Tena mara mbili kwa mwaka,kama akionekana akiwa na matatizo ya kiafya basi ampishe makamu wake au Jaji mkuu ashike ofisi.Nadhani Katiba inaongelea haya masuala ila tukimtoa Dikteta tunaandika Katiba mpya.Katiba yetu ingekuwa inalazimisha viongozi wakuu kupimwa afya kwa lazima hasa afya ya akili, hakika majibu ya mzee wetu yangeishangaza dunia
..Mbowe ni kati ya wapinzani moderates na wavumilivu sana.
..Sasa Magufuli kwenda kumshambulia kunaonyesha jinsi gani asivyojua siasa, na alivyokosa ustaarabu.
..Watanzania tulikosea kumchagua Magufuli kuwa Raisi. Hafai, na hatambui uzito wa nafasi yake.
Uwongo wake mpaka anajiaibisha mwenyewe!Uvunjifu mkubwa wa maadili ya uchaguzi,kuwatishia wanao/watakaochagua upinzani wazi wazi.Hao NEC ni wabaguzi mno na hawachukui hatua Mzee Baba na CCM yake wanapotenda kinyume cha maadili na kazi yao kubwa ni kuwawinda wapinzani.
Ha ha ha kalambe malimao, tayari dawa imeingia hiyo. Oct 28, mambo waaa. JPM kiboko yao.Huyu mzee anahoro mbaya kama sura yake ilivyo mbaya
Sasa mnajiona wazima nyie? Ivi nyie ni wa kufukuza wabunge kipindi cha corona alafu mnajiita MNA demokrasiaNi watanzania wachache sana wanaomwelewa John! Ni mwongo, hakuna dunia hii aisee! Kinachonishangaza mimi, kwa nini watz wanadanganyika namna hii? Mbona ccm wanatuchukulia kuwa ni wajinga kiasi hicho??
Uwongo wake mpaka anajiaibisha mwenyewe!
Lakini kwa vile hana aibu, anaona sawa tu!
Mtukufu magufuli kaanza kampeni tokea 2016 anazunguka Nchi nzima akigawa pesa mpaka juzi juzi siku chache kabla ya kampeni kuanza alinunua jogoo kwa Tshs laki moja kule Rufiji na kumwahidia mzee mmiliki wa jogoo kumsajili kuwa baba yake wa hialiBado hapo Miaka 4 alizuia shughuli za siasa akabaki kufanya mwenyewe akijua anadhohofisha upinzani
Akiondolee wewe mwenyewe shetani acha kuwaemea wananchi wengine wa Hai ambao hawana roho mbaya kama yakoOle Sabaya tuondolee Mbowe huko hai
Ole Sabaya tuondolee Mbowe huko hai
Ndio nyie mnaoitwa wagogo mmebakia kuwa na roho mbaya wakati hata wazee wenu awana hata maji pumbavu.Kwaheri Chadema
Mtajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hakuna hata mtanzania mmoja anayemwamini huyo Jiwe na "fix" zakeHivi kuna mtu bado anamwamini jiwe?
H. Kolimba aliposema "CCM IMEPOTEZA DIRA NA MWELEKEO!" mnadhani alikosea? Hawana cha kushika zaidi ya propaganda na siasa za majitaka ambazo wao ndio waasisi wake na zitawagharimu sana sasa na wakati ujao. Kiuhakika hii ni mikambi ya mwisho ya kupapia roho...Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Ni Msukuma Original na Wasukuma wenzake tu ndo bado wanamwamini na kumchagua ndo maana Miradi yote mikubwa inapelekwa Usukumani na mingine Kanda hiyo anayodai ni kwa wapiga kura wake. Asiyenacho mkulima wa Mtwara hata hicho kidogo alichonacho ananyang'anywa kikajenge Chato International Airport karibu na Burigi!Hivi kuna mtu bado anamwamini jiwe?
Aibuuu mpaka basi jitu ongo dunia nzimaUwongo wake mpaka anajiaibisha mwenyewe!
Lakini kwa vile hana aibu, anaona sawa tu!
Kwa ufupi hawajui walitendalo, unapowadhalilisha wapinzani ndipo unawaongezea kura...Mbowe ni kati ya wapinzani moderates na wavumilivu sana.
..Sasa Magufuli kwenda kumshambulia kunaonyesha jinsi gani asivyojua siasa, na alivyokosa ustaarabu.
..Watanzania tulikosea kumchagua Magufuli kuwa Raisi. Hafai, na hatambui uzito wa nafasi yake.