Babuu Rogger
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 1,529
- 1,119
Utumbo!!!!!! By the way suala la katiba mpya lilikuwa katika ilani ya uchaguzi ya CHADEMA!!! Ninyi magamba mmeparamia tu ilani ya chadema!!
Malecela, NO, and BIG NO for that matter. Yaani mnataka kutunga katiba itakayopipendelea CCM kushinda? NO. Watanzania tunataka katiba itakayoleta ustawi wa maisha ya watu wote. Kwenye hili ningeshauri hizo ziasa ziachwe kwanza, tutafute katika ya nchi kwa ajili ya wananchi, si kwa ajili ya vyama vya siasa- Sio siri kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya Kuandika Katiba mpya kwa sababu ndicho Chama kinachokubalika sana na Wananchi wengi na ndio chama tawala chenye nafasi kubwa na Mabaraza ya katiba. Lakini kama tusipokuwa makini tunaweza kujikuta tukipigana na kivuli chetu wenyewe, kwenye Siasa za kisasa ni muhimu sana kuwa Accomodative, kwa maana ya kwamba na sisi CCM tunahitaji kukubali kuchukua some bullets katika Katiba mpya hasa kwenye areas za Mgombea binafsi na Mawaziri kutokuwa Wabunge. CCM hatuwezi kuathirika na hizi hoja mbili infact zitatusaidia sana kujiimarisha na kuondokana na wasaliti wengi ndani ya chama chetu ambao ndio chanzo cha CCM kupoteza nafasi nyingi za ubunge uchaguzi uliopita.
1. MGOMBEA BINAFSI:- Pamoja na kwamba ni hoja inayoonekana kutisha sana, lakini ukweli ni kwamba ni hoja ambayo itawaumiza sana Wapinzani kuliko CCM, itatusaidia sana kuwapunguza waroho wa madaraka ndani ya Chama chetu, na ni guarantee kwamba wakisha jitosa huko hawatakuwa na future ya kisiasa zaidi tu ya kukwama hapo hapo watakapokuwa na mwisho sana wa safari yao itakuwa ni ubunge tu!!
- The Fear kwamba mgombea binafsi anaweza kushika urais ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza hata kuthubutu hilo na ndio maana wale wanaodaiwa kuwa miamba wa kugombea urais 2015 ndani ya CCM hakuna hata mmoja wao anayeweza kuthubutu kutoka CCM, maana wanajua nje ya CCM hawana ubavu. Tanzania ni kubwa sana kwa mgombea binafsi kuifikia kila kona ya Tanzania ili aweze kuchaguliwa kuwa Rais, ni CCM pekee yake kama chama ndio kina hiyo luxury ya kuwepo kila kona ya Taifa hili, hata Wapinzani hawajalifikia hilo kuna Wilaya nyingi sana za hili Taifa Wapinzani hawapo kabisa. Kwa hiyo kwa kuikubali hoja ya Mgombea binafsi CCM tutajipa nafasi kubwa sana ya kuondokana na mamluki ndani ya chama chetu!
2. MAWAZIRI KUTOKUWA WABUNGE:- Itatusaidia sana CCM kupunguza mifarakano yetu ya wakati wa kura za maoni na rushwa wakati wa uchaguzi. Waziri asiye Mbunge bado anawajibika kusimamia ilani ya chama kinachotawala kwa hiyo hana uhuru mkubwa sana kwa sababu bado ataitwa kwenye Vikao vya CCM kujibu maswali ya kwanini hatekelezi ilani ya Serikali ya CCM iliyomuajiri. Itaondoa kabisa magomvi makubwa sana ndani ya CCM sasa hivi ambayo yamesababisha Wapinzani kushika nafasi nyingi za ubunge nchini.
- Pamoja na kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya kuiandika katiba mpya ni muhimu sana tukawafikiria na wasiokuwa na huo uwezo na pia kujiwekea nafasi nzuri ya kutawala taifa hili kwa miaka mingi sana ijayo ni muhimu sana tukachukua risk ya hizo hoja mbili, CCM tuna Katiba mpya mbele yetu, ndio the only tool we have katika kujipanga kujiweka sawa na kutawala kwa miaka mingi sana hili taifa!
KIDUMU CHAMA TAWALA! KIDUMU CCM!
Le Mutuz
Utumbo!!!!!! By the way suala la katiba mpya lilikuwa katika ilani ya uchaguzi ya CHADEMA!!! Ninyi magamba mmeparamia tu ilani ya chadema!!
