Elections 2010 CCM Primaries: Somebody got to say it... "It borders stupidity!"

Elections 2010 CCM Primaries: Somebody got to say it... "It borders stupidity!"

Wana msemo wao kuwa "kijani majani,CCM ina wenyewe".
 
Si shangai sana haya maana CCM ni chama kilichopotea muda mrefu, chakushangaza ni wengi kutarajia mazuri toka CCM;

Naona wanaccm karibu wote wana matatizo ya akili. Haiwezekani watu wenye akili timamu wakubali utaratibu huo mbovu.

Ndio maana sishangai ccm wanapofanya mipango mikubwa ya kuuza raslimali zetu kwa bei che.

Nachukia sana
 
Back
Top Bottom