CCM ni Lazima Tuwe Accomodative Kwenye Katiba Mpya

CCM ni Lazima Tuwe Accomodative Kwenye Katiba Mpya

Heshima kwako, W. Macela,
Ni mawazo mazuri na kweli kama ulivyosema CCM inaweza kutawala miaka mingi na si milele kama ambavyo baadhi ya wana wa CCM wanavyojidanganya. Ningekuwa na uwezo ningewashauri CCM hivi, simamieni mchakato wa kuandika katiba mpya kwa kujiandaa kuwa wapinzani ili katiba ijayo iwe huru na ya haki kwa kila Mtanzania bila kujali itikadi yake, iwe kweli katiba ya wa Tanzania na si ya kusaidia CCM kuendelea kutawala. Mwl. Nyerere 1995 kwenye mkutano mkuu wa CCM alisema, Watanzania wanahitaji mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM.
 
Utumbo!!!!!! By the way suala la katiba mpya lilikuwa katika ilani ya uchaguzi ya CHADEMA!!! Ninyi magamba mmeparamia tu ilani ya chadema!!

CDM wangefanyaje hili bila ya wenye mamlaka na dola kukubaliana ? bila JK kwa huruma yake hili lisinge kuwepo.

 
Le Mutuz leo limeshuka nondo ila hiyo mistari miwili ya mwanzo kama CCM watatumia misimamo ya chama katika mabaraza ya katiba kuna hatari ya katiba mpya kuwa imetengezwa based on maoni ya CCM maana kwenye mabaraza ya katiba wao ndio wengi unless kama tume ya katiba itakuwa na uwezo wa kufanya uamuzi wa kuangalia maoni ya wachache pia kama vile ilivyotokea wakati wa kuanzishwa vyama vingi
 
- Sio siri kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya Kuandika Katiba mpya kwa sababu ndicho Chama kinachokubalika sana na Wananchi wengi na ndio chama tawala chenye nafasi kubwa na Mabaraza ya katiba. Lakini kama tusipokuwa makini tunaweza kujikuta tukipigana na kivuli chetu wenyewe, kwenye Siasa za kisasa ni muhimu sana kuwa Accomodative, kwa maana ya kwamba na sisi CCM tunahitaji kukubali kuchukua some bullets katika Katiba mpya hasa kwenye areas za Mgombea binafsi na Mawaziri kutokuwa Wabunge. CCM hatuwezi kuathirika na hizi hoja mbili infact zitatusaidia sana kujiimarisha na kuondokana na wasaliti wengi ndani ya chama chetu ambao ndio chanzo cha CCM kupoteza nafasi nyingi za ubunge uchaguzi uliopita.

1. MGOMBEA BINAFSI:- Pamoja na kwamba ni hoja inayoonekana kutisha sana, lakini ukweli ni kwamba ni hoja ambayo itawaumiza sana Wapinzani kuliko CCM, itatusaidia sana kuwapunguza waroho wa madaraka ndani ya Chama chetu, na ni guarantee kwamba wakisha jitosa huko hawatakuwa na future ya kisiasa zaidi tu ya kukwama hapo hapo watakapokuwa na mwisho sana wa safari yao itakuwa ni ubunge tu!!

- The Fear kwamba mgombea binafsi anaweza kushika urais ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza hata kuthubutu hilo na ndio maana wale wanaodaiwa kuwa miamba wa kugombea urais 2015 ndani ya CCM hakuna hata mmoja wao anayeweza kuthubutu kutoka CCM, maana wanajua nje ya CCM hawana ubavu. Tanzania ni kubwa sana kwa mgombea binafsi kuifikia kila kona ya Tanzania ili aweze kuchaguliwa kuwa Rais, ni CCM pekee yake kama chama ndio kina hiyo luxury ya kuwepo kila kona ya Taifa hili, hata Wapinzani hawajalifikia hilo kuna Wilaya nyingi sana za hili Taifa Wapinzani hawapo kabisa. Kwa hiyo kwa kuikubali hoja ya Mgombea binafsi CCM tutajipa nafasi kubwa sana ya kuondokana na mamluki ndani ya chama chetu!

2. MAWAZIRI KUTOKUWA WABUNGE:- Itatusaidia sana CCM kupunguza mifarakano yetu ya wakati wa kura za maoni na rushwa wakati wa uchaguzi. Waziri asiye Mbunge bado anawajibika kusimamia ilani ya chama kinachotawala kwa hiyo hana uhuru mkubwa sana kwa sababu bado ataitwa kwenye Vikao vya CCM kujibu maswali ya kwanini hatekelezi ilani ya Serikali ya CCM iliyomuajiri. Itaondoa kabisa magomvi makubwa sana ndani ya CCM sasa hivi ambayo yamesababisha Wapinzani kushika nafasi nyingi za ubunge nchini.

