CCM tuache kuvaa sare kwa kuvizia, tutembee vifua mbele kama awamu ya 5!

Awamu iliyojaa wizi na ujambazi wa kura, unyanyasaji, ukatili na uuaji ndio unaiita kutembea kifua mbele? Ujinga mtupu
 
Kwani wanavizia? Unless ni hawajiamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…