Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
- Thread starter
-
- #21
Poyoyo mwengine Hakuna mtu mwenye muda wa kuongelea muwasho wa kipira chako.Kwa staili hii yule bwana Yahaya Unaishi wapi akiomba utachomoa kweli?
Hakuna anae tetea chama kama chama; kinachotetews ni ilani kazi ambayo chama umeahidi kuwafanyia wananchi.Nimekuuliza swali vijana wa nchi hii wanapata faida gani kutete chama? Waache kazi zao maisha yao watee chama in return wanapata nini?
Sema mkuu leo hii, umeamua kutushangaza kidogo [emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 3018377
Mama wa taifa ahitajo chawa kazi zake zinaongea zenyewe.
Sema wapi ajagusa upewe majibu.
Mama la mama
Piga kazi raisi Samia achana na makelele
Vijana hawana hata pesa ya kununua MB, wanakipiganiaje?Good morning lengo ilikuwa kuwaonyesha haya mapoyoyo jinsi ya kukipiganis chama.
Naenda sinzia nikiamka Hakuna cha raisi Samia bali kuna โbi-tozoโ na ufisadi wake.
Vijana jifunzeni kutetea chama
Unasema chama hakihitataji kutetewa, then na ku quote hapaVijana mjifunze kutetea chama
Ukiona watu hawasogei wanajua moto unaofuata wakijaribu. .
Uko sahihi. ccm ni chama cha mafisi, majangili, wachawi, wezi, wabadhirifu, wapigaji, wauaji, wajinga, mashetani, nk.View attachment 3018378
Nama la mama raisi wetu kipenzi
Raisi Samia Suluhu Hassan
Nani Kama mama
Wenye kumtungia uongo wajinyonge
View: https://m.youtube.com/watch?v=OllZtjchN2U&pp=ygURSksgYWZ1bmdhIG1hZnVuem8%3D
Somo la bure
CCM ndie mama, CCM yajenga nchi
CCM ndie baba, CCM yajenga nchi
changamsha baraza tuSema mkuu leo hii, umeamua kutushangaza kidogo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
CCM ni itikadi sio hongo vijana wasijiongopee kutoba ndani ya CCM ni kutafuta namna ya kuonyesha uwezo wako.Vijana hawana hata pesa ya kununua MB, wanakipiganiaje?
Uhitaji kutetea chama unahitaji kutetea misimamo na maamuzi yake (hiko ndio chama).Unasema chama hakihitataji kutetewa, then na ku quote hapa
Lakin pia narudi pale pale vijana wanapata faida gani kutetea chama?
Bahati mbaya CCM aijibu mambo ya kufirika, hivyo ni vitu vilivyo kichwani kwako tu: sio uhalisia.Uko sahihi. ccm ni chama cha mafisi, majangili, wachawi, wezi, wabadhirifu, wapigaji, wauaji, wajinga, mashetani, nk.
Ccm ni chama kikubwa kwa sababu za kihistoria, ila sio chama bora. Isitoshe sio Chama Cha kizazi hiki, Bali ya kilichopitaHawatetei chama wanatetea watu ndio shida yao.
CCM chama kikubwa
Utakuta huyu ni kijana anategemewa kabisaNimeweka uzi wa kujibu maswali, wewe ndio inajikibu mwenye huna swali la kuuliza.
CCM chama
๐ค๐ค๐Sema mkuu leo hii, umeamua kutushangaza kidogo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
๐๐๐View attachment 3018378
Nama la mama raisi wetu kipenzi
Raisi Samia Suluhu Hassan
Nani Kama mama
Wenye kumtungia uongo wajinyonge
View: https://m.youtube.com/watch?v=OllZtjchN2U&pp=ygURSksgYWZ1bmdhIG1hZnVuem8%3D
Somo la bure
CCM ndie mama, CCM yajenga nchi
CCM ndie baba, CCM yajenga nchi
Mbona leo umechenjia? What happened?View attachment 3018378
Nama la mama raisi wetu kipenzi
Raisi Samia Suluhu Hassan
Nani Kama mama
Wenye kumtungia uongo wajinyonge
View: https://m.youtube.com/watch?v=OllZtjchN2U&pp=ygURSksgYWZ1bmdhIG1hZnVuem8%3D
Somo la bure
CCM ndie mama, CCM yajenga nchi
CCM ndie baba, CCM yajenga nchi
Nilikuwa nakuoana wa maana kumbe ni bure kabisa. Inaonekana maslahi yako yamepigwa chini ndi ukaja na huu uzi wako wa jana wa kuponda.View attachment 3018377
Mama wa taifa ahitajo chawa kazi zake zinaongea zenyewe.
Sema wapi ajagusa upewe majibu.
Mama la mama
Piga kazi raisi Samia achana na makelele
Uzuri wa mkakaSiโฆView attachment 3018378
Nama la mama raisi wetu kipenzi
Raisi Samia Suluhu Hassan
Nani Kama mama
Wenye kumtungia uongo wajinyonge
View: https://m.youtube.com/watch?v=OllZtjchN2U&pp=ygURSksgYWZ1bmdhIG1hZnVuem8%3D
Somo la bure
CCM ndie mama, CCM yajenga nchi
CCM ndie baba, CCM yajenga nchi