- Pamoja na kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya kuiandika katiba mpya ni muhimu sana tukawafikiria na wasiokuwa na huo uwezo na pia kujiwekea nafasi nzuri ya kutawala taifa hili kwa miaka mingi sana ijayo ni muhimu sana tukachukua risk ya hizo hoja mbili, CCM tuna Katiba mpya mbele yetu, ndio the only tool we have katika kujipanga kujiweka sawa na kutawala kwa miaka mingi sana hili taifa!

KIDUMU CHAMA TAWALA! KIDUMU CCM!

Le Mutuz
Malecela, NO, and BIG NO for that matter. Yaani mnataka kutunga katiba itakayopipendelea CCM kushinda? NO. Watanzania tunataka katiba itakayoleta ustawi wa maisha ya watu wote. Kwenye hili ningeshauri hizo ziasa ziachwe kwanza, tutafute katika ya nchi kwa ajili ya wananchi, si kwa ajili ya vyama vya siasa
 
Utumbo!!!!!! By the way suala la katiba mpya lilikuwa katika ilani ya uchaguzi ya CHADEMA!!! Ninyi magamba mmeparamia tu ilani ya chadema!!

Hapa umenena mkuu.HAta Chikawe na yule mama mwingine waziri aliyekuwa ktk wizara ya sheria na katiba alisema iliyopo inakidhi ,lile pungu..ani lingine mnaoliita mwanasheria (Weee ree maa) wa serikali lilipinga vikali mabadiliko ya katiba sasa hapo iweje wajichukulie misifa?

 
Huwa sikubaliani na maandiko yako mengi lakini kwenye andiko hili ninakuunga mkono. Hivi ni kwa nini wakati mwingine huwa unajichizisha mpaka unaonekana kuwa useless kama t/paper?
 
Hapa umenena mkuu.HAta Chikawe na yule mama mwingine waziri aliyekuwa ktk wizara ya sheria na katiba alisema iliyopo inakidhi ,lile pungu..ani lingine mnaoliita mwanasheria (Weee ree maa) wa serikali lilipinga vikali mabadiliko ya katiba sasa hapo iweje wajichukulie misifa?

Willy kakubali kuwa sio kila kitu wanachosema wapinzani ni kibaya. Kawataka magamba wenzie kukubali kukopa baadhi ya mazuri toka opposition. Actually kawapinga akina Werema, Chikawe na mama wa wizara ya sheria ya katiba
 
Pasco,

..lakini tunapoandika katiba tunatakiwa tutangulize maslahi ya nchi na wananchi.

..hatutakiwa kuendekeza masuala ya chama, na kuyatumbukiza ktk katiba.

..dhana ya kuendekeza maslahi ya chama, ndiyo imepelekea CCM kuvamia kwenye mabaraza ya katiba.

cc: EMT, Kiranga, Mag3
 
Last edited by a moderator:
- Sio siri kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya Kuandika Katiba mpya kwa sababu ndicho Chama kinachokubalika sana na Wananchi wengi na ndio chama tawala chenye nafasi kubwa na Mabaraza ya katiba. Lakini kama tusipokuwa makini tunaweza kujikuta tukipigana na kivuli chetu wenyewe, kwenye Siasa za kisasa ni muhimu sana kuwa Accomodative, kwa maana ya kwamba na sisi CCM tunahitaji kukubali kuchukua some bullets katika Katiba mpya hasa kwenye areas za Mgombea binafsi na Mawaziri kutokuwa Wabunge. CCM hatuwezi kuathirika na hizi hoja mbili infact zitatusaidia sana kujiimarisha na kuondokana na wasaliti wengi ndani ya chama chetu ambao ndio chanzo cha CCM kupoteza nafasi nyingi za ubunge uchaguzi uliopita.

1. MGOMBEA BINAFSI:- Pamoja na kwamba ni hoja inayoonekana kutisha sana, lakini ukweli ni kwamba ni hoja ambayo itawaumiza sana Wapinzani kuliko CCM, itatusaidia sana kuwapunguza waroho wa madaraka ndani ya Chama chetu, na ni guarantee kwamba wakisha jitosa huko hawatakuwa na future ya kisiasa zaidi tu ya kukwama hapo hapo watakapokuwa na mwisho sana wa safari yao itakuwa ni ubunge tu!!

