CCM Msijitoe ufahamu mtu pekee aliyekuwa nawabeba ni Magufuli! Sasa hayupo jiandaeni kisaikolojia!

CCM Msijitoe ufahamu mtu pekee aliyekuwa nawabeba ni Magufuli! Sasa hayupo jiandaeni kisaikolojia!

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa chama cha mapinduzi 2015 wananchi walikuwa wameshakikataa kwa kuchoshwa na rushwa iliyokithiri ya utawala wa kipindi hicho!Ujio wa Magufuli ambaye tayari alikuwa ameshajipambanua kwa wananchi kwa uchapakazi wake kuliwafanya baadhi ya watanzania kurudisha moto! Hiyo hali ilipelekea kwa CCM kuheshimika tena kwa watanzania walio wengi na kupungua kama sio kuisha kabisa tabia ya kuwazomea watu waliokuwa wakivaa sare za CCM. Nimachokiona sasa mtaani ni hali ile ya 2015 na kibaya zaidi ndani ya CCM hii hakuna mtu kwenye ushawishi aliyejipambanua kwa wananchi kama iliyokuwa Magufuli ingawa wote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa na mabaya na mema yake!. Kwa hiyo CCM hii ijiandae kisaikolojia si kwa kuwatisha ila kuwaambia ukweli wananchi hawa wanahiyaji mtu wa kuwatetea na anayeaminika kwa vitendo sio projo.Uchaguzi wenu wa ndani ya chama mwakani muwe makini kuna uwezekano mkawapoteza vijana wengi na kuweka wazee matajiri kupitia rushwa na hapo ndo mazishi rasmi ya CCM yatakapoanzia kabla ya 2025.Uwepo wa kikundi cha watu wanaojidai ndo wenye chama wakati walishashindwa kujipambanua kwa wananchi na wanafahamika kuwa ni mafisadi ni kuizika CCM. Kipindi cha nyuma hawa wazee wanaojiita ndo kwenye chama ndo walikuwa wamegawana mali za CCM wakila watakavyo huku wakichekelea na kujitwika uzalendo mfu uliojaa unafiki wa hali ya juu!
 
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa chama cha mapinduzi 2015 wananchi walikuwa wameshakikataa kwa kuchoshwa na rushwa iliyokithiri ya utawala wa kipindi hicho!Ujio wa Magufuli ambaye tayari alikuwa ameshajipambanua kwa wananchi kwa uchapakazi wake kuliwafanya baadhi ya watanzania kurudisha moto! Hiyo hali ilipelekea kwa CCM kuheshimika tena kwa watanzania walio wengi na kupungua kama sio kuisha kabisa tabia ya kuwazomea watu waliokuwa wakivaa sare za CCM. Nimachokiona sasa mtaani ni hali ile ya 2015 na kibaya zaidi ndani ya CCM hii hakuna mtu kwenye ushawishi aliyejipambanua kwa wananchi kama iliyokuwa Magufuli ingawa wote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa na mabaya na mema yake!. Kwa hiyo CCM hii ijiandae kisaikolojia si kwa kuwatisha ila kuwaambia ukweli wananchi hawa wanahiyaji mtu wa kuwatetea na anayeaminika kwa vitendo sio projo.Uchaguzi wenu wa ndani ya chama mwakani muwe makini kuna uwezekano mkawapoteza vijana wengi na kuweka wazee matajiri kupitia rushwa na hapo ndo mazishi rasmi ya CCM yatakapoanzia kabla ya 2025.Uwepo wa kikundi cha watu wanaojidai ndo wenye chama wakati walishashindwa kujipambanua kwa wananchi na wanafahamika kuwa ni mafisadi ni kuizika CCM. Kipindi cha nyuma hawa wazee wanaojiita ndo kwenye chama ndo walikuwa wamegawana mali za CCM wakila watakavyo huku wakichekelea na kujitwika uzalendo mfu uliojaa unafiki wa hali ya juu!
Mama kama atagombe 2025 yatamtokea ya Joyce Banda. Mama njia zao zinafanana.
 
