Uchaguzi 2020 CCM na kampeni chafu dhidi ya Mbowe jimboni Hai

Uchaguzi 2020 CCM na kampeni chafu dhidi ya Mbowe jimboni Hai

Bado hapo Miaka 4 alizuia shughuli za siasa akabaki kufanya mwenyewe akijua anadhohofisha upinzani
 
Kawapiga cha pua, kama ninyi mnavyosema hajafanya kitu.

Titi for tati.. Mkawalilie wana Hai sasa.
 
Ni watanzania wachache sana wanaomwelewa John! Ni mwongo, hakuna dunia hii aisee! Kinachonishangaza mimi, kwa nini watz wanadanganyika namna hii? Mbona ccm wanatuchukulia kuwa ni wajinga kiasi hicho??
Ninyi mnatudanganya hakuna alichfanya. ?
 
Nimepatatu picha kwamba Mbowe amekua tishio kubwa sana kisiasa.
Sijawahi kusikia mheshimiwa akimjadili mbunge kwa kina kama alivyomuelezea Mbowe leo pale Bomang'ombe

Mhe. Mbowe ni tishio kwa Utawala wa CCM na ndiyo Magufuli na CCM yake wanataka kuhakikisha Mbowe harudi Bungeni by hooks and crooks!
DC Sabaya Bangimtu kapelekwa Hai kimkakati ili kumdhoofisha Mbowe lakini bado ameshindwa.

Lakini linalowaumiza sana CCM na Mahufuli ni KUIONA CHADEMA IKIWA MOJA NA IMARA baada ya mbinu xote chafu za KUIA NA KUIMALIZA CHADEMA. JARIBIO la mauaji ya Tundu Lissu, mauaji ya Chacha Wangwe,mauaji ya Kamanda Mawazo, kupotea kwa Ben Saanane , Kununua Wabunge na Madiwani wa CHADEMA imekuwa ni sehemu ya mikakati na mbinu chafu za KUIMALIZA CHADEMA!!!!!
 
Teknolojia inakumbukumbu ya Mamilioni ya GB wakati Mwenyekiti wa CCM hata Mb1 hafikishi

Kile Kichwa cha Mwenyekiti wa CCM hakiko sawasawa. Ile NUNDU SIYO BURE something must be very wrong in his medulla Oblongata🤣🤣🤣!!!!
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    42.6 KB · Views: 1
Mkoloni mweusi kaburu huchukua pesa za walipa kodi kwenye majimbo ya wapinzani kwenda kujenga chato na sehemu zingine, Yaani maendeleo sasa yanaonekana ni Hisani za CCM utazani ni pesa binafsi tokea mfukoni mwa mtukufu Magufuli.
 
Kile Kichwa cha Mwenyekiti wa CCM hakiko sawasawa. Ile NUNDU SIYO BURE something must be very wrong in his medulla Oblongata🤣🤣🤣!!!!
Laana za kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani ndizo zimemganda kapagawa
 
Nimepatatu picha kwamba Mbowe amekua tishio kubwa sana kisiasa.
Sijawahi kusikia mheshimiwa akimjadili mbunge kwa kina kama alivyomuelezea Mbowe leo pale Bomang'ombe
Tena alikuwa ameandikiwa hotuba. Alikuwa anaonekana kusoma na kufafanua point moja baada ya nyingine. Hakika wamedhamiria kumng'oa Mbowe.
 
Kasema ukweli mtupu kwani uongo? Mbowe ni mzigo
Bado unavuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba? Ukweli upi? au ni ukweli wa kuiba pesa za majimbo ya wapinzani kwenda kupeleka vimaendeleo kiduchu kwenye majimbo ya CCM ambayo nayo 89% hayana maendeleo
 
Tena alikuwa ameandikiwa hotuba. Alikuwa anaonekana kusoma na kufafanua point moja baada ya nyingine. Hakika wamedhamiria kumng'oa Mbowe.
DC wa Hai ndiye kawaandikia lakini wamesahau kuwa majimbo ya wabunge wa CCM yapo taabani kimaendeleo na mfano halisi ni jimbo la Ndungai kule Kongwa
 
Nasikitika kusema Jiwe ni muongo na ndio maana kazuia BUNGE LIVE tusijue yanayoendelea huko. Ametumia style hiyo hiyo kwa Mdee na anaendelea nayo kwa Mbowe.

Kwa dunia hii ya Teknolojia ni upuuxi kuwadanganya watu ilhalu Wana Hansard na Picha za Wabunge wao kupitia social media.
 
Back
Top Bottom