- The Fear kwamba mgombea binafsi anaweza kushika urais ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza hata kuthubutu hilo na ndio maana wale wanaodaiwa kuwa miamba wa kugombea urais 2015 ndani ya CCM hakuna hata mmoja wao anayeweza kuthubutu kutoka CCM, maana wanajua nje ya CCM hawana ubavu. Tanzania ni kubwa sana kwa mgombea binafsi kuifikia kila kona ya Tanzania ili aweze kuchaguliwa kuwa Rais, ni CCM pekee yake kama chama ndio kina hiyo luxury ya kuwepo kila kona ya Taifa hili, hata Wapinzani hawajalifikia hilo kuna Wilaya nyingi sana za hili Taifa Wapinzani hawapo kabisa. Kwa hiyo kwa kuikubali hoja ya Mgombea binafsi CCM tutajipa nafasi kubwa sana ya kuondokana na mamluki ndani ya chama chetu!

2. MAWAZIRI KUTOKUWA WABUNGE:- Itatusaidia sana CCM kupunguza mifarakano yetu ya wakati wa kura za maoni na rushwa wakati wa uchaguzi. Waziri asiye Mbunge bado anawajibika kusimamia ilani ya chama kinachotawala kwa hiyo hana uhuru mkubwa sana kwa sababu bado ataitwa kwenye Vikao vya CCM kujibu maswali ya kwanini hatekelezi ilani ya Serikali ya CCM iliyomuajiri. Itaondoa kabisa magomvi makubwa sana ndani ya CCM sasa hivi ambayo yamesababisha Wapinzani kushika nafasi nyingi za ubunge nchini.

- Pamoja na kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya kuiandika katiba mpya ni muhimu sana tukawafikiria na wasiokuwa na huo uwezo na pia kujiwekea nafasi nzuri ya kutawala taifa hili kwa miaka mingi sana ijayo ni muhimu sana tukachukua risk ya hizo hoja mbili, CCM tuna Katiba mpya mbele yetu, ndio the only tool we have katika kujipanga kujiweka sawa na kutawala kwa miaka mingi sana hili taifa!

KIDUMU CHAMA TAWALA! KIDUMU CCM!

Le Mutuz
kumbe unaujua ukweli
 
Malecela, NO, and BIG NO for that matter. Yaani mnataka kutunga katiba itakayopipendelea CCM kushinda? NO. Watanzania tunataka katiba itakayoleta ustawi wa maisha ya watu wote. Kwenye hili ningeshauri hizo ziasa ziachwe kwanza, tutafute katika ya nchi kwa ajili ya wananchi, si kwa ajili ya vyama vya siasa

- Bahati mbaya sana kwamba CCM lazima ishiriki kama Chama cha Siasa na the worst ni chama kinachotawala sasa hivi so pole sana bro!!

Le Mutuz
 
- Bahati mbaya sana kwamba CCM lazima ishiriki kama Chama cha Siasa na the worst ni chama kinachotawala sasa hivi so pole sana bro!!

Le Mutuz
Nadhani CCM ndio wanapaswa kupewa pole kwa maana kuwa kama chama 'kinachotawala' katika hili hakiikupaswa kufikiria kwanza utawala bna badala yake kifikirie zaidi maslahi mapana ya watanzania.
Huu upofu wa kufikiria utawala zaidi ndio utakaotupayia katiba mbovu yenye maslahi mafupi ya wale waoafikiria kutawala zaidi badala ya ustawi wa watanzania na nchi kwa ujumla.
Sidhani kama katiba ya nchi ni jambo la 'mwamba ngoma'. Ninachokisema ni kuwa katika hili kila mmoja anatakiwa kufikiri juu ya maslahi yake, iwe ni chama cha siasa au kikundi cha ngoma. Katika hili sote tunapaswa kufikiri ustawi wa Tanzania na si vikundi vyetu
 
Pasco wa JF alishajitabilia nafasi ya Salva Pale ikulu iwapo kambi yake ambayo anaisemea itapita..EL group naona anakaribisha wenzake wajiunge
Mkuu Ben, kwanza sio kweli, mimi ndiye Salva wa ile kambi!, Salva wetu yupo, tena ni member humu!, wakati muafaka ukifika, mtamfahamu!.

Mimi ni "mpiga debe tuu!.
P.
 
Le MUTUZ baharia, kwa taarifa yako ni kwamba katiba inayoandikwa ni katiba ya nchi ya Tanzania na sio katiba ya kukilinda chama cha magamba!!!!
 
