Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Mwambie huyu kilaza anajifanya hajuiWakati Magufuli alisema makusanyo yote ya kodi yaende hazina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyu kilaza anajifanya hajuiWakati Magufuli alisema makusanyo yote ya kodi yaende hazina.
Amezungumzia mama Samia Ila alichokipata kutoka kwa kigogo 2014 naisi anajuta kumzungumzia Lissu na risasi 16lissu kaacha kuzungumzia risasi 16?
Hawaelewi kuwa Chama kilikuwa kinatekeleza ilani yake sasa kinaeleza kilichotekeleza na kuahidi hatua zijazo.Kueleza ilani unatakiwa kwanza kueleza ile iliyopita ulifanya nini.Unatoa ripoti kwa wananchi kwanza ndipo unatoa mpya kueleza utafanya nini
Chadema Hawana cha kueleza cha ilani yao iliyopita waluchokifanya ndiomaana wanaongea vitu vyao hewa