kwamba asilimia 70 ya Uzi zinazopandishwa hapa ni zile zenye maudhui ya Chadema. Na ujumbe wao unapenya mno. CCM mmebaki na vikao vya ndani, shauri yenu chelewa-chelewa utakuta mwana si wako na uhuru huu wa mikutano.

Magrupu ya WhatsApp haitoshi maana huko mko peke yenu chumbani hamna challenge. Sophia Mgema amepwaya msaidieni hawezi spana za kina Lissu, Mbowe, Lema, Slaa nk. Chukueni hilo.
 
ZAMA zimebadilika sana. Siasa za majukwaani zipo lakini ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii nayo ina nafasi kubwa sana Kwa sasa. Na si kila mtandao unafaa kufikisha ujumbe.

Jamii Forum ni jukwaa muhimu mno kufanya siasa kutoa hoja na kujibu hoja maana JF kuna wajinga wachache tofauti na Facebook. Lakini utafiti mdogo nilioufanya ni kwamba asilimia 70 ya Uzi zinazopandishwa hapa ni zile zenye maudhui ya Chadema. Na ujumbe wao unapenya mno. CCM mmebaki na vikao vya ndani, shauri yenu chelewa-chelewa utakuta mwana si wako na uhuru huu wa mikutano.

Magrupu ya WhatsApp haitoshi maana huko mko peke yenu chumbani hamna challenge. Sophia Mgema amepwaya msaidieni hawezi spana za kina Lissu, Mbowe, Lema, Slaa nk. Chukueni hilo.
Bajeti ya buku saba imeondolewa
 
Hii ni tathmini ya kusikitisha juu ya wapinzani kujifariji na mitandao ya kijamii.

I) Mitandao ya kijamii imejaza kundi la watu wasio na vigezo vya kupiga kura kwa maana ya kwamba umri wao hauwaruhusu kupiga. Kundi hili linadanganya ukweli halisi .

ii) Kuna watu Wana akaunti zaidi ya moja hivyo kama idadi ya watu waliojiunga ukiona ni 500,000 tambua katika uhalisia ni 100,000 tu. Ukitembea na fikra ya watu 500000 ukaamini ni sahihi unajidanganya mwenyewe.

iii) Mitandaoni sio sehemu ya kufanyia siasa. Marekani na teknolojia kuwa ya mawasiliano waliyonayo lakini kampeni wala siasa hazifanyiki mitandaoni

iv) sikatai mitandao Ina-influence kubwa lakini siasa safi ni zile za majukwaani licha ya kwamba na Mimi ni mdau wa saisa za mitandaoni kwa sababu ya gharama ya siasa za majukwaani.
 
Wanabamba kwa hoja zipi?

Hata shetani huwa anabamba sana kanisani, lakini anabamba kwa lipi?
 
ZAMA zimebadilika sana. Siasa za majukwaani zipo lakini ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii nayo ina nafasi kubwa sana Kwa sasa. Na si kila mtandao unafaa kufikisha ujumbe.

Jamii Forum ni jukwaa muhimu mno kufanya siasa kutoa hoja na kujibu hoja maana JF kuna wajinga wachache tofauti na Facebook. Lakini utafiti mdogo nilioufanya ni kwamba asilimia 70 ya Uzi zinazopandishwa hapa ni zile zenye maudhui ya Chadema. Na ujumbe wao unapenya mno. CCM mmebaki na vikao vya ndani, shauri yenu chelewa-chelewa utakuta mwana si wako na uhuru huu wa mikutano.

Magrupu ya WhatsApp haitoshi maana huko mko peke yenu chumbani hamna challenge. Sophia Mgema amepwaya msaidieni hawezi spana za kina Lissu, Mbowe, Lema, Slaa nk. Chukueni hilo.
Ila kiukweli,

CCM huku ground hawajapenda sa100 kuhudhuria mkutano wa CDM.

Wamenunaaaaaaaa!!!!
 
ZAMA zimebadilika sana. Siasa za majukwaani zipo lakini ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii nayo ina nafasi kubwa sana Kwa sasa. Na si kila mtandao unafaa kufikisha ujumbe.

Jamii Forum ni jukwaa muhimu mno kufanya siasa kutoa hoja na kujibu hoja maana JF kuna wajinga wachache tofauti na Facebook. Lakini utafiti mdogo nilioufanya ni kwamba asilimia 70 ya Uzi zinazopandishwa hapa ni zile zenye maudhui ya Chadema. Na ujumbe wao unapenya mno. CCM mmebaki na vikao vya ndani, shauri yenu chelewa-chelewa utakuta mwana si wako na uhuru huu wa mikutano.