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa chama cha mapinduzi 2015 wananchi walikuwa wameshakikataa kwa kuchoshwa na rushwa iliyokithiri ya utawala wa kipindi hicho!Ujio wa Magufuli ambaye tayari alikuwa ameshajipambanua kwa wananchi kwa uchapakazi wake kuliwafanya baadhi ya watanzania kurudisha moto! Hiyo hali ilipelekea kwa CCM kuheshimika tena kwa watanzania walio wengi na kupungua kama sio kuisha kabisa tabia ya kuwazomea watu waliokuwa wakivaa sare za CCM. Nimachokiona sasa mtaani ni hali ile ya 2015 na kibaya zaidi ndani ya CCM hii hakuna mtu kwenye ushawishi aliyejipambanua kwa wananchi kama iliyokuwa Magufuli ingawa wote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa na mabaya na mema yake!. Kwa hiyo CCM hii ijiandae kisaikolojia si kwa kuwatisha ila kuwaambia ukweli wananchi hawa wanahiyaji mtu wa kuwatetea na anayeaminika kwa vitendo sio projo.Uchaguzi wenu wa ndani ya chama mwakani muwe makini kuna uwezekano mkawapoteza vijana wengi na kuweka wazee matajiri kupitia rushwa na hapo ndo mazishi rasmi ya CCM yatakapoanzia kabla ya 2025.Uwepo wa kikundi cha watu wanaojidai ndo wenye chama wakati walishashindwa kujipambanua kwa wananchi na wanafahamika kuwa ni mafisadi ni kuizika CCM. Kipindi cha nyuma hawa wazee wanaojiita ndo kwenye chama ndo walikuwa wamegawana mali za CCM wakila watakavyo huku wakichekelea na kujitwika uzalendo mfu uliojaa unafiki wa hali ya juu!
Nikisema wewe hauna Akili, nitakuwa nimekosea?
 
Kimewadodea.Tupumzishe mioyo kulipuka kwa vitisho vya maagenti wa mwendazake.Uchumi mgumu bado watu wakutishie hovyohovyo
 
CCM wepesi sana…tatizo wanatumia mabavu sana wakiona maji yamefika shingoni ila ipo siku…arobaini yao ikifika kuna chuma kitapatikana ataipasua katikati ...hapo ndio ngoma ita noga…
 
Rushwa ilikuwepo, bado ipo, na itaendelea kuwepo. Hata wananchi waliochoka na rushwa wakipata fursa nao watakula rushwa. Uzalendo aliotaka kuujenga Nyerere umeshindikana tena ulishindikana yeye bado yuko hai. Watu walikula rushwa mbele ya Nyerere akabaki kupiga kelele. Kama umechoka na rushwa hama nchi kuliko kufikiria kuna serikali au rais atakuja kupambana na rushwa na kushinda. Siyo nchi hii.
 
