Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Vijana wana matatizo mengi currently, why waache maisha yao watetee chama? For what?Vijana mjifunze kutetea chama
Ukiona watu hawasogei wanajua moto unaofuata wakijaribu. .
Hawatetei chama wanatetea watu ndio shida yao.Vijana wana matatizo mengi currently, why waache maisha yao watetee chama? For what?
Nimekuuliza tena kwanini waache maisha yao watetee chama?Hawatetei chama wanatetea watu ndio shida yao.
CCM chama kikubwa
Ccm ni umbwaHawatetei chama wanatetea watu ndio shida yao.
CCM chama kikubwa
Naona umeanzisha Uzi na kujijibu mwenyeweIlikuwa niwape mfano chawa namna ya kutetea chama; IΕa hapa awathibutu wanajua moto wake.
CCM ni chama progressive na kinapenda watu wenye mawazo mapya ya kuboresha chama.Vijana wana matatizo mengi currently, why waache maisha yao watetee chama? For what?
CCM chamaCcm ni umbwa
Nimeweka uzi wa kujibu maswali, wewe ndio inajikibu mwenye huna swali la kuuliza.Naona umeanzisha Uzi na kujijibu mwenyewe
Kutetea chama na uchawa tofauti ni ndogo sana, and for the record hao hao viongoz ndio wanawapenda kufanya white washing. the last time i check politics is a waste of time kwa vijana, haswa wanaojitafuta.CCM ni chama progressive na kinapenda watu wenye mawazo mapya ya kuboresha chama.
Hawa vijana wa leo wamatia aibu kuwa chawa wa chama sawa, IΕa hawana maeazo mapya.
Sawa na ropo ropo za Lissu ni mambo ya kukariri tu.
Kutetea chama na uchawa tofauti ni ndogo sana, and for the record hao hao viongoz ndio wanawapenda kufanya white washing. the last time i check politics is a waste of time kwa vijana, haswa wanaojitafuta.
pili ccm si chama kipya , kiko hapa toka 1970s, vijana wanafaidika nini kutetea chama?
Nakubaliana na hoja yako, chawa wapo tayari kufa kwaajili ya mtu wao kuliko chama.
Chama cha mafisadiSomo la bure
CCM ndie mama, CCM yajenga nchi
CCM ndie baba, CCM yajenga nchi
ππ get a hike manView attachment 3018376
Unaongea vitu ambavyo avieleweki leta hoja ambazo unataka mwenyekiti wa chama unataka afanye.
Mama yetu jenedari hakuna linalomshibda sema unataka nini kutoka kwake ujibiwe.
Chapa kazi raisi Samia
Kama wana hoja waseme zijibiwe, mengine makelele.
Mama wa kazi
Maneno ya Mkosaji sema wapi raisi Samia ajagusa uonyeshwe.ππ get a hike man
Nimekuuliza swali vijana wa nchi hii wanapata faida gani kutete chama? Waache kazi zao maisha yao watee chama in return wanapata nini?Maneno ya Mkosaji sema wapi raisi Samia ajagusa uonyeshwe.
Mama ni mjinga nchi kwa vitendo sio kwa porojo.
Sema wapi ajagusa tukuonyeshe.
Samia mpaka 2030 kwa ridhaa ya CCM.