CCM ni ile ile, ndugu wakigombana shikeni jembe mkalime

CCM ni ile ile, ndugu wakigombana shikeni jembe mkalime

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
CCM ni ile ile jana juzi na kesho, ndugu wakigombana shikeni jembe mkalime 2025 wakipatana mpate mavuno, tunawaona jinsi watu wanavyodemka kwa kufuata midundo huu ndio utamaduni wa CCM kupata mtikisiko na kuzidi kujititia zaidi ni ngumu kuing'oa.

Kama haikuwezekana 2015 CCM walipoamua kushindanisha wagombea wawili mmoja akiwa upinzani na mmoja akiwa CCM na bado hamkushinda.

Tafuteni shughuli za kufanya hayo malumbano na mipasho haina muda itakufa fii.
Ushauri jiimarisheni uchaguzi upo karibu kuliko kukenua tu na CCM yenye demokrasia ya kweli kila mmoja yupo huru kuongea!

Vita ni akili mnapimwa nyinyi mafisi!
 
Naona leo mfadhili wako Polepole anataka kumwaga mboga wewe umekimbia na jungu la mboga.
Barter trade ilikuhusu kabisa kuliko wazazi kubaki na kijana usio na faida!
 
Nipo town kitambo sitegemei mtu next week safarini brunei kwa mara nyingine!
Kwani huko Brunei bado wanawatunza wazee wasiyojiweza?

Maana kazi yako ya kuwaogesha wazee wasiyo jiweza ilikuwa inakustili
 
Kwani huko Brunei bado wanawatunza wazee wasiyojiweza?

Maana kazi yako ya kuwaogesha wazee wasiyo jiweza ilikuwa inakustili
Kweli biashara ni matangazo hivyo nikuletee majakuzi kama kumi na sabuni za kufulia na kuogea!
 
Jibu swali hilo tuone kama hukosi chai ya kesho
 
Back
Top Bottom