CCM ni chama cha kipekee duniani

CCM ni chama cha kipekee duniani

Hili genge ni la kuondokana na
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
lo sasa.
 
Sababu Watanzania wenyewe wanakumbatia dini, kabila chama,mtu wa mjini au kijijini, utoto mwingi hawajui jinsi ya kuunganisha nguvu zao kwanza, kuangalia nani yupo serious na maendeleo.
Watanzania ukiwaona wanataka kuwa kitu kimoja katika kudai haki zao wachomekee mada yeyote itakayohusu Dini zao utawaona wanakosana haraka sana na ndio unakuwa ni mwisho wa umoja wao 😳🤦🏽‍♂️
Aibu !
 
Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa

Dunia nzima Kuna vyama vinatawala nchi zao na Kuna watawala. Lakini CCM ni chama Cha kipekee kabisa.

CCM haiwezi kuathiriwa kwa namna yoyote ile na mabadiliko ya Dunia. Kwa kuwa CCM ni chama cha kipekee duniani.

Kwa watu wa CCM hakuna wazo iko siku watanzania wataanza kuhoji ndugu zao wako wapi kama watu wa nchi nyingine wanavyohoji. CCM ni ya kipekee.

CCM haiwezi kuwakera watanzania mpaka wakaiasi kama wananchi wa nchi nyingine wanavyoasi vyama vyao vikongwe vya siasa. CCM ni ya kipekee.

CCM hata ifanye mabaya kiasi gani, itaendelea kuwa CCM isiyojirekebisha wala kurekebishwa. Kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee duniani.

CCM ni chama Cha kipekee Sana kiasi kwamba kuhoji huo upekee wake, ni kosa la kimaadili.
CCM au Police
 
Watanzania ukiwaona wanataka kuwa kitu kimoja katika kudai haki zao wachomekee mada yeyote itakayohusu Dini zao utawaona wanakosana haraka sana na ndio unakuwa ni mwisho wa umoja wao 😳🤦🏽‍♂️
Aibu !
Na kabila pia. Watoto wa mjini, vijijini, Kanda.
 
Waziri Mkuu wa Israel anashitakiwa mahakamani nchini mwake kwa makosa ya ufisadi. Kwa nchi inayoongozwa na CCM haiwezi kutokea kwa kuwa CCM ni chama Cha kipekee.

Wananchi wa Syria wameumaliza utawala wa zaidi ya miongo mitano wa familia ya kina Assad siku chache zilizopita. Kwa CCM haiwezi kutokea kwa kuwa ni chama cha kipekee.

Bunge la Korea ya Kusini, limepiga kura ya kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo aliyetangaza hali ya hatari kwa lengo la kujilinda kibinafsi kisiasa. Kwa CCM haiwezi kutokea kwa kuwa ni chama cha kipekee.
 
Back
Top Bottom