johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chaguzi za 1995, 2000 na 2005 Machawa yalikuwa bado hayajaasisiwa na alitegemewa zaidi Captain John Komba na TOT kiukweli tulikuwa tunashinda kiwepesi na KURA tulihesabu hadharani bila hofu
Lakini tangu Chawa wateke kampeni za CCM kiukweli uchaguzi tunashinda kiugumu sana na Kwa ung'ang'anizi
Kwanini lakini?
Nimekaa pale 🐼
Lakini tangu Chawa wateke kampeni za CCM kiukweli uchaguzi tunashinda kiugumu sana na Kwa ung'ang'anizi
Kwanini lakini?
Nimekaa pale 🐼