Ataelewekaje ameandika mkombozo? Au mkilima?.Hamjamuelewa mtoa uzi nyie kalaghenibaho....
Chama kilichotuandaa tusihoji eti sasa tunaitwa wanyonge kwavile hatuwezi kuhoji kwa sauti kubwa na ukihoji Kwa sauti kubwa unakuwa mchochezi jamani someni kuhusu ostracism mtanishukuru sanaWanaona kuita viumbe wa Mungu wanyonge kama ni sifa nzuri. Eti "wanyonge "!🤣🤣🤣🤣🤣
Laana inamtafuna Hadi anapata pepopunda ya Uandishi wa hovyoHajasema Mkombozi bali mkombozo, na hajawaongelea wakulima bali wakilima.
Wewe hujamuelewa? labda km nawewe unaahirisha kufikiri a. k. a kujizima dataHamjamuelewa mtoa uzi nyie kalaghenibaho....
Atakuwa mdogowe Bambo huyo.Mkombozo au mkhombothi?Wakulima/wakilima na wakwilima kutoka Simiyu!Hajasema Mkombozi bali mkombozo, na hajawaongelea wakulima bali wakilima.
Samahani mkuu, hiyo ni misamiati sahihi au mbwembwe tu?Atakuwa mdogowe Bambo huyo.Mkombozo au mkhombothi?Wakulima/wakilima na wakwilima kutoka Simiyu!
Yote kheri ilimradi anaeleweka.Na yeye ni mtu.Samahani mkuu, hiyo ni misamiati sahihi au mbwembwe tu?
Anamaanisha:
MKOMBOZO = MKOMBOZI
MKILIMA = MKULIMA
Chama cha Mapinduzi ndio mkombozo wa watu Wanyonge nchini. Chama cha wakilima na wafanyakazi.
Hao wanyonge watakombolewa lini? Au watakuwa wanyonge siku zote za uhai wa Chama cha wanyonge?Chama cha Mapinduzi ndio mkombozo wa watu Wanyonge nchini. Chama cha wakilima na wafanyakazi.
NB: uapisho wa Ramaphosa Boeing 787 abiria 246