kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Barter trade ilikuhusu kabisa kuliko wazazi kubaki na kijana usio na faida!Naona leo mfadhili wako Polepole anataka kumwaga mboga wewe umekimbia na jungu la mboga.
Nipo town kitambo sitegemei mtu next week safarini brunei kwa mara nyingine!Nakuonea huruma sijui hizo jerojero utazipata wapi tena masikini.
Kwani huko Brunei bado wanawatunza wazee wasiyojiweza?Nipo town kitambo sitegemei mtu next week safarini brunei kwa mara nyingine!
Coordinator mwenyewe Polepole angethubutu kunifuata ningemg'oa magegoBarter trade ilikuhusu kabisa kuliko wazazi kubaki na kijana usio na faida!
[emoji2][emoji2][emoji2]Coordinator mwenyewe Polepole angethubutu kunifuata ningemg'oa magego
Polepole ni jina la mtu?[emoji2][emoji2][emoji2]
Fanya adabu kuliko kutajataja majina ya watu bure!
Kweli biashara ni matangazo hivyo nikuletee majakuzi kama kumi na sabuni za kufulia na kuogea!Kwani huko Brunei bado wanawatunza wazee wasiyojiweza?
Maana kazi yako ya kuwaogesha wazee wasiyo jiweza ilikuwa inakustili
Mpaka utoke damu za maskio kama kenge!Polepole ni jina la mtu?
Brunei hiyo ndiyo kazi unayofanyagaKweli biashara ni matangazo hivyo nikuletee majakuzi kama kumi na sabuni za kufulia na kuogea!
Nakoseje chai kwenye pipa!Jibu swali hilo tuone kama hukosi chai ya kesho
Naona unatetemeka kisa kaguswa bosi wakoMpaka utoke damu za maskio kama kenge!
Labda pipa la kupikia gongoNakoseje chai kwenye pipa!
Nipo pale kwa mwaliko wa sultani kutoa darasa!Brunei hiyo ndiyo kazi unayofanyaga
Ukiambiwa huna akili unaona sifa!Labda pipa la kupikia gongo
Darasa jinsi ya kubeba mabox?Nipo pale kwa mwaliko wa sultani kutoa darasa!
Bosi mimi mwenyewe!Naona unatetemeka kisa kaguswa bosi wako