Uchaguzi 2020 CCM Tabora hali tete, kampeni za CHADEMA zawachanganya, Waanza kuwadanganya wazee kwa vitambulisho vya matibabu ya bure, wazee wastuka!

Eti hofu ya Mungu labda Mungu wa kushona maana Mungu wa kweli hakubaliani na wauaji
 
Kiongozi anetubagua kwa itikadi za vyama ni. Mnafiki! Muongo! hana hofu ya Mungu! anajifikiria yeye tu!! Kiongozi aneua na kutesa watu wake!! kiongozi anefukarisha watu wake huyo ni wakumuogopa! jiwe hatufai!!
 
I see. Basi wamepiga pesa ndefu sana, kwa sababu kuna
  1. Mwambe wa Mtwara
  2. Kafulila
  3. Katambi
  4. Silinde
  5. Waitara
  6. Mollel
  7. Mtulia
  8. Lijua LIPOLE (likali)
  9. Gekul nk
Habari ndio hiyo
 
Sasa kama hawakupata awamu ya kwanza unataka wasipewe kabisa? WanaCdm tunaibishana.
 
Leo kwa mara nyingine Wazee wameahidiwa kwamba miaka mingine mitano ijayo, itatungwa Sera ya Wazee. Mwaka 2003 Sera ya wazee ilitungwa na hadi leo baada ya miaka 17 bado Sheria inayoendana na Sera hiyo haijatungwa. Wazee wamekuwa wakililia Sheria na wala si Sera. Tujaribu kuwa wakweli, ni dhambi mbaya sanaa kuwahadaa Wazee ambao siku zao za kuishi zinayoyoma kila uchao. Kwa miaka yote hii 17 zimetolewa ahadi lukuki kuhusu kutungwa kwa Sheria hiyo. Sasa tena wanarudisha kila kitu nyuma na kuanza upya. Wazee subirini tena miaka mingine kama hiyo kabla kilio chenu hakijajibiwa, na kiukweli wengi watakuwa wametangulia mbele ya haki.
 
Polepole kakiua Chama kwa tamaa za kijinga huwezi kumnunua Waitara kwa Milioni 600 halafu mnazigawana.
Endapo Magufuli atapita Basi viongozi wengi wa CCM watapigwa chini na wapambe wengi wa Magufuli watalia na kusaga meno
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…