Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Chama kimejaa matapeli tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maPS mnasomeshwa na serikali?Nimesoma kwa gharama za Serikali katika level zote!
UVCCM ni wasumbufu haswaAliyekusomesha alipoteza Fedha zake Bora ANGEHONGA na Kunywea Pombe
Wewe umesomeshwa na mbege!maPS mnasomeshwa na serikali?
Kwani wanavizia? Unless ni hawajiamini.Kuna baadhi ya wana-CCM wana tabia kama za Madereva na Makondakta wa Daladala wanaovaa sare kwa kuogopa askari na si kwa kuipenda kazi yao.
Kanuni zinasema ni lazima kuvaa sare wakati u napotekeleza majukumu muhimu ya chama.
Msiwe kama Chadema waliotupa yale magwanda yao ya kikamanda.