Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu mnazidi kuharibu. Je, Wananchi wana maisha magumu?

Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu mnazidi kuharibu. Je, Wananchi wana maisha magumu?

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi, Mimi ni mwana ccm na nilitoa hapa ushauri kwenye uzi huu Uchaguzi 2020 - CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi

Mkutano wa Tundu lissu Tunduma ni dhahiri jinsi viongozi wa CCM wanavyomjibu majukwaani ndivyo watu wanazidi kuhamasika na kumpenda zaidi Tundu lissu

Hoja nyingi za Tundu Lissu hazijibiki kirahisi na hata wanaojibu wanaacha maswali zaidi kuliko majibu mbele za wananchi

Majibu ya hoja za Tundu Lissu sasa yanasababisha watu wanaosikiliza kampeni za CCM kutafuta habari za upande wa Chadema, Kitendo cha viongozi kumuongelea Lissu imepelekea Wanaccm kuanza kumsikiliza Tundu Lissu na kujaa kwenye kampeni zake huko Tunduma

Mosi, Hoja ya uwanja wa ndege kujengwa Chato na Mbuga ya wanyama kuanzishwa huko ,Lisu anahoji mikataba na ni nani aliidhinisha bungeni uwanja kujengwa Chato na pesa hizo ni za nani? Tenda ya ujenzi ilitangazwa wapi na ni nani kapewa tenda hiyo, Kigezo gani kilitumika kumpa Tenda mkandarasi huyo,Huyo mkandarasi ana mahusiano gani na mamlaka?

Pili, Hoja ya mishahara ya watumishi wa Umma, Tundu Lissu anahoji ni sheria ipi imetumika kuwanyima nyongeza ya mishahara walimu na kada zingine,Anahoji majibu ya Mamlaka kuwa hawaongezi mishahara wapo bize na reli,stiglers gorge na barabara,Anahoji watu wa Jeshi la police nao wameumia hawajaongezewa pesa kwa miaka mitano.

Tatu, Anahoji TRA kama wakusanya mapato kupeleka Bank TRA notes za kuzitaka mabenki kufreeze au kumark account za wateja No debit (kuzuia akaunti za wateja pesa isitoke) bali wazitume TRA kiasi cha pesa chochote kilichopo na kinachoingia kwa wakati huo, Anahoji hali hii imepelekea wafanyabiashara kuwa maskini wa kutupwa na kushindwa kuajiri watu

Tundu Lissu anahoji, Maisha ya wakulima anaongelea mazao ya korosho na mahindi watu kuzuiwa kuuza nje kwa bei nzuri na kuambiwa walime kwa ajili ya chakula,Anahoji maisha magumu ya wakulima wa pamba na korosho kutolipwa pesa zao

Tundu Lissu anahoji sheria za utakatishaji pesa na uhujumu uchumi zinavyotumika kukandamiza watu na kutoa hofu kwa wananchi ambao ndio wenye nchi yao,Anahoji yeyote anayepinga serikali anafunguliwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji pesa

Tundu Lissu anahoji mifumo ya elimu na ajira hasa maisha ya vijana waliomaliza vyuo kutoajirika

Nini kifanyike kujibu hoja hizi

Ni vyema CCM kama chama kikajikita kwenye sera zake na ilani ya chama,Majibu ya hoja hizi yamezidi kuzaa hasira kwa wananchi

CCM isijibu hoja hizi, Majibu ya hoja hizi kwa week moja hii yameongeza hasira kwa wananchi. Tundu Lissu anazidi kuwaelimisha wananchi hata mambo ambayo hawakuyajua

Tundu Lissu amegeuza kampeni zake kama darasa la kufundisha na kutoa elimu bure kwa wananchi kwa mambo yanayoendelea na wananchi wanamuelewa na kuwa na hasira juu ya CCM

Kwa sasa taarifa zake mitaani ndizo zinazoongeleka zaidi na kutafutwa na kila mwananchi ,Watu wanajadili hoja za lisu mitaani na kuzifurahia

Uchaguzi huu utufundishe wana ccm ni bora kuwaacha watu waongee ya moyoni kuliko kuwafungia,Mpaka sasa tangu mwaka waliofungiwa wangekuwa hawana hoja ya kuzungumza

Ccm ni wakati muafaka wa kujikita kwenye ilani na malengo yetu ya chama,Tuhubiri sera na ilani yetu,Yale tuliyokosea tukubali makosa na kujisahihisha
 
Pole saana mkuu mwanachama wa CCM, pamoja na Lundo la Maprofesa mlionao mnakimbizana na mtu mmoja! Amekweli JPM atakumbukwa daima...hata Chama kushika Utamu' ya Mwalimu haikuwa hivi!

Kama mlikinywa kikombe Cha Furaha Cha kilichoitwa kujua upinzani...kunyweni na hiki! Ili Mwenyekiti wenu ajifunze kuwa ...Sisi si Wajingaaa!
 
