Uchaguzi 2020 CCM mtapata kura za watumishi wa TRA na BOT na familia zao tu, ambao mliwapandishia mishahara kwa zaidi ya 300%

Uchaguzi 2020 CCM mtapata kura za watumishi wa TRA na BOT na familia zao tu, ambao mliwapandishia mishahara kwa zaidi ya 300%

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Toka serikali ya awamu ya 5 imengia watumishi wa umma zaidi ya laki 5 hawakuwahi kupandishiwa mishahara wala madaraja lakini kuna kundi la watumishi wachache sana nchi hii wameneemeka na serikali ya awamu ya 5, watumishi hao ni wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania.

Serikali ya awamu ya 5 kwa sababu zisizoeleweka ikaamua kuwapandishia mishahara watumishi wa TRA na BOT kwa zaidi ya 300% huku ikiacha zaidi ya 98% ya watumishi wengine wa umma kwenye lindi la ufukara na njaa kwa mishahara midogo waliyoipata miaka 6 iliyopita.

Serikali ya awamu ya 5 imewagawa watumishi wa umma, kuna wegine wanaonekana wa muhimu na wengine hawana umuhimu. Kwa mtazamo wa serikali ya wamyonge watumishi wa TRA na BOT ndio wa muhimu lakini watumishi wengine wote sio wa muhimu.

Mtumishi wa elimu ngazi ya stashahada wa TRA analipwa mara 2 ya mtumishi mwenye shahada 2 wizarani ama kwenye taasisi nyingine za umma.

CCM waombeni wafanyakazi wa TRA na BOT wawapigie kura, hawa wengine ambao mmeona sio wa muhimu watampigia Lissu ambae ameahidi kuwapandishia mishahara muda mfupi baada ya kuapishwa.

Mnasema hii nchi ni tajiri halafu mnashindwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi? Ngoja wanaojua utajiri wa hii nchi waingie waboreshe maisha ya watanzania ambao mmewafukarisha kwa miaka 60.
 
Toka serikali ya awamu ya 5 imengia watumishi wa umma zaidi ya laki 5 hawakuwahi kupandishiwa mishahara wala madaraja lakini kuna kundi la watumishi wachache sana nchi hii wameneemeka na serikali ya awamu ya 5, watumishi hao ni wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na Benki Kuu ya Tanzania.

Serikali ya awamu ya 5 kwa sababu zisizoeleweka ikaamua kuwapandishia mishahara watumishi wa TRA na BOT kwa zaidi ya 300% huku ikiacha zaidi ya 98% ya watumishi wengine wa umma kwenye lindi la ufukara na njaa kwa mishahara midogo waliyoipata miaka 6 iliyopita.

Serikali ya awamu ya 5 imewagawa watumishi wa umma, kuna wegine wanaonekana wa muhimu na wengine hawana umuhimu. Kwa mtazamo wa serikali ya wamyonge watumishi wa TRA na BOT ndio wa muhimu lakini watumishi wengine wote sio wa muhimu.

Mtumishi wa elimu ngazi ya stashahada wa TRA analipwa mara 2 ya mtumishi mwenye shahada 2 wizarani ama kwenye taasisi nyingine za umma.

CCM waombeni wafanyakazi wa TRA na BOT wawapigie kura, hawa wengine ambao mmeona sio wa muhimu watampigia Lissu ambae ameahidi kuwapandishia mishahara muda mfupi baada ya kuapishwa.

Mnasema hii nchi ni tajiri halafu mnashindwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi? Ngoja wanaojua utajiri wa hii nchi waingie waboreshe maisha ya watanzania ambao mmewafukarisha kwa miaka 60.
CCM = KANU
 
Ukishaona baba yako ni mbaguzi, dawa ni moja tu. Kumpuuza/kumdharau. Magufuli na CCM yake hawana cha kuwaambia wafanyakazi. Kama ni uongo wao basi umeshafikia tamati.

Ni bora mara 100 kumchagua Hashim Rungwe mzee wa ubwabwa! Ila siyo Magufuli. Mimi na ndege wapi na wapi!!
 
Bahati mbaya hao si wengi, walimu na wauguzi wana neno lao 28/10/2020
Walimu ni zaidi ya 70% ya watumishi wote, wanafuata watu wa afya zaidi ya 20%. Hawa wote waalimu, madaktari, wauguzi, manesi, hawana umuhimu kwa Magufuli na serikali yake ya awamu ya 5 ya wanyonge, TRA na BOT tu ndio wa muhimu. Watampigia kura.
 
Sisi wamachinga na tusio na ajira ambao ni wengi. Tumemchagua JPM. Kazi iendelee. Kama nyie hamtosheki na mshahara nendeni katafute kazi inayowalipa mboreshe maisha yenu.
 
Back
Top Bottom