CCM nambari wani

Nilijua tuu utabisha nakushauri soma Plato ' myth of the cave' utafunuliwa upofu wako

Kwenye kundi la plato mimi ni golden boy ndungu,nikudokeze kitu watanzania sasa wana maisha mazuri kwa mfano mimi naishi mbezi beach dar watu wana magari mazuri na majumba, ccm imewafanikisha kuwapatia miundo mbinu bora kupitisha magari yao. Nenda pale makongo juu,nenda mwenge pale mlimani city utawakuta watanzania wenye tabasamu wenye afya njema wana magari ya kifahari
 

una rOHO NGUMU SANA !
 
Mkuu Wa chama alisema kuishi kwe ye nyumba kama hizo eti ni kudumisha Utamaduni
 

unaona ulivyo tapeli, ccm matapeli!
 

maccm yanajiharishia sasa,achen ukweli upenye
 
hapa sio tanzania ninayoifahamu,hakuna umaskini kama huo unapotosha umma.pimbi wewe

Nadhani PIMBI ni wewe usiyeijua nchi yako kwa mapana na marefu ndo maana umebakia hapo lumumba kulipwa buku 7 ila kwa kifupi tu nenda ketumbaine, karamba, nkhambaku, makamaka nk hayo ndiyo maisha yao acha ubwege wa kusifia tu mafisadi ukiona haitoshi nikupe na majina ya wabunge wa huko nilipopataja
 
Eee bhana mshana jr hapa ni TANZANIA hii hii kweli ? Dah ! Mungu waokoe hawa watoto na KICHOCHO , MINYOO NA KUHARA DAMU , maana hawana hatia ya kufanyishwa hivyo .

Anayeiita mmaranguoriginal atakuambia hapo ni sudan ila ukweli utabaki pale pale haya ndiyo maisha ya watanzania wengi walio vijijini na ukitaka kuona mengi zaidi fuatilia TAFITI huru zinazofanywa na mashirika ya kimataifa utalia hizo picha za lindi, mtwara, pwani, manyara, tabora n.k
 

kumbe tanzania yako imeishia mbezi na marangu mtoni basi subiri umma unaojua uchungu wa umaskini uchangie wewe tumbua ukisubiri kutumbuliwa
 

Haya ndiyo mafanikio ya CCM wanayoimba kila siku. Wanadhani kwamba kila mwananchi ni mbumbumbu kama misukule wa Lumumba. Tukikutana 2015 lazima watatusalimia kwa heshima kama hivi:
 
Tanzania Daima na Raia mwema watoe matoleo maalum na kuyasambaza nchi nzima na hasa vijijini yenye mapicha kama haya ili kuonyesha udhalimu wa Maintarahamwe.

Duh.....huu Uzi natamani utolewe kwenye Gazeti la UHURU tena front page.
 
Haya ndiyo mafanikio ya CCM wanayoimba kila siku. Wanadhani kwamba kila mwananchi ni mbumbumbu kama misukule wa Lumumba. Tukikutana 2015 lazima watatusalimia kwa heshima kama hivi:
View attachment 176607

Huyu magamba anaomba kura kwa kupiga magoti duuu..badala ampigie magoti Mungu yeye anapiga magoti kupata huruma za wananchi magamba ni chama chakavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…