Willy kakubali kuwa sio kila kitu wanachosema wapinzani ni kibaya. Kawataka magamba wenzie kukubali kukopa baadhi ya mazuri toka opposition. Actually kawapinga akina Werema, Chikawe na mama wa wizara ya sheria ya katibaHapa umenena mkuu.HAta Chikawe na yule mama mwingine waziri aliyekuwa ktk wizara ya sheria na katiba alisema iliyopo inakidhi ,lile pungu..ani lingine mnaoliita mwanasheria (Weee ree maa) wa serikali lilipinga vikali mabadiliko ya katiba sasa hapo iweje wajichukulie misifa?
kumbe unaujua ukweli- Sio siri kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya Kuandika Katiba mpya kwa sababu ndicho Chama kinachokubalika sana na Wananchi wengi na ndio chama tawala chenye nafasi kubwa na Mabaraza ya katiba. Lakini kama tusipokuwa makini tunaweza kujikuta tukipigana na kivuli chetu wenyewe, kwenye Siasa za kisasa ni muhimu sana kuwa Accomodative, kwa maana ya kwamba na sisi CCM tunahitaji kukubali kuchukua some bullets katika Katiba mpya hasa kwenye areas za Mgombea binafsi na Mawaziri kutokuwa Wabunge. CCM hatuwezi kuathirika na hizi hoja mbili infact zitatusaidia sana kujiimarisha na kuondokana na wasaliti wengi ndani ya chama chetu ambao ndio chanzo cha CCM kupoteza nafasi nyingi za ubunge uchaguzi uliopita.
1. MGOMBEA BINAFSI:- Pamoja na kwamba ni hoja inayoonekana kutisha sana, lakini ukweli ni kwamba ni hoja ambayo itawaumiza sana Wapinzani kuliko CCM, itatusaidia sana kuwapunguza waroho wa madaraka ndani ya Chama chetu, na ni guarantee kwamba wakisha jitosa huko hawatakuwa na future ya kisiasa zaidi tu ya kukwama hapo hapo watakapokuwa na mwisho sana wa safari yao itakuwa ni ubunge tu!!
- The Fear kwamba mgombea binafsi anaweza kushika urais ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza hata kuthubutu hilo na ndio maana wale wanaodaiwa kuwa miamba wa kugombea urais 2015 ndani ya CCM hakuna hata mmoja wao anayeweza kuthubutu kutoka CCM, maana wanajua nje ya CCM hawana ubavu. Tanzania ni kubwa sana kwa mgombea binafsi kuifikia kila kona ya Tanzania ili aweze kuchaguliwa kuwa Rais, ni CCM pekee yake kama chama ndio kina hiyo luxury ya kuwepo kila kona ya Taifa hili, hata Wapinzani hawajalifikia hilo kuna Wilaya nyingi sana za hili Taifa Wapinzani hawapo kabisa. Kwa hiyo kwa kuikubali hoja ya Mgombea binafsi CCM tutajipa nafasi kubwa sana ya kuondokana na mamluki ndani ya chama chetu!
2. MAWAZIRI KUTOKUWA WABUNGE:- Itatusaidia sana CCM kupunguza mifarakano yetu ya wakati wa kura za maoni na rushwa wakati wa uchaguzi. Waziri asiye Mbunge bado anawajibika kusimamia ilani ya chama kinachotawala kwa hiyo hana uhuru mkubwa sana kwa sababu bado ataitwa kwenye Vikao vya CCM kujibu maswali ya kwanini hatekelezi ilani ya Serikali ya CCM iliyomuajiri. Itaondoa kabisa magomvi makubwa sana ndani ya CCM sasa hivi ambayo yamesababisha Wapinzani kushika nafasi nyingi za ubunge nchini.
- Pamoja na kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya kuiandika katiba mpya ni muhimu sana tukawafikiria na wasiokuwa na huo uwezo na pia kujiwekea nafasi nzuri ya kutawala taifa hili kwa miaka mingi sana ijayo ni muhimu sana tukachukua risk ya hizo hoja mbili, CCM tuna Katiba mpya mbele yetu, ndio the only tool we have katika kujipanga kujiweka sawa na kutawala kwa miaka mingi sana hili taifa!
KIDUMU CHAMA TAWALA! KIDUMU CCM!
Le Mutuz
Malecela, NO, and BIG NO for that matter. Yaani mnataka kutunga katiba itakayopipendelea CCM kushinda? NO. Watanzania tunataka katiba itakayoleta ustawi wa maisha ya watu wote. Kwenye hili ningeshauri hizo ziasa ziachwe kwanza, tutafute katika ya nchi kwa ajili ya wananchi, si kwa ajili ya vyama vya siasa
Duh!