Magrupu ya WhatsApp haitoshi maana huko mko peke yenu chumbani hamna challenge. Sophia Mgema amepwaya msaidieni hawezi spana za kina Lissu, Mbowe, Lema, Slaa nk. Chukueni hilo.
Nadhani huielewi CCM wala Sophia Mjema
 
ZAMA zimebadilika sana. Siasa za majukwaani zipo lakini ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii nayo ina nafasi kubwa sana Kwa sasa. Na si kila mtandao unafaa kufikisha ujumbe.

Jamii Forum ni jukwaa muhimu mno kufanya siasa kutoa hoja na kujibu hoja maana JF kuna wajinga wachache tofauti na Facebook. Lakini utafiti mdogo nilioufanya ni kwamba asilimia 70 ya Uzi zinazopandishwa hapa ni zile zenye maudhui ya Chadema. Na ujumbe wao unapenya mno. CCM mmebaki na vikao vya ndani, shauri yenu chelewa-chelewa utakuta mwana si wako na uhuru huu wa mikutano.

Magrupu ya WhatsApp haitoshi maana huko mko peke yenu chumbani hamna challenge. Sophia Mgema amepwaya msaidieni hawezi spana za kina Lissu, Mbowe, Lema, Slaa nk. Chukueni hilo.
Na johnthebaptist ndio kinara wa kuipenda CDM na haishi kuleta threads kuhusu CDM!!
 
Wanabamba kwa hoja zipi?

Hata shetani huwa anabamba sana kanisani, lakini anabamba kwa lipi?
Labda hoja za kutongoza mademu (Mbowe); Visa ya ubelgiji (Lissu) boda boda ajira ya laana (Lema), nililipwa 272 m (Heche)Appreciate na praise (Sugu)
 
iv) sikatai mitandao Ina-influence kubwa lakini siasa safi ni zile za majukwaani licha ya kwamba na Mimi ni mdau wa saisa za mitandaoni kwa sababu ya gharama ya siasa za majukwaani.
Mbona unaji-contradict, page hio hio inakubali mara inakataa. Kuwa straight kama mleta mada
 
Hii ni tathmini ya kusikitisha juu ya wapinzani kujifariji na mitandao ya kijamii.

I) Mitandao ya kijamii imejaza kundi la watu wasio na vigezo vya kupiga kura kwa maana ya kwamba umri wao hauwaruhusu kupiga. Kundi hili linadanganya ukweli halisi .

ii) Kuna watu Wana akaunti zaidi ya moja hivyo kama idadi ya watu waliojiunga ukiona ni 500,000 tambua katika uhalisia ni 100,000 tu. Ukitembea na fikra ya watu 500000 ukaamini ni sahihi unajidanganya mwenyewe.

iii) Mitandaoni sio sehemu ya kufanyia siasa. Marekani na teknolojia kuwa ya mawasiliano waliyonayo lakini kampeni wala siasa hazifanyiki mitandaoni

iv) sikatai mitandao Ina-influence kubwa lakini siasa safi ni zile za majukwaani licha ya kwamba na Mimi ni mdau wa saisa za mitandaoni kwa sababu ya gharama ya siasa za majukwaani.
Muongo muongo wewe ni muongo
 
ZAMA zimebadilika sana. Siasa za majukwaani zipo lakini ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii nayo ina nafasi kubwa sana Kwa sasa. Na si kila mtandao unafaa kufikisha ujumbe.

Jamii Forum ni jukwaa muhimu mno kufanya siasa kutoa hoja na kujibu hoja maana JF kuna wajinga wachache tofauti na Facebook. Lakini utafiti mdogo nilioufanya ni kwamba asilimia 70 ya Uzi zinazopandishwa hapa ni zile zenye maudhui ya Chadema. Na ujumbe wao unapenya mno. CCM mmebaki na vikao vya ndani, shauri yenu chelewa-chelewa utakuta mwana si wako na uhuru huu wa mikutano.

Magrupu ya WhatsApp haitoshi maana huko mko peke yenu chumbani hamna challenge. Sophia Mgema amepwaya msaidieni hawezi spana za kina Lissu, Mbowe, Lema, Slaa nk. Chukueni hilo.
CCM ina namna moja tu ya kufanya Watanzania wajisahau. Njia hiyo ni kuutumia mwenge upumbazao
 
Mchwa wa CHADEMA mitandaoni wamewashtua?😂
 
Back
Top Bottom