Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,501
ccm hawategemei wananchi, wao wanategemea tume
CCM wao wanategemea kuiba kura kupitia polisi na tume..period.Most of youths, wako cdm na ndo wapiga kura 80% wa uchaguzi huu.
Je mmejipangaje katika uchaguzi huu. Msipokaza kalio watawabreak down
Nyie endeleeni kuwaweka wazee waliochoka eti wagombee. Udiwani na Ubunge.
Ccm nawaona kama mko nyuma sana,
Fake election committee, na Migambo wote wachumba tu ,litakufa jitu ndo slogan nani asiyejuwa ccm mnapenda Ego.
Samahani kama inapain ,but always muda ndo mwalimu tosha .
Demokrasia tunapashwa kuikuza sisi hapa ,Dunia ndo itaamini faster.
Sisi ni wengi kuliko hao vihongwe wao wanao wabebesha mizigo ya dhambi.Experience is the best teacher,ccm wanategemea jeshi la polisi,mahakama,tume mbovu ya uchaguzi,vyombo vya habari vinavyo-support ujinga wao kama Clouds Tv na Clouds fm,Uhuru fm,Star Tv na TBC pamoja na wananchi wachache wasiokuwa na ufahamu wa kutosha!
Most of youths, wako cdm na ndo wapiga kura 80% wa uchaguzi huu.
Je mmejipangaje katika uchaguzi huu. Msipokaza kalio watawabreak down
Nyie endeleeni kuwaweka wazee waliochoka eti wagombee. Udiwani na Ubunge.
Ccm nawaona kama mko nyuma sana,
Fake election committee, na Migambo wote wachumba tu ,litakufa jitu ndo slogan nani asiyejuwa ccm mnapenda Ego.
Samahani kama inapain ,but always muda ndo mwalimu tosha .
Demokrasia tunapashwa kuikuza sisi hapa ,Dunia ndo itaamini faster.