- Mkuu watu wenye akili nyingi sana duniani wanapokwama hurudi kwenye msingi wa walipotokea, binafsi ninakumbuka Lowassa na Rais wa sasa wakiitwa Boyz To Man, wakakodiwa ndege maalum ya kuwapeleka Dodoma dakika za mwisho wa kikao cha NEC ili wawe alternative ya kugombea urais, wananchi wa taifa hili we never questioned nani amelipia ile ndege, na WHY? Lowassa na Rais wa sasa nani aliwaita dakika za mwisho kwenda Dodoma kwa sababu no question kwamba hawakuitwa na Mwalimu!
- Lowassa alikuwa njiani kugombea urais ninachojua ni kwamba he was a serious candidate kuliko Rais wa sasa, sasa ilikuwaje akaamua kukaa pembeni na kumuachia Muungwana? Kuna dataz moja niliwahi kuzipata then, one time Lowassa alikuwa mahali akizungumza na mtu kwa siri sana, aliulizwa vipi Urais, akamjibu yule mtu tena with confdence sana kwamba "..ninaweza kuwa rais nikitaka maana this is my chance, lakini siwezi kuharibu utamaduni ambao inayokuja ni zamu ya Muisilamu kuwa Rais..." akaendelea "..mimi na Jakaya ni kitu kimoja, tumeongea na nimemfahamisha hilo kwamba ninamuachia kwa sasa.." haya yote niliyasema zamani
- Kwamba Lowassa atapata matatizo ya kisheria under Muungwana's watch haitakuja kutokea, kwamba atakuwa Rais in our watch ninasema haitakuja kutokea unless CCM ivunjike, yanayotukuta sasa ni matatizo tuliyoyataka wenyewe wananchi na hasa hawa waandishi wetu wa habari, we were so happy na political deals za short terms bila kujua nini hasara zake in the long terms na ndio what we are paying for now, Lowassa is fine for now, ingawa matatizo yake kisheria yapo pale pale ndio maana Rostam anayejua better analilia sana majaji kuamua kuhusu Richmond.
- Wananchi tunahitaji kua macho sana, ninaamini sana kwamba huyu Lowassa anajua kwamba yeye alivyo hawezi kugombea urais, isipokuwa kwa sababu he is so determined kua Rais, ataishia siku moja kutupiga changa zito sana la macho, ninaamini and I could be wrong pia, kwamba ata-push to end kugombea urais 2010 akijua sana kwamba hawezi kupata nafasi, in the process ataisukuma na kui-pressure our political system nzima to the wall that kutakua na a political deal ya kumrudisha kwenye power under some capacity, itakapofika 2015 Lowassa atamuweka mtu wake kuchukua urais halafu yule mtu hatamaliza kwa sababu atakazopewa na Lowassa yaani atajiuzulu, hapo ndipo huyu Lowassa ataliliwa na chama kizima achukue Urais ndio the only chance aliyonayo na ninaamini ndiyo njia atakayotumia kushika urais kama ndoto yake inavyomtuma.
Respect.
FMEs!