Mdaiwa-Sugu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 284
- 912
- Thread starter
-
- #21
Huna details kaa kimya kuficha upumbavu wako; ulaya kijana ambaye hajaajiriwa analipwa nusu mshahara ya professional yake; je na hapa kwetu wanalipwa?Hata Ulaya na USA ajira ni tatizo ndugu
Vijana wanaojielewa wamaejiajiri!
Na siyo wote kwenye mikusanyiko ya Lisu hawana ajira!
Na siyo wote waliokusanyika watampigia kura Lisu!
Subiri Oct ndiyo utaijua siasa
Kulipwa nusu mshahara ndiyo ajira?Huna details kaa kimya kuficha upumbavu wako; ulaya kijana ambaye hajaajiriwa analipwa nusu mshahara ya professional yake; je na hapa kwetu wanalipwa?
Hebu fikilia baba angu amekataa mkaa sana kanisisomesha hata ualimu akijua mwanangu atanipa nafuu hata kwa kakazi hako Leo hii tangu 2015 hakuna kitu has a walimu wa Sana'a huyu mzazi hawezi kukuelewa kabisaVijana walidekezwa sana..eti kila akimaliza chuo anasubiri post, ulikuwa upotevu mkubwa wa hela vijana wakawa wanaishia maofisini tu, nani akalime sasa?
Ngumu kumesaKati ya makosa yaliyofanywa na Serikali yangu ya CCM ni kushindwa kutoa ajira kwa vijana na kuacha wazagae mitaani bila kazi.
Ni kosa kubwa sana kwa sababu vijana hawa ni bomu tulojitegea wenyewe kutumaliza.
Maelfu ya vijana wanaojitokeza kwa wingi kwenye hadhara za bw. Tundu Antipas Lissu ni sababu yetu sisi.
Kwa miaka minne tumewatelekeza mitaani kama kuku wa videri; tumeua future zao; tumewaua kisaikolojia; tumewatoa kwenye reli hadi baadhi wamekata tamaa wameamua kuwa walevi wa gongo na wavuta bangi.
Uchaguzi umefika tutawaeleza nini hawa vijana watuelewe na watuchague?
Tutawashawishi vipi wazazi wao waliowasomesha kwa shida ili watuamini na watuchague?
Tutawambia tumenunua ndege?
Tutawambia tunajenga SGR?
Tutawambia tunajenga daraja la Busisi?
Tutawambia tumejenga flyover?
Wana CCM wenzangu; 'maendeleo ya vitu bila kuboresha maendeleo ya watu ni sawa na kazi bure'
Kwakuwa tumelikoroga kwa miaka minne sasa muda wa kulinywa umewadia.
Vijana walidekezwa sana..eti kila akimaliza chuo anasubiri post, ulikuwa upotevu mkubwa wa hela vijana wakawa wanaishia maofisini tu, nani akalime sasa?
Kwani wewe waonaje?Au sio??