Kweli CCM hatuna washauri wa maana.
Wakati wenzetu CHADEMA wanafanya utafiti kujua nini watanzania wanakitaka na hapo ndio wanajenga hoja zao za msingi ili waje KUONGOZA vizuri nchi hii, sisi CCM kutwa tunakaa kupanga hila za kila namna ili tuendelee KUWATAWALA hao watanzania siku zote.
Haya ndio yananifanya nizidi kuwadharau sana wanaCCM wenzangu kila siku.

Poorer my CCM.
 
- Sio siri kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya Kuandika Katiba mpya kwa sababu ndicho Chama kinachokubalika sana na Wananchi wengi na ndio chama tawala chenye nafasi kubwa na Mabaraza ya katiba. Lakini kama tusipokuwa makini tunaweza kujikuta tukipigana na kivuli chetu wenyewe, kwenye Siasa za kisasa ni muhimu sana kuwa Accomodative, kwa maana ya kwamba na sisi CCM tunahitaji kukubali kuchukua some bullets katika Katiba mpya hasa kwenye areas za Mgombea binafsi na Mawaziri kutokuwa Wabunge. CCM hatuwezi kuathirika na hizi hoja mbili infact zitatusaidia sana kujiimarisha na kuondokana na wasaliti wengi ndani ya chama chetu ambao ndio chanzo cha CCM kupoteza nafasi nyingi za ubunge uchaguzi uliopita.

1. MGOMBEA BINAFSI:- Pamoja na kwamba ni hoja inayoonekana kutisha sana, lakini ukweli ni kwamba ni hoja ambayo itawaumiza sana Wapinzani kuliko CCM, itatusaidia sana kuwapunguza waroho wa madaraka ndani ya Chama chetu, na ni guarantee kwamba wakisha jitosa huko hawatakuwa na future ya kisiasa zaidi tu ya kukwama hapo hapo watakapokuwa na mwisho sana wa safari yao itakuwa ni ubunge tu!!

- The Fear kwamba mgombea binafsi anaweza kushika urais ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza hata kuthubutu hilo na ndio maana wale wanaodaiwa kuwa miamba wa kugombea urais 2015 ndani ya CCM hakuna hata mmoja wao anayeweza kuthubutu kutoka CCM, maana wanajua nje ya CCM hawana ubavu. Tanzania ni kubwa sana kwa mgombea binafsi kuifikia kila kona ya Tanzania ili aweze kuchaguliwa kuwa Rais, ni CCM pekee yake kama chama ndio kina hiyo luxury ya kuwepo kila kona ya Taifa hili, hata Wapinzani hawajalifikia hilo kuna Wilaya nyingi sana za hili Taifa Wapinzani hawapo kabisa. Kwa hiyo kwa kuikubali hoja ya Mgombea binafsi CCM tutajipa nafasi kubwa sana ya kuondokana na mamluki ndani ya chama chetu!

2. MAWAZIRI KUTOKUWA WABUNGE:- Itatusaidia sana CCM kupunguza mifarakano yetu ya wakati wa kura za maoni na rushwa wakati wa uchaguzi. Waziri asiye Mbunge bado anawajibika kusimamia ilani ya chama kinachotawala kwa hiyo hana uhuru mkubwa sana kwa sababu bado ataitwa kwenye Vikao vya CCM kujibu maswali ya kwanini hatekelezi ilani ya Serikali ya CCM iliyomuajiri. Itaondoa kabisa magomvi makubwa sana ndani ya CCM sasa hivi ambayo yamesababisha Wapinzani kushika nafasi nyingi za ubunge nchini.

- Pamoja na kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya kuiandika katiba mpya ni muhimu sana tukawafikiria na wasiokuwa na huo uwezo na pia kujiwekea nafasi nzuri ya kutawala taifa hili kwa miaka mingi sana ijayo ni muhimu sana tukachukua risk ya hizo hoja mbili, CCM tuna Katiba mpya mbele yetu, ndio the only tool we have katika kujipanga kujiweka sawa na kutawala kwa miaka mingi sana hili taifa!

KIDUMU CHAMA TAWALA! KIDUMU CCM!

Le Mutuz

Mbona hoja zako zinaonekana zina mashiko, lakini unakosea unapozilenga moja kwa moja kwa ccm wakati mchakato wa katiba ni wa watanzania wote, ni vizuri vitu vizuri kwa taifa letu ukaviaddress kwa watanzania wote kwa manufaa ya taifa letu
 
Back
Top Bottom