CCM tuheshimu Amani ya Watanzania

CCM tuheshimu Amani ya Watanzania

Kufa c mwiko

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
752
Reaction score
320
Nianze kwa kuwapa pole na kuwaombea kwa mwenyezi Mungu ndugu zetu wote waliopata majanga ya mafuriko popote nchini Tanzania, pili nimpe pole Mh. Raisi mama Samia suluhu Hassan kwa kitendo cha kuzalilishwa kwenye mitandao, binafsi naamini ni utamaduni mbaya sana na hasa niliposikia waratibu wa huo uzalilishaji ni Mawaziri ambao ni wanachama wa chama Cha mapinduzi (CCM), niviombe vyombo vyote vya usalama na uchunguzi, vilifanyie kazi jambo hili na kuwaweka bayana wahusika kisha kuwapeleka mahakamani na iwe wazi kama wanavyofanya kwa wauza Bangi na gongo ili kufuta huu utamaduni wa hovyo.

Kuna jambo lingine nimelishuhudia juzi nikajiuliza, hivi ni kwanini hiki chama kikongwe CCM kinaichezea AMANI ya nchi hii? Nilienda kumtembelea jirani yangu muda mfupi akaja mama mmoja akijitambulisha kuwa ni balozi wa CCM kwenye shina la mtaa huo akiwa na daftari na peni akatuomba vitambulisho vya NIDA pamoja na vya mpiga kura.

Tukamuliza unavitaka vya nini, akasema anahitaji namba za hivyo vitambulisho pamoja na namba zetu za simu ni maandalizi ya uchaguzi mwaka huu. Tukamwambia sisi sio wanachama wa CCM akasema nachukua kwa wote kisha mtapigiwa simu, tukamtosa.

Sasa leo tena asubuhi na mapema kaja balozi mwingine mwanaume nyumbani kwangu kudai namba za hivyo vitambulisho nikakataa, akaniambia Ili zoezi ni la nchi nzima kama wewe unakataa!

Sasa nikabaki najiuliza, ina maana hawa CCM ndiyo hiyo Tume Huru ya Uchaguzi? Wasi wasi wangu zile kura ambazo zinaletwa zikiwa tayari zimeshapigwa mchakato wake ndio unaanza sasa, tafadhari CCM tulinde AMANI ya nchi yetu chama chenu ni kikongwe hakuna sababu ya kuiba uchaguzi tumieni ukongwe wa chama chenu.

Asante.
 
Nianze kwa kuwapa pole na kuwaombea kwa mwenyezi Mungu ndugu zetu wote waliopata majanga ya mafuriko popote nchini Tanzania, pili nimpe pole MH Raisi mama Samia suluhu Hassan kwa kitendo Cha kuzalilishwa kwenye mitandao, iba uchaguzi tumieni ukongwe wa chama chenu. Asante
CCM ni majizi ya kura yaliyokubuhu
 
Nianze kwa kuwapa pole na kuwaombea kwa mwenyezi Mungu ndugu zetu wote waliopata majanga ya mafuriko popote nchini Tanzania, pili nimpe pole Mh. Raisi mama Samia suluhu Hassan kwa kitendo cha kuzalilishwa kwenye mitandao,
Sasa viongozi wa dini badala ya kushughulika na maswala kama haya wanaenda kupigia selfie na makonda kwenye ofisi za umma.
 
Mchakato wa wizi umeanza mapema mno ni wakati wa kuchukua hatua mapema
Hawa wajinga kila wakati wa uchaguzi wanafanya huo ujinga nakumbuka nilishawahi kumtoa baru balozi wa CCM miaka ya nyuma hadi akatishia kunishitaki kuwa nimemtishia maisha.
 
Hawa wajinga kila wakati wa uchaguzi wanafanya huo ujinga nakumbuka nilishawahi kumtoa baru balozi wa CCM miaka ya nyuma hadi akatishia kunishitaki kuwa nimemtishia maisha.
Ungemuwashia moto kwa raia, mwizi mwizi wamchome moto
 
Nianze kwa kuwapa pole na kuwaombea kwa mwenyezi Mungu ndugu zetu wote waliopata majanga ya mafuriko popote

Asante.
akati CCM wanafanya kampeni na maandalizi ya ushindi wa kishindo nyumba kwa nyumba, we unashangaa 🤣

unadhani CCM wanaposema kampeni ya nyumba kwa nyumba ni mzaha eee....
Na bado....

mkishindwa uchaguzi mnalalamika baadae ooh mmeibiwa akati hakuna consultations yeyote na mwanainchi, mmeng'ang'ana tu ooh uchaguzi huru uchaguzi huru 🤣

Fanyeni mawasiliano na kuandaa wanachama wenu juu ya uchaguzi huo muhimu sana. Sasa uskute wameshafanya campaign ya awareness kwa zaidi ya wana CCM mia3 kwenye eneo hilo wewe tu ndio umeleta changamoto na bado wataendelea kuja kukushawishi🐒

hata hivyo hujasema yote 🤣
CCM inatumia sayansi katika siasa, na hisabati na mahesabu katika uchaguzi 🐒
 
akati CCM wanafanya kampeni na maandalizi ya ushindi wa kishindo nyumba kwa nyumba, we unashangaa 🤣

unadhani CCM wanaposema kampeni ya nyumba kwa nyumba ni mzaha eee....
Na bado....

mkishindwa uchaguzi mnalalamika baadae ooh mmeibiwa akati hakuna consultations yeyote na mwanainchi, mmeng'ang'ana tu ooh uchaguzi huru uchaguzi huru 🤣

Fanyeni mawasiliano na kuandaa wanachama wenu juu ya uchaguzi huo muhimu sana. Sasa uskute wameshafanya campaign ya awareness kwa zaidi ya wana CCM mia3 kwenye eneo hilo wewe tu ndio umeleta changamoto na bado wataendelea kuja kukushawishi🐒

hata hivyo hujasema yote 🤣
Sizani kama fuvu lako Lina ubongo uwenda ni la kutunzia mav Yako, ccm Wana mamlaka yapi ya kukusanya vitambulisho ambavyo ni Mali ya serikali, kwani ukiwa CCM ni lazima uwe mwehu!? Mbweha wewe
 
Sizani kama fuvu lako Lina ubongo uwenda ni la kutunzia mav Yako, ccm Wana mamlaka yapi ya kukusanya vitambulisho ambavyo ni Mali ya serikali, kwani ukiwa CCM ni lazima uwe mwehu!? Mbweha wewe
unaishia mihemko tu 🤣

na hiyo ni trela tu 🐒
 
Sipendi machoko
🤣 manyumbu bana 🤣

sasa unahemka na mipango ya vyama vyenye nia ya kuibuka washindi kwenye uchaguzi?

we lala na uje ulalamikie humu jukwaan na ndio uambulie patupu kwenye debe 🤣
 
🤣 manyumbu bana 🤣

sasa unahemka na mipango ya vyama vyenye nia ya kuibuka washindi kwenye uchaguzi?

we lala na uje ulalamikie humu jukwaan na ndio uambulie patupu kwenye debe 🤣
Kwa comments zako nimegundua unasukumwa kinyesi Mimi sio muumini wa ushetani wako
 
Back
Top Bottom