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa chama cha mapinduzi 2015 wananchi walikuwa wameshakikataa kwa kuchoshwa na rushwa iliyokithiri ya utawala wa kipindi hicho!Ujio wa Magufuli ambaye tayari alikuwa ameshajipambanua kwa wananchi kwa uchapakazi wake kuliwafanya baadhi ya watanzania kurudisha moto! Hiyo hali ilipelekea kwa CCM kuheshimika tena kwa watanzania walio wengi na kupungua kama sio kuisha kabisa tabia ya kuwazomea watu waliokuwa wakivaa sare za CCM. Nimachokiona sasa mtaani ni hali ile ya 2015 na kibaya zaidi ndani ya CCM hii hakuna mtu kwenye ushawishi aliyejipambanua kwa wananchi kama iliyokuwa Magufuli ingawa wote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa na mabaya na mema yake!. Kwa hiyo CCM hii ijiandae kisaikolojia si kwa kuwatisha ila kuwaambia ukweli wananchi hawa wanahiyaji mtu wa kuwatetea na anayeaminika kwa vitendo sio projo.Uchaguzi wenu wa ndani ya chama mwakani muwe makini kuna uwezekano mkawapoteza vijana wengi na kuweka wazee matajiri kupitia rushwa na hapo ndo mazishi rasmi ya CCM yatakapoanzia kabla ya 2025.Uwepo wa kikundi cha watu wanaojidai ndo wenye chama wakati walishashindwa kujipambanua kwa wananchi na wanafahamika kuwa ni mafisadi ni kuizika CCM. Kipindi cha nyuma hawa wazee wanaojiita ndo kwenye chama ndo walikuwa wamegawana mali za CCM wakila watakavyo huku wakichekelea na kujitwika uzalendo mfu uliojaa unafiki wa hali ya juu!
Chama cha ccm mara ya mwisho kilikuwepo 2014. Baada ya hapo ni wahuni tu
 
CCM wepesi sana…tatizo wanatumia mabavu sana wakiona maji yamefika shingoni ila ipo siku…arobaini yao ikifika kuna chuma kitapatikana ataipasua katikati ...hapo ndio ngoma ita noga…
Siku za mwizi ni arobain. Kabla hatujafa tutashuhudia anguko la ccm
 
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa chama cha mapinduzi 2015 wananchi walikuwa wameshakikataa kwa kuchoshwa na rushwa iliyokithiri ya utawala wa kipindi hicho!Ujio wa Magufuli ambaye tayari alikuwa ameshajipambanua kwa wananchi kwa uchapakazi wake kuliwafanya baadhi ya watanzania kurudisha moto! Hiyo hali ilipelekea kwa CCM kuheshimika tena kwa watanzania walio wengi na kupungua kama sio kuisha kabisa tabia ya kuwazomea watu waliokuwa wakivaa sare za CCM. Nimachokiona sasa mtaani ni hali ile ya 2015 na kibaya zaidi ndani ya CCM hii hakuna mtu kwenye ushawishi aliyejipambanua kwa wananchi kama iliyokuwa Magufuli ingawa wote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa na mabaya na mema yake!. Kwa hiyo CCM hii ijiandae kisaikolojia si kwa kuwatisha ila kuwaambia ukweli wananchi hawa wanahiyaji mtu wa kuwatetea na anayeaminika kwa vitendo sio projo.Uchaguzi wenu wa ndani ya chama mwakani muwe makini kuna uwezekano mkawapoteza vijana wengi na kuweka wazee matajiri kupitia rushwa na hapo ndo mazishi rasmi ya CCM yatakapoanzia kabla ya 2025.Uwepo wa kikundi cha watu wanaojidai ndo wenye chama wakati walishashindwa kujipambanua kwa wananchi na wanafahamika kuwa ni mafisadi ni kuizika CCM. Kipindi cha nyuma hawa wazee wanaojiita ndo kwenye chama ndo walikuwa wamegawana mali za CCM wakila watakavyo huku wakichekelea na kujitwika uzalendo mfu uliojaa unafiki wa hali ya juu!
Dar kwa hakiki umesema ukweli kabisa mungu akubariki .wacha wajitoe ufahamu tuone , kama akina bulembo na nape watatoboa kwa kijeli za kila aina eti mama antifungal nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa chama cha mapinduzi 2015 wananchi walikuwa wameshakikataa kwa kuchoshwa na rushwa iliyokithiri ya utawala wa kipindi hicho!Ujio wa Magufuli ambaye tayari alikuwa ameshajipambanua kwa wananchi kwa uchapakazi wake kuliwafanya baadhi ya watanzania kurudisha moto! Hiyo hali ilipelekea kwa CCM kuheshimika tena kwa watanzania walio wengi na kupungua kama sio kuisha kabisa tabia ya kuwazomea watu waliokuwa wakivaa sare za CCM. Nimachokiona sasa mtaani ni hali ile ya 2015 na kibaya zaidi ndani ya CCM hii hakuna mtu kwenye ushawishi aliyejipambanua kwa wananchi kama iliyokuwa Magufuli ingawa wote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa na mabaya na mema yake!. Kwa hiyo CCM hii ijiandae kisaikolojia si kwa kuwatisha ila kuwaambia ukweli wananchi hawa wanahiyaji mtu wa kuwatetea na anayeaminika kwa vitendo sio projo.Uchaguzi wenu wa ndani ya chama mwakani muwe makini kuna uwezekano mkawapoteza vijana wengi na kuweka wazee matajiri kupitia rushwa na hapo ndo mazishi rasmi ya CCM yatakapoanzia kabla ya 2025.Uwepo wa kikundi cha watu wanaojidai ndo wenye chama wakati walishashindwa kujipambanua kwa wananchi na wanafahamika kuwa ni mafisadi ni kuizika CCM. Kipindi cha nyuma hawa wazee wanaojiita ndo kwenye chama ndo walikuwa wamegawana mali za CCM wakila watakavyo huku wakichekelea na kujitwika uzalendo mfu uliojaa unafiki wa hali ya juu!
Jecha alifuta uchaguzi wa Zanzibar 2015 na TB Joshua inasemekana alikuja Tanzania kumtuliza Lowassa.
 