Yani LE MUTUZ Waziri?
Kweli MACCM Kwishney!
Nadhani CCM ndio wanapaswa kupewa pole kwa maana kuwa kama chama 'kinachotawala' katika hili hakiikupaswa kufikiria kwanza utawala bna badala yake kifikirie zaidi maslahi mapana ya watanzania.- Bahati mbaya sana kwamba CCM lazima ishiriki kama Chama cha Siasa na the worst ni chama kinachotawala sasa hivi so pole sana bro!!
Le Mutuz
Mkuu Ben, kwanza sio kweli, mimi ndiye Salva wa ile kambi!, Salva wetu yupo, tena ni member humu!, wakati muafaka ukifika, mtamfahamu!.Pasco wa JF alishajitabilia nafasi ya Salva Pale ikulu iwapo kambi yake ambayo anaisemea itapita..EL group naona anakaribisha wenzake wajiunge
- Sio siri kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya Kuandika Katiba mpya kwa sababu ndicho Chama kinachokubalika sana na Wananchi wengi na ndio chama tawala chenye nafasi kubwa na Mabaraza ya katiba. Lakini kama tusipokuwa makini tunaweza kujikuta tukipigana na kivuli chetu wenyewe, kwenye Siasa za kisasa ni muhimu sana kuwa Accomodative, kwa maana ya kwamba na sisi CCM tunahitaji kukubali kuchukua some bullets katika Katiba mpya hasa kwenye areas za Mgombea binafsi na Mawaziri kutokuwa Wabunge. CCM hatuwezi kuathirika na hizi hoja mbili infact zitatusaidia sana kujiimarisha na kuondokana na wasaliti wengi ndani ya chama chetu ambao ndio chanzo cha CCM kupoteza nafasi nyingi za ubunge uchaguzi uliopita.
1. MGOMBEA BINAFSI:- Pamoja na kwamba ni hoja inayoonekana kutisha sana, lakini ukweli ni kwamba ni hoja ambayo itawaumiza sana Wapinzani kuliko CCM, itatusaidia sana kuwapunguza waroho wa madaraka ndani ya Chama chetu, na ni guarantee kwamba wakisha jitosa huko hawatakuwa na future ya kisiasa zaidi tu ya kukwama hapo hapo watakapokuwa na mwisho sana wa safari yao itakuwa ni ubunge tu!!
- The Fear kwamba mgombea binafsi anaweza kushika urais ni ndoto ya mwendawazimu, hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza hata kuthubutu hilo na ndio maana wale wanaodaiwa kuwa miamba wa kugombea urais 2015 ndani ya CCM hakuna hata mmoja wao anayeweza kuthubutu kutoka CCM, maana wanajua nje ya CCM hawana ubavu. Tanzania ni kubwa sana kwa mgombea binafsi kuifikia kila kona ya Tanzania ili aweze kuchaguliwa kuwa Rais, ni CCM pekee yake kama chama ndio kina hiyo luxury ya kuwepo kila kona ya Taifa hili, hata Wapinzani hawajalifikia hilo kuna Wilaya nyingi sana za hili Taifa Wapinzani hawapo kabisa. Kwa hiyo kwa kuikubali hoja ya Mgombea binafsi CCM tutajipa nafasi kubwa sana ya kuondokana na mamluki ndani ya chama chetu!
2. MAWAZIRI KUTOKUWA WABUNGE:- Itatusaidia sana CCM kupunguza mifarakano yetu ya wakati wa kura za maoni na rushwa wakati wa uchaguzi. Waziri asiye Mbunge bado anawajibika kusimamia ilani ya chama kinachotawala kwa hiyo hana uhuru mkubwa sana kwa sababu bado ataitwa kwenye Vikao vya CCM kujibu maswali ya kwanini hatekelezi ilani ya Serikali ya CCM iliyomuajiri. Itaondoa kabisa magomvi makubwa sana ndani ya CCM sasa hivi ambayo yamesababisha Wapinzani kushika nafasi nyingi za ubunge nchini.
- Pamoja na kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya kuiandika katiba mpya ni muhimu sana tukawafikiria na wasiokuwa na huo uwezo na pia kujiwekea nafasi nzuri ya kutawala taifa hili kwa miaka mingi sana ijayo ni muhimu sana tukachukua risk ya hizo hoja mbili, CCM tuna Katiba mpya mbele yetu, ndio the only tool we have katika kujipanga kujiweka sawa na kutawala kwa miaka mingi sana hili taifa!
KIDUMU CHAMA TAWALA! KIDUMU CCM!
Le Mutuz