ccm oyeeeeeeeeeeeeeee.....!

ccm oyeeeeeeeeeeeeeee.....!

kinyangesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
247
Reaction score
86
:evil::wof::wof::flock::israel::israel:nashukuru kwa kunikaribisha humu. sheria ntzfuata wala hamna tatizo lkn salam hiyo isiwashtue kwan napenda kujua kama wpo hai uku thanqqqqxxxxxxxxxxxx great thkerz:crazy::der::A S 103:
 
Karibu ila polepole make naona umekuja na mkwara. Humu wapo kina mwigulu et al, ila wamejificha na ID.
 
karibu mkuu, ila kabla hujaingia huku ndani vua magamba yote huko huko...
 
:evil::wof::wof::flock::israel::israel:nashukuru kwa kunikaribisha humu. sheria ntzfuata wala hamna tatizo lkn salam hiyo isiwashtue kwan napenda kujua kama wpo hai uku thanqqqqxxxxxxxxxxxx great thkerz:crazy::der::A S 103:

Uandishi wako wa kifesibuku urudishe hukohuko. Humu hakuna watoto wenzako.
 
Iyo ni salamu ya kabila gani?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyu jamaa inaonekana ni gamba amekuja na ID mpya
 
:target: mzito kufikiri mwepes kusahau.....! tayar nina akaunt nyingine wakat ww unajiunga 2010 nilikuwa na miaka miwili ndan ya jf. nawacwac na ilo jina la ukoo ulilokopa...! MATEi
:shut-mouth::shut-mouth:
 
Karibu sana, mimi pia sio mwenyeji sana ila utawakuta wenyewe watakujulisha kona zote za jumba hili. Ukitaka tuonane uwe unakuja basi kwenye kijiwe cha mabisiness na wajasiliamali tupate tubadilishane mawazo. Sasa mbona uko mikono mitupu au ndo umeshamaliza zawadi zote? Si unajua mgeni njoo mwenyeji apone!
 
Back
Top Bottom