Acheni kuchukua pesa za walipa kodi kwenye majimbo ya wapinzani kupeleka kwenye miradi yenu, wananchi wanalipa kodi jimboni wanataka maendeleo lakini wakurugenziccm na mameya wa CCM wanawahujumu wapinzani kwa kuminya maendeleo kwa makusudi ili kuwakomoaKasema ukweli mtupu kwani uongo? Mbowe ni mzigo
Mpaka sasa jimbo la Hai barabara zipo vizuri na maendeleo yapo licha ya hujuma kubwa tokea kwa DC wa Hai na mkurugenziccm na wengineo..Magufuli ni mbaguzi.
..Mbowe sio mzigo hata kidogo.
..Mbona wakati wa JK barabara za jimbo la Hai zilijengwa?
Shukuru fake ID's hatuwezi kuiona yako.Huyu mzee anahoro mbaya kama sura yake ilivyo mbaya
Maendeleo eti ni Hisani za CCM utazani ni pesa zao binafsi tokea mfukoni wakati ni pesa za walipa kodiKwa dunia hii ya Teknolojia ni upuuxi kuwadanganya watu ilhalu Wana Hansard na Picha za Wabunge wao kupitia social media.
Wewe unatumia original ID?Shukuru fake ID's hatuwezi kuiona yako.
Wengi wamepumbazwa kuona maendeleo ni hisani hata wakoloni walileta maendeleo ya kutoshaMaendeleo eti ni Hisani za CCM utazani ni pesa zao binafsi tokea mfukoni wakati ni pesa za walipa kodi
Nenda kwenye Hoja acha mikwara haikusaidii na haisaidii CCM kumbuka hata cyprian Musiba ana mikwara kibao lakini kaishia kumpigia magoti membe na sasa wapo wanakula Dili la kuidhoofisha ACT na kugawa kura tarehe 28 ingawa wananchi wamewashitukiaShukuru fake ID's hatuwezi kuiona yako.
Na ndio maana sijaja na comment ya maswala ya sura,tutajuaje sisi? huenda wewe ukawa na mbaya kuliko hata ya Magufuli Ila fake ID imekusave.Wewe unatumia original ID?
Mpaka sasa jimbo la Hai barabara zipo vizuri na maendeleo yapo licha ya hujuma kubwa tokea kwa DC wa Hai na mkurugenziccm na wengineo
Kukulipa hiyo B7 na ni matumizi mabaya ya fedha!Kwaheri Chadema
Mtajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hakuna sehemu niliyopiga mkwara.Nenda kwenye Hoja acha mikwara haikusaidii na haisaidii CCM kumbuka hata cyprian Musiba ana mikwara kibao lakini kaishia kumpigia magoti membe na sasa wapo wanakula Dili la kuidhoofisha ACT na kugawa kura tarehe 28 ingawa wananchi wamewashitukia
Kukulipa hiyo B7 na ni matumizi mabaya ya fedha!
Mbowe alikuwa anashinda Chako ni chako anakunywa konyagi,alikuwa hata bungeni haendiNimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Uvunjifu mkubwa wa maadili ya uchaguzi,kuwatishia wanao/watakaochagua upinzani wazi wazi.Hao NEC ni wabaguzi mno na hawachukui hatua Mzee Baba na CCM yake wanapotenda kinyume cha maadili na kazi yao kubwa ni kuwawinda wapinzani.Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
mwisho wake ni 28 octobaNi watanzania wachache sana wanaomwelewa John! Ni mwongo, hakuna dunia hii aisee! Kinachonishangaza mimi, kwa nini watz wanadanganyika namna hii? Mbona ccm wanatuchukulia kuwa ni wajinga kiasi hicho??
Hivi Hai kuna wa kudanganywa na Magufuli ?sema mbowe kamalizwa kisiasa wiki ijayo asahau kuhusu ubunge wa Hai, wiki ijayo watu wanapindua meza mapema asubuhi
Ni ufujaji wa fedha kukulipa wewe ambaye huna la maana unalochangia!Chadema mlizaliwa na matusi ?
Huyu mzee anahoro mbaya kama sura yake ilivyo mbaya
sema mbowe kamalizwa kisiasa wiki ijayo asahau kuhusu ubunge wa Hai, wiki ijayo watu wanapindua meza mapema asubuhi