mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
cc msalani, ifweero na mmaranguoreginal
ccm ndio mama yenu amewazaa na kuwalea,ccm imewapa elimu bure mpaka sasa mmepata akili ya kuitukana humu jf
CCM ni laana katika nchi hii...
ccm ndio mama yenu amewazaa na kuwalea,ccm imewapa elimu bure mpaka sasa mmepata akili ya kuitukana humu jf
CCM ni laana katika nchi hii...
Hii ni moja ya thread bora kabisa JF...
ccm ndio mama yenu amewazaa na kuwalea,ccm imewapa elimu bure mpaka sasa mmepata akili ya kuitukana humu jf
Uzi huu ni moto kwa CCM.. I wish mkuu tpaul angeongeza na zile picha za Marehemu Mwangosi na Mbwambo...
Hii ni moja ya thread bora kabisa JF...
Aisee huyu kamanda tpaul, magamba wanaweza kumli-ulimboka, Mungu amtangulie huyu kamanda
MUNGU amlinde sana .
ccm ndio mama yenu amewazaa na kuwalea,ccm imewapa elimu bure mpaka sasa mmepata akili ya kuitukana humu jf
Nani kasomeshwa na ccm? Imesomesha watu wangapi? Naomba ulete budget za miaka ishirini iliyopita ili tuone ccm imetumia shilling ngapi kusomesha watu.
Sijui Watakuja na wongo gani kipindi hiki maana hawanaga jipya kabisa ni blaa blaa tu. Wasijue watanzania wa sasa si wale wajinga wajinga tena