Uchaguzi 2020 CCM na Serikali yake tulikosea. Kwa hili lazima Lissu atupige bao

Hata Ulaya na USA ajira ni tatizo ndugu
Vijana wanaojielewa wamaejiajiri!
Na siyo wote kwenye mikusanyiko ya Lisu hawana ajira!
Na siyo wote waliokusanyika watampigia kura Lisu!
Subiri Oct ndiyo utaijua siasa
Huna details kaa kimya kuficha upumbavu wako; ulaya kijana ambaye hajaajiriwa analipwa nusu mshahara ya professional yake; je na hapa kwetu wanalipwa?
 
Huna details kaa kimya kuficha upumbavu wako; ulaya kijana ambaye hajaajiriwa analipwa nusu mshahara ya professional yake; je na hapa kwetu wanalipwa?
Kulipwa nusu mshahara ndiyo ajira?
Au hujui tafsiri ya ajira!
Elewa mada ndugu
 
Ukirudi kwa vijana wengiwetu hatujajiandikisha kwenye daftari la wapiga kula,na wzee wengi j wapenzi wa magufuli
Ko msoto hado tutaendeleanao
 
Hapo uliposema tutawaambia nini vijana hawa na wazazi waliowasomesha,ni tafakari kubwa,nadhani vijana hawa wakiamua kueneza elimu hii ya uraia kwa ndugu zao wote hapata tosha na ikumbukwe wametapakaa nchi nzima, mwaka huu tutasikia mengi,kwakweli hatukutegemea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana walidekezwa sana..eti kila akimaliza chuo anasubiri post, ulikuwa upotevu mkubwa wa hela vijana wakawa wanaishia maofisini tu, nani akalime sasa?
Hebu fikilia baba angu amekataa mkaa sana kanisisomesha hata ualimu akijua mwanangu atanipa nafuu hata kwa kakazi hako Leo hii tangu 2015 hakuna kitu has a walimu wa Sana'a huyu mzazi hawezi kukuelewa kabisa
Hapa tuseme tulikosea tu hatuna wa kimulaumu
Moyo wa upendo
Moyo usio na hila
 
Ngumu kumesa
 
Yaani Nina hasira na Fisiyenu nawasubiri kwenye box LA kura nawachinjia shingoni kama mbuzi wa kafara ,mmesababisha wahitimu wengi tumekosa muelekeo wa maisha sasa tunaenda kuwavueni nguo nanyie msubuke kama mbavyo wahitimu tumeteseka miaka 5 mpaka taaluna zetu zinapotea vichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…