Uchaguzi 2020 CCM na kampeni chafu dhidi ya Mbowe jimboni Hai

Mzee alishachanganyikiwa, vibwengo walimhadaa kuwa upinzani umekufa!
 
Wachaga tumeikumbatia Chadema toka 95 ila tumeambulia umasikini tu

Tunataka Ccm ije itukomboe kutoka kwenye huu utawala wa uonevu wa Chadema

Majimbo yapi ya CCM yenye maendeleo kuliko uchagani?
 
Wachagga wa Hai aise siyo mbumbumbu kama maeneo mengine.....Wachagga nawaaminia na wanajitambua.
Kama ni ushindi kwa CCM lazima waibe...nje ya hapo hawapati kitu!!
Kura za CCM ziko kwa OCD Hai:
nakwambia Hai Mbowe asahau, hana chake, safari hii wananchi wa hai wameamua kumuondoa mzee Mbowe, wananchi wanataka kijana Safisha
 
sema mbowe kamalizwa kisiasa wiki ijayo asahau kuhusu ubunge wa Hai, wiki ijayo watu wanapindua meza mapema asubuhi
Kamalizwa kisiasa wapi? Hapo gheto kwa cyprian Musiba mnapovuta Bangi? Hiyo meza utaipindulia wapi huko? Maana Hai watu wengi wana Akili timamu hawaitaki CCM
 
nakwambia Hai Mbowe asahau, hana chake, safari hii wananchi wa hai wameamua kumuondoa mzee Mbowe, wananchi wanataka kijana Safisha
Wananchi wa wapi unawasemea? au wananchi wa hapo kwa Shemeji yako unaposhinda unaangalia tamthilia ?
 
Isambaze hii kwenye whattup .
 
Sasa mnajiona wazima nyie? Ivi nyie ni wa kufukuza wabunge kipindi cha corona alafu mnajiita MNA demokrasia

Mkuu ungetakiwa uandike kuhusu mada iliyopo hewani..! Sasa hicho ulichoandika umechangia nini kwenye mada??! Acha mahaba
 
Hivi tunachagua Raisi wa kutetea katiba ya vyama vingi au katiba ya chama kimoja?
 
Dawa ipi hapo kwa mfano? nini kazi ya upinzani? Kazi ya upinzani ni kupinga kukataa ujinga upumbavu wizi uonevu unyanyasaji uovu wote wa CCM, nyinyi wategemea uteuzi ndiyo kwisha kabsa, DC Sabaya Hana lolote propaganda zake za kishamba haramu za kishetani zimefeli tarehe 28 Nchi inaenda kupata uhuru kaburu Mkoloni mweusi atarejea chato ndipo Sabaya ataenda kuchunga ng’ombe na kuvuta Bangi
 
Magufuli Ni mnafiki Sana na huwa anadhani wananchi hawajui kinachoendelea, lakini pia tufahamu Ni kwanini waliamua kufuata bunge live ili wananchi tusisikie kile wabunge wetu wanachochangia
Alisema Halima mdee hajaomba chochote Bungeni kumbe hakujua Halima mdee hurekodi kila anachoongea Bungeni akamuumbua kwa kuachia video zote akiwa Bungeni
 
Duh,usicheze na teknolojia inaumbua sana
Mzee anahisi labda bado tuko zama za mediaval something very bad in modern poltiics. Hao wakazi wa Hai wengi wameelimika na habari zote za bunge wanazifuatilia, sasa sijui anamdanganya nani? Probably anajidanganya mwenyewe
 
Alisema Halima mdee hajaomba chochote Bungeni kumbe hakujua Halima mdee hurekodi kila anachoongea Bungeni akamuumbua kwa kuachia video zote akiwa Bungeni
Aibu ilikuwa kwake mkulu😂😂
 
asee huyu niaje ni kichwa hamna nawazaga ilikuwaje ikawa hivi...watz tunakwama arfu Yani huwezi amini Kama jiwe ni kichwa ndogo kiasi hii asee Yani ni mkuda wa kutosha maniga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…