The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Toka serikali ya awamu ya 5 imengia watumishi wa umma zaidi ya laki 5 hawakuwahi kupandishiwa mishahara wala madaraja lakini kuna kundi la watumishi wachache sana nchi hii wameneemeka na serikali ya awamu ya 5, watumishi hao ni wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania.
Serikali ya awamu ya 5 kwa sababu zisizoeleweka ikaamua kuwapandishia mishahara watumishi wa TRA na BOT kwa zaidi ya 300% huku ikiacha zaidi ya 98% ya watumishi wengine wa umma kwenye lindi la ufukara na njaa kwa mishahara midogo waliyoipata miaka 6 iliyopita.
Serikali ya awamu ya 5 imewagawa watumishi wa umma, kuna wegine wanaonekana wa muhimu na wengine hawana umuhimu. Kwa mtazamo wa serikali ya wamyonge watumishi wa TRA na BOT ndio wa muhimu lakini watumishi wengine wote sio wa muhimu.
Mtumishi wa elimu ngazi ya stashahada wa TRA analipwa mara 2 ya mtumishi mwenye shahada 2 wizarani ama kwenye taasisi nyingine za umma.
CCM waombeni wafanyakazi wa TRA na BOT wawapigie kura, hawa wengine ambao mmeona sio wa muhimu watampigia Lissu ambae ameahidi kuwapandishia mishahara muda mfupi baada ya kuapishwa.
Mnasema hii nchi ni tajiri halafu mnashindwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi? Ngoja wanaojua utajiri wa hii nchi waingie waboreshe maisha ya watanzania ambao mmewafukarisha kwa miaka 60.
Serikali ya awamu ya 5 kwa sababu zisizoeleweka ikaamua kuwapandishia mishahara watumishi wa TRA na BOT kwa zaidi ya 300% huku ikiacha zaidi ya 98% ya watumishi wengine wa umma kwenye lindi la ufukara na njaa kwa mishahara midogo waliyoipata miaka 6 iliyopita.
Serikali ya awamu ya 5 imewagawa watumishi wa umma, kuna wegine wanaonekana wa muhimu na wengine hawana umuhimu. Kwa mtazamo wa serikali ya wamyonge watumishi wa TRA na BOT ndio wa muhimu lakini watumishi wengine wote sio wa muhimu.
Mtumishi wa elimu ngazi ya stashahada wa TRA analipwa mara 2 ya mtumishi mwenye shahada 2 wizarani ama kwenye taasisi nyingine za umma.
CCM waombeni wafanyakazi wa TRA na BOT wawapigie kura, hawa wengine ambao mmeona sio wa muhimu watampigia Lissu ambae ameahidi kuwapandishia mishahara muda mfupi baada ya kuapishwa.
Mnasema hii nchi ni tajiri halafu mnashindwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi? Ngoja wanaojua utajiri wa hii nchi waingie waboreshe maisha ya watanzania ambao mmewafukarisha kwa miaka 60.