Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wengine tulijua hamu yenu ya kugeuza maneno ya Lissu kama angalau angemtaja Mbowe kidogo tu.
Sasa naona mitandaoni mnakuja na stori za kuungaunga. Mmeaibikla.
CCM mmekikosa mlichokitaka mkutano wa Lissu.
Sasa naona mitandaoni mnakuja na stori za kuungaunga. Mmeaibikla.
CCM mmekikosa mlichokitaka mkutano wa Lissu.