CCM ni pagumu mno Profesa J wala Sugu wasingepewa nafasi CCM, FA nenda Kigamboni ACT unatoboa

CCM ni pagumu mno Profesa J wala Sugu wasingepewa nafasi CCM, FA nenda Kigamboni ACT unatoboa

mkuu kwa uzoefu wangu siasa ni upepo tu ,haina mambo ya kujiandaa ipo kama bahati nasibu.Wewe unadhani wale wabunge waliokuwa viti maalumu akina Mpango, Ummy mwalimu, Ndalichako na Kabudi kwenye Majimbo waliopita kwamba kulikuwa hamna wana CCM waliojindaa kuwazidi?? la hasha ni upepo wa kisuri suri umepita maana hata ingetokea katika hayo majimbo mtu amejindaa kwa miaka 10 bado asingeshinda na hata ingetokea mtu anayegombea nao ana hela kama MO pamoja na hela zake asingeshinda.
Unalosema ni kweli wote waliokuwa mawaziri wote wamepita wengi walitumia kigezo nimetumwa na Raisi kwahyo kuogopeka wakati urahisi na bunge lijalo wanarudi wabunge wale wale maana hela ya kiinua mgongo wamehonga sitegemei bunge lijalo kuwa na jipya maana damu ni zile zile, hata huko viti maalumu walioshinda asilimia kubwa ni waliokuwa viti maalumu wakaweza hata kuhonga.
Siasa zaweza kuwa upepo Ila inabidi uwe na base flani ya kushikwa mkono Kuna watu wamepata kura sifuri tumeona rushwa nje nje, naamini waliohonga ndo wameshinda, vijana waliokuwa mikono mitupu hawajapita
 
Kilicho mshinda kwa yule jamaa ni uzoefu katika mambo haya na jamaa anajua aingilie wapi na atokee wapi.ila kweli kajitahidi kwa kura alizopata...
Na ndio hyo shida huyo aliyeshinda ni kufanya mafyekeche mengi, na wazoefu kuhonga na marafiki zangu wamejaribu wameshindwa na wazoefu kisa hawakuweza kuhonga, Kuna haja pia ya kuangalia hyo kitu
 
mkuu kwa uzoefu wangu siasa ni upepo tu ,haina mambo ya kujiandaa ipo kama bahati nasibu.Wewe unadhani wale wabunge waliokuwa viti maalumu akina Mpango, Ummy mwalimu, Ndalichako na Kabudi kwenye Majimbo waliopita kwamba kulikuwa hamna wana CCM waliojindaa kuwazidi?? la hasha ni upepo wa kisuri suri umepita maana hata ingetokea katika hayo majimbo mtu amejindaa kwa miaka 10 bado asingeshinda na hata ingetokea mtu anayegombea nao ana hela kama MO pamoja na hela zake asingeshinda.
Bado suala litabaki palepale siasa za ndani ya Ccm ni kujipanga na uzoefu, hao ulio wataja baada tuu ya kupata hizo nafasi wakaanza kujipanga kuja kuwa wabunge wa Majimbo kwan kuna benefit zake, pia kutokuwa na uhakika wa kupata ile golden chance kwa mara nyingine.
 
Bado suala litabaki palepale siasa za ndani ya Ccm ni kujipanga na uzoefu, hao ulio wataja baada tuu ya kupata hizo nafasi wakaanza kujipanga kuja kuwa wabunge wa Majimbo kwan kuna benefit zake, pia kutokuwa na uhakika wa kupata ile golden chance kwa mara nyingine.
Mfano Tulia daily alikuwa kule mbeya jimboni anatengenexa mazingira anajuana na wajumbe tofauti na wengine ni wanachama hawajulikani hata na wajumbe wa tawi, uzoefu ni muhimu aisee hata kujipitisha kwa shughuli za chama
 
Shida ni wote kukimbilia ccm, wakati Kuna vyama vingine kijana ukitaka upate ubunge Bora kupitia upinzani ndo rahisi kule hamna rushwa ni uwezo tu
Huku upinzani it is about qualities/ qualifications
 
Mfano Tulia daily alikuwa kule mbeya jimboni anatengenexa mazingira anajuana na wajumbe tofauti na wengine ni wanachama hawajulikani hata na wajumbe wa tawi, uzoefu ni muhimu aisee hata kujipitisha kwa shughuli za chama
Kwani Tulia huko kachomoka?
 
Ila kajitahidi mwafa kapata kura 284 asikate tamaa aanze kujiandaa mapema

Ahame hilo chama chakavu ambalo huwezi kushinda bila rushwa,akihama tarehe 28 October saa 2 asubuhi anamtoa huyo afande.
 
Tulia kashinda kura za maoni kwa kura nyingi mno

Kwa miaka mitano huyo Tulia alikuwa anahonga pesa tu kwa wajumbe wa kamati ya roho mbaya. Akishinda na yeye anatafuta namna ya kurudisha pesa zake,hii inaitwa rushwa uzaa rushwa.
 
Kwa miaka mitano huyo Tulia alikuwa anahonga pesa tu kwa wajumbe wa kamati ya roho mbaya. Akishinda na yeye anatafuta namna ya kurudisha pesa zake,hii inaitwa rushwa uzaa rushwa.
Watu wanawekeza tu ili zirudi, nchi hii kupata kiongozi msafi ni shida mno
 
Back
Top Bottom