Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kitendo cha CCM kupitisha wagombea wao kabla ya kipenga kupigwa na kinyume na katiba yao, kinatia shaka.
Je kuna mgawanyiko na kutoelewana kwenye chama cha machawa?
Je wamefanya hivyo kuogopa nini wakati tunaambiwa mama anaupiga mwingi?
Je hii inazika ndoto za makada wenye ushawishi mkubwa kusahau kabisa kugombea?
Je hii itajenga au kukisambaratisha chama?
Je nini kifanyike?
Je inatoa picha gani kwa vyama vingine?
Je CCM imeishiwa na kuwa ya hovyo na ya kidikteta kiasi hiki?
Je kuna mgawanyiko na kutoelewana kwenye chama cha machawa?
Je wamefanya hivyo kuogopa nini wakati tunaambiwa mama anaupiga mwingi?
Je hii inazika ndoto za makada wenye ushawishi mkubwa kusahau kabisa kugombea?
Je hii itajenga au kukisambaratisha chama?
Je nini kifanyike?
Je inatoa picha gani kwa vyama vingine?
Je CCM imeishiwa na kuwa ya hovyo na ya kidikteta kiasi hiki?