Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,501
Most of youths, wako cdm na ndo wapiga kura 80% wa uchaguzi huu.
Je, mmejipangaje katika uchaguzi huu. Msipokaza kalio watawabreak down
Nyie endeleeni kuwaweka wazee waliochoka eti wagombee. Udiwani na Ubunge.
CCM nawaona kama mko nyuma sana,
Fake election committee, na Migambo wote wachumba tu ,litakufa jitu ndo slogan nani asiyejuwa ccm mnapenda Ego.
Samahani kama inapain ,but always muda ndo mwalimu tosha .
Demokrasia tunapashwa kuikuza sisi hapa ,Dunia ndo itaamini faster.
Je, mmejipangaje katika uchaguzi huu. Msipokaza kalio watawabreak down
Nyie endeleeni kuwaweka wazee waliochoka eti wagombee. Udiwani na Ubunge.
CCM nawaona kama mko nyuma sana,
Fake election committee, na Migambo wote wachumba tu ,litakufa jitu ndo slogan nani asiyejuwa ccm mnapenda Ego.
Samahani kama inapain ,but always muda ndo mwalimu tosha .
Demokrasia tunapashwa kuikuza sisi hapa ,Dunia ndo itaamini faster.