hapa sio tanzania ninayoifahamu,hakuna umaskini kama huo unapotosha umma.pimbi wewe
hapa sio tanzania ninayoifahamu,hakuna umaskini kama huo unapotosha umma.pimbi wewe
Duh.....huu Uzi natamani utolewe kwenye Gazeti la UHURU tena front page.
ccm ndio mama yenu amewazaa na kuwalea,ccm imewapa elimu bure mpaka sasa mmepata akili ya kuitukana humu jf
Nilijua tuu utabisha nakushauri soma Plato ' myth of the cave' utafunuliwa upofu wako
Acha kufikiri kwa makalio yako,tulielimiswa kwa kodi za wazazi wetu na siyo CCM
Kwenye kundi la plato mimi ni golden boy ndungu,nikudokeze kitu watanzania sasa wana maisha mazuri kwa mfano mimi naishi mbezi beach dar watu wana magari mazuri na majumba, ccm imewafanikisha kuwapatia miundo mbinu bora kupitisha magari yao. Nenda pale makongo juu,nenda mwenge pale mlimani city utawakuta watanzania wenye tabasamu wenye afya njema wana magari ya kifahari
Kwenye kundi la plato mimi ni golden boy ndungu,nikudokeze kitu watanzania sasa wana maisha mazuri kwa mfano mimi naishi mbezi beach dar watu wana magari mazuri na majumba, ccm imewafanikisha kuwapatia miundo mbinu bora kupitisha magari yao. Nenda pale makongo juu,nenda mwenge pale mlimani city utawakuta watanzania wenye tabasamu wenye afya njema wana magari ya kifahari
hakika uzi huu ni msumali wa moto !
Kwenye kundi la plato mimi ni golden boy ndungu,nikudokeze kitu watanzania sasa wana maisha mazuri kwa mfano mimi naishi mbezi beach dar watu wana magari mazuri na majumba, ccm imewafanikisha kuwapatia miundo mbinu bora kupitisha magari yao. Nenda pale makongo juu,nenda mwenge pale mlimani city utawakuta watanzania wenye tabasamu wenye afya njema wana magari ya kifahari
hapa sio tanzania ninayoifahamu,hakuna umaskini kama huo unapotosha umma.pimbi wewe
Eee bhana mshana jr hapa ni TANZANIA hii hii kweli ? Dah ! Mungu waokoe hawa watoto na KICHOCHO , MINYOO NA KUHARA DAMU , maana hawana hatia ya kufanyishwa hivyo .
Kwenye kundi la plato mimi ni golden boy ndungu,nikudokeze kitu watanzania sasa wana maisha mazuri kwa mfano mimi naishi mbezi beach dar watu wana magari mazuri na majumba, ccm imewafanikisha kuwapatia miundo mbinu bora kupitisha magari yao. Nenda pale makongo juu,nenda mwenge pale mlimani city utawakuta watanzania wenye tabasamu wenye afya njema wana magari ya kifahari
Duh.....huu Uzi natamani utolewe kwenye Gazeti la UHURU tena front page.
Haya ndiyo mafanikio ya CCM wanayoimba kila siku. Wanadhani kwamba kila mwananchi ni mbumbumbu kama misukule wa Lumumba. Tukikutana 2015 lazima watatusalimia kwa heshima kama hivi:
View attachment 176607