Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hakuwahi fanyiwa vitendo hiki huko chadema. Huku kwetu kiumri amezeeka kimatendo amerudi utotoni. Aibu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha haya.Natamani nifike Iringa nimuone uso kwa macho bwana Petero. @AllenKilewela msalimie jamaa yako Peter.Sisi chadema tunasema badoo. Wambebeshe picha mpaka october 2025
Chadema walimpa heshima huko ccm wanamvua heshima.
Kikawaida watoto wadogo ndiyo hupewa picha na kutangulia nazo kwenye shughuli. Hii ni aibu kubwa. Ili tu tumbo lijae?Hakuwahi fanyiwa vitendo hiki huko chadema. Huku kwetu kiumri amezeeka kimatendo amerudi utotoni. Aibu sana.
View attachment 3060970
Le commandante is at large!Has retreted and surrendered to the lions' den.Gone!Dah! Ila hata kama ni njaa; this is too much. ccm inamdhalilisha Kamanda muasi!
Siamini kama ni Msigwa yule yule aliyekuwa akitoa nondo bungeni enzi zile. Alikuwa mtu wa maana sana siku zile.Hakuwahi fanyiwa vitendo hiki huko chadema. Huku kwetu kiumri amezeeka kimatendo amerudi utotoni. Aibu sana.
View attachment 3060970
Hata wanae amewaathiri sana Kisaikolojia..na kumbuka wale watoto walikuwa na uwezo wakupanda jukwaani kuinadi CHADEMA na Baba yao, tena kuna kamoja ka KIKE kalikuwa kana shusha nondo mithili ya Baba.Ila wamuonee huruma Kwani ana Familia na watoto, Kwenye issue hizo aandamane na mwanae