Wajane wa Jiwe siku mtapokubaliana na ukweli kuwa Jamaa yenu kafa na harudi tena ndipo mtapopata tulizo la moyo, zaidi ya hivyo mnajitesa tu bila sababu! Jiwe kafa, kaenda na mambo yake, msilazimishe waliopo waishi/wafanye kama Jiwe! Ni kama vile yeye hakulazimishwa kufanya kama watangulizi wake
 
Waache tu wajidanganye! ila bado wanajibanzabanza kwenye kivuri Cha JPM,tumeshawajua janja yao.
 
Ka
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa chama cha mapinduzi 2015 wananchi walikuwa wameshakikataa kwa kuchoshwa na rushwa iliyokithiri ya utawala wa kipindi hicho!Ujio wa Magufuli ambaye tayari alikuwa ameshajipambanua kwa wananchi kwa uchapakazi wake kuliwafanya baadhi ya watanzania kurudisha moto! Hiyo hali ilipelekea kwa CCM kuheshimika tena kwa watanzania walio wengi na kupungua kama sio kuisha kabisa tabia ya kuwazomea watu waliokuwa wakivaa sare za CCM. Nimachokiona sasa mtaani ni hali ile ya 2015 na kibaya zaidi ndani ya CCM hii hakuna mtu kwenye ushawishi aliyejipambanua kwa wananchi kama iliyokuwa Magufuli ingawa wote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa na mabaya na mema yake!. Kwa hiyo CCM hii ijiandae kisaikolojia si kwa kuwatisha ila kuwaambia ukweli wananchi hawa wanahiyaji mtu wa kuwatetea na anayeaminika kwa vitendo sio projo.Uchaguzi wenu wa ndani ya chama mwakani muwe makini kuna uwezekano mkawapoteza vijana wengi na kuweka wazee matajiri kupitia rushwa na hapo ndo mazishi rasmi ya CCM yatakapoanzia kabla ya 2025.Uwepo wa kikundi cha watu wanaojidai ndo wenye chama wakati walishashindwa kujipambanua kwa wananchi na wanafahamika kuwa ni mafisadi ni kuizika CCM. Kipindi cha nyuma hawa wazee wanaojiita ndo kwenye chama ndo walikuwa wamegawana mali za CCM wakila watakavyo huku wakichekelea na kujitwika uzalendo mfu uliojaa unafiki wa hali ya juu! Kama kuna kaukweli ndani yake !!
 
Back
Top Bottom