Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Nimekuelewa sanaNa iwapo Mwenge utashindwa kupeleka amani baada ya kukimbizwa mipaka yote ya Msumbiji, basi sisi Watanzania hatuna Tena sababu ya kuwa na kitu feki kinachogharimu mabilioni yetu kila mwaka bila sababu ya msingi.
Jamaa alitaka kutuokotaSI kweli. Tocha da liberdade ni neno tu la Kireno likiwa na maana tochi ya uhuru. Ila Msumbiji hamna Mwenge wa matambiko wa kuzunguka nchi nzima
Yule Rais Msaafu anaitwa Philippe Nyusi Ndio alikuja kujifunza kwa Samia sasa kimewaka.CCM waliifundisha Frelimo mbinu na njia chungunzima za kuiba kura na kuchezea uchaguzi, sasa Mozambique hailkaliki na hapalaliki, ni vita na machafuko kila sehemu.📌🔨
Mwenge upi? Kile kile kibatari kinachohamasisha uzinifu na ulevi?Mwenge wa uhuru tunaambiwa kwamba unaleta amani pasipo na amani, unaleta tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki.
Tanzania tumekuwa tukitumia mabilioni ya fedha za walipa Kodi kugharamia mbio za Mwenge nchi nzima.
Kwa kuwa Mozambique ni ndugu zetu wa damu, ni wakati sasa wa serikali ya CCM kupeleka Mwenge Msumbiji ili Mwenge upeleke amani ndugu zetu waache kuchinjana. Na iwapo Mwenge utashindwa kupeleka amani baada ya kukimbizwa mipaka yote ya Msumbiji, basi sisi Watanzania hatuna Tena sababu ya kuwa na kitu feki kinachogharimu mabilioni yetu kila mwaka bila sababu ya msingi.
CCM waliifundisha Frelimo mbinu na njia chungunzima za kuiba kura na kuchezea uchaguzi, sasa Mozambique hailkaliki na hapalaliki, ni vita na machafuko kila sehemu.
Sibishani ila uloza uambiwe!kipara kipya njoo huku unavuliwa nguo hadharani
Nenda utaambiwa!SI kweli. Tocha da liberdade ni neno tu la Kireno likiwa na maana tochi ya uhuru. Ila Msumbiji hamna Mwenge wa matambiko wa kuzunguka nchi nzima
Hicho hichoMwenge upi? Kile kile kibatari kinachohamasisha uzinifu na ulevi?
Asante sanaNimekuelewa sana
HakikaDR Congo nao no majirani kabisa wapeleke
Hamna MwengeNenda utaambiwa!
Anatetea ujinga wakekipara kipya njoo huku unavuliwa nguo hadharani
Umeona ehh.... Mbona wewooohYule Rais Msaafu anaitwa Philippe Nyusi Ndio alikuja kujifunza kwa Samia sasa kimewaka.