CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

Maslahi ya CCM ndio maslahi ya taifa!.
P
Unakosea kwa hii statement. Maslahi ya Taifa ni mapana zaidi.

Yanajumuisha vyama vyote, wasio na vyama na mustakabali wa nchi miaka 20, 50, 100 ijao.

Wengi tu Watanzania hawana vyama, wako upinzani, watoto, wazee, walemavu nk.
 
Unakosea kwa hii statement. Maslahi ya Taifa ni mapana zaidi.

Yanajumuisha vyama vyote, wasio na vyama na mustakabali wa nchi miaka 20, 50, 100 ijao.

Wengi tu Watanzania hawana vyama, wako upinzani, watoto, wazee, walemavu nk.
CCM sio ni chama dola, CCM ni dola!, dola ni nchi hivyo CCM ni nchi .
P
 
Salaam wana jamvi,

Nimesoma maazimio ya kikao cha NEC ya Chama cha Mapinduzi, yameniacha na maswali bila majibu.

Kuna uwezekano kuwa CCM sio tuu ni chama tawala, bali pia ni chama dola?

Hivi kweli CCM kama chama kina uwezo wa kuhoji spika wa legistlature jinsi anavyoliendesha bunge?

Kimeunda kamati ya wenye busara kufuatilia uendeshaji wa bunge!.

Madudu yote ya the executive CCM haijayaona wala kuyahoji kwa vile mkuu wa executive ni mwenyekiti wa CCM hivyo CCM ni excutive party kinachodhibiti bunge na kudhibiti judciary kunafuatia!

Je, tunarudi tena kwenye party supremacy?

Swali ni je, CCM ni chama Dola?

CCM na Bunge nani zaidi?.

Naomba kuwasisha.

Pasco
Muda utaongea bado kidogo.
 
kwa vile mkuu wa executive ni mwenyekiti wa CCM hivyo CCM ni excutive party kinachodhibiti bunge

Swali ni je, CCM ni chama Dola?

CCM na Bunge nani zaidi?.

Naomba kuwasisha.

Pasco
.Kutokana nahali hii Waraka wa Kanisa Katoliki unakwenda kiwafikia Watanzania wengi zaidi ambao hawakupata fursa ya kuusikia aidha kutoka CCM,Chadema,au kupitia Waaharakati.Na Kumbuka Wakatoliki ni Wahafidhina ambao kupingana na maamuzi ya Kanisa lao ni ngumu sana!.
Mkuu MAKULUGA , karibu pande hizi, nimejibu hoja zako kule, zikanigomea, kwa naunga mkono hoja
Hapo ndipo CCM inapoenda kumomonyoka miongoni mwa wafuasi wake.Hali hii itachagizwa na hali mbaya ya Uchumi iliyopo mitaani katika kipindi hiki!
Sii kweli kwasababu kufikia 2025, hali ya uchumi itakuwa fit, matunda ya DPW na Bandari zetu tutakuwa tumeanza kuvunja, hivyo CCM itaendelea kupeta.
Huu ni ukweli mchungu sana Kwa Rais Samia amabaye alipata uungwaji mkono mkubwa na kundi ambalo halikumkubali Rais Magufuli,na Kwa hakika huu ulikuwa ni Mtaji mkubwa sana kwake
Mtaji huu bado anao na anakwenda nao hadi 2025.
ila bahati mbaya umepotea! Na atalazimika kutumia gharama kubwa kuurejesha..Athari hizi ni mbaya zaidi Kwa CCM .
Sii kweli, kwasababu ili CCM kushinda uchaguzi, haihitaji mtaji mkubwa kivile!, CCM tayari inao mtaji wake mkubwa ni watu, hata Wakatoliki wote wa nchi hii wakiamua kuikataa CCM, bado Watanzania wengine wote wataichagua CCM kwa sababu mbili.

1. Mafanikio ya Samia kufikia 2025 ni kidedea tuu kila kona!.
2. Sababu ya pili ni a bitter reality, kwa Tanzania, tuna chama kimoja tuu cha ukweli ambacho ni chama kwa maana halisi ya chama cha siasa, chama hiki chama kimoja tuu, the one and only, ambacho sio chama chama tuu bali ni chama dola!, CCM!, it's undefeated!.
P
 
Salaam wana jamvi,

Nimesoma maazimio ya kikao cha NEC ya Chama cha Mapinduzi, yameniacha na maswali bila majibu.

Kuna uwezekano kuwa CCM sio tuu ni chama tawala, bali pia ni chama dola?

Hivi kweli CCM kama chama kina uwezo wa kuhoji spika wa legistlature jinsi anavyoliendesha bunge?

Kimeunda kamati ya wenye busara kufuatilia uendeshaji wa bunge!.

Madudu yote ya the executive CCM haijayaona wala kuyahoji kwa vile mkuu wa executive ni mwenyekiti wa CCM hivyo CCM ni excutive party kinachodhibiti bunge na kudhibiti judciary kunafuatia!

Je, tunarudi tena kwenye party supremacy?

Swali ni je, CCM ni chama Dola?

CCM na Bunge nani zaidi?.

Naomba kuwasisha.

Pasco
Hii nchi imekuwa ya "Kiswahili Swahili" sana, yaani watu hawako makini na mambo makubwa ya nchi. ndiyo hiyo "uswahili". Umeongea "chama tawala" baadaye ukasema "chama cha Dola". Sasa "Dola" ni nini na "Chama tawala" ni nini? Kwanza miaka hiyo kwenye kamusi nasoma shule ya msingi Dola ilikuwa ni Empire, na mtu aliyekuja na hili neno "dola" alikuwa Mwinyi, hapo nwa "uswahili Swahili" sasa tunachanaganyanaa Kiswahili kama haatuna wataalaamu wa lugha ya kiswahili.

Haya yote unayouliza hapo ni kuchanganyana tu, CCM ni chama Tawala kama vile vile kama chama knignine kinaweza kuja kutawala kikawa chama Tawala, hamna supremacy yoyote ile, labda uongeze tu kuwa CCM ni kama genge la mafia
 
Hii nchi imekuwa ya "Kiswahili Swahili" sana, yaani watu hawako makini na mambo makubwa ya nchi.
Nakuunga mkono, ndio maana hata hili la DPW na Bandari zetu nilisema Watanzania ni Watu wa ajabu. Wanapigiaje kelele jambo dogo la Bandari, lakini Mambo Muhimu ya Msingi kama Katiba na Uhuru wao wapo Kimya?
Haya yote unayouliza hapo ni kuchanganyana tu, CCM ni chama Tawala kama vile vile kama chama knignine kinaweza kuja kutawala kikawa chama Tawala,
Hapa najua ulitaka kusema kuwa CCM ni chama tawala kama chama tawala kingine chochote, hivyo chama kingine kinaweza kutawala na kuwa chama tawala, ila kama hiko chama tawala ni chama dola, jicho chama kingine kinaanzia wapi hadi kije kishike dola wakati hiyo dola ndio CCM?.
hamna supremacy yoyote ile, labda uongeze tu kuwa CCM ni kama genge la mafia
Call it what you may, nilichofanya mimi ni kukuwekea facts tuu!.
P
 
Back
Top Bottom