CCM watatuua. Baada ya kutubebesha mizigo mizito na kutuvutisha magogo kwa muda mrefu, sasa wamekuja tena na tozo kandamizi za miamala kwa wanyonge. Ifike wakati wabunge wa CCM waliorundikana mle bungeni nao waanze kulipa kodi ili wajue uchungu wa kulipa kodi; sio kila siku wanawabebesha mizigo wanyonge tu.
Nimecheka sanaCCM watatuua. Baada ya kutubebesha mizigo mizito na kutuvutisha magogo kwa muda mrefu, sasa wamekuja tena na tozo kandamizi za miamala kwa wanyonge. Ifike wakati wabunge wa CCM waliorundikana mle bungeni nao waanze kulipa kodi ili wajue uchungu wa kulipa kodi; sio kila siku wanawabebesha mizigo wanyonge tu.
mmmhCCM ni zaidi ya ukoo wa panya....kila mtu mwizi.
Kama uliwahi kuusoma Uzi huu huwezi kushangazwa na Mauzo ya BandariTeh teh teh...., kiduma chama cha majambazi!
@FaizaFoxytpaul View attachment 175984
Natamani FaizaFoxy akiamka cha kwanza apite hapa ! Ni kwa nia njema kabisa
I Love thisHata mbuzi anawazidi CCM akili. Wakati wa kiangazi, mbuzi hutumia maarifa yote kuyafikia majani popote yalipo lakini CCM wao wamelala usingizi huku wakitegemea kuombaomba misaada badala ya kutumia rasilimali tulizonazo kuwanufaisha watanzania wote.
Yeyote aliyesoma huu uzi hawezi kushangazwa na yanayotendwa sasaOops !
[emoji38][emoji38][emoji38]Muungwana ni vitendo