CCM ndio chama

CCM ndio chama

Kwa staili hii yule bwana Yahaya Unaishi wapi akiomba utachomoa kweli?
Poyoyo mwengine Hakuna mtu mwenye muda wa kuongelea muwasho wa kipira chako.

Hoja hapa CCM ni chama

Mama Samia mtendaji

Elezea shida zako hapo ujibiwe

Maswala ya kuwashwa kupirq chako CCM aiwezi kukujibu, hizo ni shida zako binafsi.
 
Nimekuuliza swali vijana wa nchi hii wanapata faida gani kutete chama? Waache kazi zao maisha yao watee chama in return wanapata nini?
Hakuna anae tetea chama kama chama; kinachotetews ni ilani kazi ambayo chama umeahidi kuwafanyia wananchi.

Raisi Samia kateleza ilani ya chama na zaidi.

Wapi unadhani ajagusa sema ujibiwe.

Mama la mama raisi Samia
 
Good morning lengo ilikuwa kuwaonyesha haya mapoyoyo jinsi ya kukipiganis chama.

Naenda sinzia nikiamka Hakuna cha raisi Samia bali kuna ‘bi-tozo’ na ufisadi wake.

Vijana jifunzeni kutetea chama
 
Good morning lengo ilikuwa kuwaonyesha haya mapoyoyo jinsi ya kukipiganis chama.

Naenda sinzia nikiamka Hakuna cha raisi Samia bali kuna ‘bi-tozo’ na ufisadi wake.

Vijana jifunzeni kutetea chama
Vijana hawana hata pesa ya kununua MB, wanakipiganiaje?
 
Vijana hawana hata pesa ya kununua MB, wanakipiganiaje?
CCM ni itikadi sio hongo vijana wasijiongopee kutoba ndani ya CCM ni kutafuta namna ya kuonyesha uwezo wako.

Hakuna sehemu hao watu wa kuwaonyesha uwezo wako kama JF.
 
Unasema chama hakihitataji kutetewa, then na ku quote hapa
Lakin pia narudi pale pale vijana wanapata faida gani kutetea chama?
Uhitaji kutetea chama unahitaji kutetea misimamo na maamuzi yake (hiko ndio chama).

Kwa sasa kukitetea chama ni kuonyesha namna mama wa shoka, jemedari wetu na mwenyekiti wa chama alivyofikiq na kupitiliza malengo ya ilani ya chama.

Mapoyoyo hayataki Iła mama anapiga kazi sema, sema wapi kakwamq kwa ułani ya CCM upewe majibu yako.

CCM haipo kwa kubabaisha toa kero yako au usichoekewq ujibiwe; badala ya kwenda kusikiliza uongo wa Lissu

Mungu tulindie kiongozi wetu wa chama na raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Uko sahihi. ccm ni chama cha mafisi, majangili, wachawi, wezi, wabadhirifu, wapigaji, wauaji, wajinga, mashetani, nk.
Bahati mbaya CCM aijibu mambo ya kufirika, hivyo ni vitu vilivyo kichwani kwako tu: sio uhalisia.

Vinginevyo sema vitu vya msingi CCN kama cha kuwatumkia watanzania itajibu hoja żako.

Mungu Iibariki Tanzania
Mungu ibaraki CCM
Mungu mbariki raisi wetu Samia Suluhu Hassan
 
Kumbe umepokonywa BUYU LA ASALI ndo mana umeanza kutoa milio 😂😂😂
 
Back
Top Bottom