Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Salaam wana jamvi,
Nimesoma maazimio ya kikao cha NEC ya Chama cha Mapinduzi, yameniacha na maswali bila majibu.
Kuna wengi hawajui,wanadhani CCM ni chama tuu cha siasa,kama vyama vingine, CCM sio chama tuu cha siasa kama
vyama vingine ,CCM ni chama na ni dola,hivyo CCM ni Chama dola, CCM ni dola!.
CCM ilipozaliwa ile 77,katiba ya CCM,ndio katiba ya JMT ya 1977,enzi hizo za chama kimoja,CCM ndio ilikuwa supremacy kuongoza Dola,hivyo CCM kwa chama kushika hatamu.
Tulipoingia mfumo wa vyama vingi,tulifanya
Mabadiliko ya katiba cosmetics tuu kwa kubadili maneno tuu ku replace neno chama kimoja,into vyama vingi,lakini katiba ni ile ile ya chama kimoja,CCM bado ni chama dola ni dola!
Mwenyekiti wa CCM ndie rais wa nchi,mkuu wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu!。There is no any dividing line between Mwenyekiti wa CCM , mkuu wa nchi,mkuu wa serikali,na CinC,is the one and the same person!.
Hivyo CCM sio tuu ni chama tawala, bali pia ni chama dola, ni dola !.
Hivi kweli CCM kama chama kina uwezo wa kumhoji spika wa the legistlature jinsi anavyoliendesha Bunge?!
CCM kimeunda kamati ya wenye busara kufuatilia uendeshaji wa Bunge!.
Madudu yote ya the executive CCM haijayaona wala kuyahoji kwa vile mkuu wa the executive ni mwenyekiti wa CCM hivyo CCM ni excutive party kinachodhibiti Bunge na kudhibiti judciary kunafuatia!
Je, tunarudi tena kwenye party supremacy?
CCM na Bunge nani zaidi?...ni
CCM!.
Naomba kuwasisha.
Pasco
Nimesoma maazimio ya kikao cha NEC ya Chama cha Mapinduzi, yameniacha na maswali bila majibu.
Kuna wengi hawajui,wanadhani CCM ni chama tuu cha siasa,kama vyama vingine, CCM sio chama tuu cha siasa kama
vyama vingine ,CCM ni chama na ni dola,hivyo CCM ni Chama dola, CCM ni dola!.
CCM ilipozaliwa ile 77,katiba ya CCM,ndio katiba ya JMT ya 1977,enzi hizo za chama kimoja,CCM ndio ilikuwa supremacy kuongoza Dola,hivyo CCM kwa chama kushika hatamu.
Tulipoingia mfumo wa vyama vingi,tulifanya
Mabadiliko ya katiba cosmetics tuu kwa kubadili maneno tuu ku replace neno chama kimoja,into vyama vingi,lakini katiba ni ile ile ya chama kimoja,CCM bado ni chama dola ni dola!
Mwenyekiti wa CCM ndie rais wa nchi,mkuu wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu!。There is no any dividing line between Mwenyekiti wa CCM , mkuu wa nchi,mkuu wa serikali,na CinC,is the one and the same person!.
Hivyo CCM sio tuu ni chama tawala, bali pia ni chama dola, ni dola !.
Hivi kweli CCM kama chama kina uwezo wa kumhoji spika wa the legistlature jinsi anavyoliendesha Bunge?!
CCM kimeunda kamati ya wenye busara kufuatilia uendeshaji wa Bunge!.
Madudu yote ya the executive CCM haijayaona wala kuyahoji kwa vile mkuu wa the executive ni mwenyekiti wa CCM hivyo CCM ni excutive party kinachodhibiti Bunge na kudhibiti judciary kunafuatia!
Je, tunarudi tena kwenye party supremacy?
CCM na Bunge nani zaidi?...ni
CCM!.
Naomba kuwasisha.
Pasco