Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
sasa kama chama kimeshindwa kutoa mlo wa mchana tuh kwa mawakala wao kwa siku kumi ndani ya awamu moja ya miaka mitano hapo kuna watu wenye akili timamu kweliUtawapimaje akili wakati wewe mwenyewe huna akili zote umemkabidhi Makalla umebakishiwa za kuvukia barabara na kwendea chooni tu.