Ccm siasa ya arusha imewashindwa kabisa

Ccm siasa ya arusha imewashindwa kabisa

MbungeWaPhilips

Senior Member
Joined
Oct 17, 2013
Posts
186
Reaction score
15
Chama cha maccm arusha mjini wameishindwa chadema kwa kila namna matokeo yake wamekuwa wakiigiza kama zekomed wamekuwa wakitumia kila namna kumchafua rais wetu wa arusha mjini mp godbless lema lkni watu wa arusha pamoja na propoganda ya kitoto kufilisika kimawazo kifikra kimtazamo kiwelewa tunampenda mbunge wetu hata mseme nini tunampenda lema tuko tayari kufa nae popote hatutarudi nyuma daima mh lema arusha tunakupenda cna mbunge wetu tuko nyuma yako usiogope wala usivunjike moyo tunakupenda kama kama mtoto mchanga alutan contunua arusha tuko imara hatutishwi na uwoga wa ccm arusha wamebaki kuimba taarabu tunasonga mbele nawasilisha makamanda wangu wapenda haki
 
unajua dhambi ya kumchafua mtu bila kosa ndio hiyo_yeye kajitia bingwa wa kumchafua ZZK sasa na yeye M/mungu kamuonyesha maumivu wanayoyapata wenzake, atulie tu kama ni kweli au si kweli basi sisi ndo tunajua wananchi.
 
Mnafanya nini nyuma yake? umesema mponyuma yake
 
TAHADHARI; Ole Medeye wa Arumeru magharibi amejipa kazi ya kumbomoa
 
Acha kudanganya uma mko tayari kufa nae? Mbona bomu la SOWETO kila mtu alipita njia yake.muulizeni LEMA alibadilishia wapi magwanda? Akavaa kiraia
 
Acha kudanganya uma mko tayari kufa nae? Mbona bomu la SOWETO kila mtu alipita njia yake.muulizeni LEMA alibadilishia wapi magwanda? Akavaa kiraia

Lema hayupo Arusha muda sasa yupo kwenye mambo yaleeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwa hio mnapakatwa wote.maana kama mnampenda kama mtoto na sifa ya kupakatwa ipo.basi makamanda mna kazi.mtaweza kuvunja hata biskuti kweli?
 
Back
Top Bottom