Wanabodi, Mimi ni mwana ccm na nilitoa hapa ushauri kwenye uzi huu Uchaguzi 2020 - CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi

Mkutano wa Tundu lissu Tunduma ni dhahiri jinsi viongozi wa CCM wanavyomjibu majukwaani ndivyo watu wanazidi kuhamasika na kumpenda zaidi Tundu lissu

Hoja nyingi za Tundu Lissu hazijibiki kirahisi na hata wanaojibu wanaacha maswali zaidi kuliko majibu mbele za wananchi

Majibu ya hoja za Tundu Lissu sasa yanasababisha watu wanaosikiliza kampeni za CCM kutafuta habari za upande wa Chadema, Kitendo cha viongozi kumuongelea Lissu imepelekea Wanaccm kuanza kumsikiliza Tundu Lissu na kujaa kwenye kampeni zake huko Tunduma

Mosi, Hoja ya uwanja wa ndege kujengwa Chato na Mbuga ya wanyama kuanzishwa huko ,Lisu anahoji mikataba na ni nani aliidhinisha bungeni uwanja kujengwa Chato na pesa hizo ni za nani? Tenda ya ujenzi ilitangazwa wapi na ni nani kapewa tenda hiyo, Kigezo gani kilitumika kumpa Tenda mkandarasi huyo,Huyo mkandarasi ana mahusiano gani na mamlaka?

Pili, Hoja ya mishahara ya watumishi wa Umma, Tundu Lissu anahoji ni sheria ipi imetumika kuwanyima nyongeza ya mishahara walimu na kada zingine,Anahoji majibu ya Mamlaka kuwa hawaongezi mishahara wapo bize na reli,stiglers gorge na barabara,Anahoji watu wa Jeshi la police nao wameumia hawajaongezewa pesa kwa miaka mitano.

Tatu, Anahoji TRA kama wakusanya mapato kupeleka Bank TRA notes za kuzitaka mabenki kufreeze au kumark account za wateja No debit (kuzuia akaunti za wateja pesa isitoke) bali wazitume TRA kiasi cha pesa chochote kilichopo na kinachoingia kwa wakati huo, Anahoji hali hii imepelekea wafanyabiashara kuwa maskini wa kutupwa na kushindwa kuajiri watu

Tundu Lissu anahoji, Maisha ya wakulima anaongelea mazao ya korosho na mahindi watu kuzuiwa kuuza nje kwa bei nzuri na kuambiwa walime kwa ajili ya chakula,Anahoji maisha magumu ya wakulima wa pamba na korosho kutolipwa pesa zao

Tundu Lissu anahoji sheria za utakatishaji pesa na uhujumu uchumi zinavyotumika kukandamiza watu na kutoa hofu kwa wananchi ambao ndio wenye nchi yao,Anahoji yeyote anayepinga serikali anafunguliwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji pesa

Tundu Lissu anahoji mifumo ya elimu na ajira hasa maisha ya vijana waliomaliza vyuo kutoajirika

Nini kifanyike kujibu hoja hizi

Ni vyema CCM kama chama kikajikita kwenye sera zake na ilani ya chama,Majibu ya hoja hizi yamezidi kuzaa hasira kwa wananchi

CCM isijibu hoja hizi, Majibu ya hoja hizi kwa week moja hii yameongeza hasira kwa wananchi. Tundu Lissu anazidi kuwaelimisha wananchi hata mambo ambayo hawakuyajua

Tundu Lissu amegeuza kampeni zake kama darasa la kufundisha na kutoa elimu bure kwa wananchi kwa mambo yanayoendelea na wananchi wanamuelewa na kuwa na hasira juu ya CCM

Kwa sasa taarifa zake mitaani ndizo zinazoongeleka zaidi na kutafutwa na kila mwananchi ,Watu wanajadili hoja za lisu mitaani na kuzifurahia

Uchaguzi huu utufundishe wana ccm ni bora kuwaacha watu waongee ya moyoni kuliko kuwafungia,Mpaka sasa tangu mwaka waliofungiwa wangekuwa hawana hoja ya kuzungumza

Ccm ni wakati muafaka wa kujikita kwenye ilani na malengo yetu ya chama,Tuhubiri sera na ilani yetu,Yale tuliyokosea tukubali makosa na kujisahihisha
Mimi naandika kitabu cha ujasiriamali kunasomo linaitwa mjasilamali na mambo yanayo mzunguka 'the entrepreneur and his environments' ,serikali ya CCM awamu ya 5 haijafanya vizuri kwenye eneo hilo ' I agree with this prover which says, It is never too late in life, but how long are we going to lIve like this ,there are many uncertainty under CCM leadership'
 
Mimi naandika kitabu cha ujasiriamali kunasomo linaitwa mjasilamali na mambo yanayo mzunguka 'the entrepreneur and his environments' ,serikali ya CCM awamu ya 5 haijafanya vizuri kwenye eneo hilo ' I agree with this prover which says, It is never too late in life, but how long are we going to leave like this ,there are many uncertainty under CCM leadership'
Live/leave? Au mimi ndiyo sijasoma vizuri
 
wananchi wana maisha ya kawaida: na ni ktu cha kawaida: and forever always lazima kue na matabaka ili maisha yasogee,
 
Pole saana mkuu mwanachama wa CCM, pamoja na Lundo la Maprofesa mlionao mnakimbizana na mtu mmoja! Amekweli JPM atakumbukwa daima...hata Chama kushika Utamu' ya Mwalimu haikuwa hivi!

Kama mlikinywa kikombe Cha Furaha Cha kilichoitwa kujua upinzani...kunyweni na hiki! Ili Mwenyekiti wenu ajifunze kuwa ...Sisi si Wajingaaa!
Mzee anapanic anaishia kumjibu Lissu
 
tatizo lenu ccm ampendi watu wawe na ufaham.mnapenda watu wawe na awana akili ili mzidi kuwaibia sasa huu ni wakati wa mungu umefika kusema inatosha.mtatafuta pa kutokea
 
Tusiongee sana wakuu japo siku tatu hizi tumewashika sana ila siku jiwe kapita tena humu ndani tutajifungia kwa muda
 
Back
Top Bottom