Uchaguzi 2020 CCM msimjibu Tundu Lissu mnazidi kuharibu. Je, Wananchi wana maisha magumu?

Mambo bado magumu

..Nashauri atangaze kuvifuta vitambulisho vya machinga.

..anatakiwa achukue hatua, aache kujibizana na Tundu Lissu.

..Lissu akisema wafanyakazi hawajaongezwa mishahara, Jpm anatakiwa aongeze mishahara.
 
Kwanini chama hakikuisimia derikali?
 
Sisi watumishi wa umma una jambo letu tarehe 28 October. Subirini tukiamka 29 ndio mtajua kama hii ni Tanzania mpya.
 
Nyerere mwingine kaibuka Tanzania.
If God say Yes no one can say No.

Viva Tundu lissu
 
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata marekani na nchi za kiarabu nimmatajiri na maskini pia wapi acheni kutulisha matango pori
 
..Nashauri atangaze kuvifuta vitambulisho vya machinga.

..anatakiwa achukue hatua, aache kujibizana na Tundu Lissu.

..Lissu akisema wafanyakazi hawajaongezwa mishahara, Jpm anatakiwa aongeze mishahara.
Maisha hayana kanuni
 
Ilani yenu hamuiamin wenyewe mnaanza kuongelea Ilan za wengine... Nioneshe kwenye ilan yenu wapi mtatoa Bima buree.. japo mmetaja neno afya zaid ya mara ngapi uko
Bima inatolewa?
 
wananchi wana maisha ya kawaida: na ni ktu cha kawaida: and forever always lazima kue na matabaka ili maisha yasogee,
Maisha ya matabaka ndio unapendekeza eeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…