CCM tukiongeza umakini kidogo tu tutaendelea kushika dola miaka 100 ijayo

CCM tukiongeza umakini kidogo tu tutaendelea kushika dola miaka 100 ijayo

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Bila shaka hamna chama tawala barani Afrika kinachoenjoy upinzani dhaifu kama CCM.

Chama kikuu cha upinzani nchini, Chadema ni moja ya vyama ambavyo unaweza kuviendesha kisaikolojia kutoka uchaguzi mmoja mpaka uchaguzi mwingine katika kipindi cha miaka mitano, na ninashukuru hilo linawezekana na linafanyika ndani ya CCM.

Siku Chadema wakiamka kudai katiba mpya, CCM inaweza kumtumia moja ya makada wake mwaminifu(mf Diallo) kutoa kauli tata, basi Chadema wote wataacha kujadili Chadema watahamia kwa Diallo.

Wakianza chokochoko tena, kwa kupitia mpango maalum Sabaya anaweza kutoka kwa dhamana au Makonda anaweza kwenda kuripoti kituo cha polisi basi Ufipa wote watahamia huko na kuacha tena suala la katiba.

Baada ya muda sio mrefu miaka mitano itakuwa imekatika hivi, uchaguzi huu hapa na hawana cha kuonesha kwa wapiga kura, wanapigwa tena chini. Wanarudi kulalamika kwa wananchi.

Naiona miaka 50 mingine ya CCM madarakani hii hapa kabisa.
 
Mwisho wenu umefika

Kama kuchota maji Airport kuja kumwagilia Kariakoo wakati maji yako Feri

Teh teh teh....
 
Hakuna cha umakini wala nini watanzania nadhani hawa umakini kwenye masuala mengi ya msingi yote hayo yafanyikayo ni spinnimg to kuhamisha fikra za watanzania.

Ni katikati ya madai serious ya katiba imefanyika spinning ya kuleta "meme" ya yule dereva ghafla akili za watanzania zimehama ukijumlisha na tukio la moto basi watu wamehama.

Katiba mpya ni suala linalomhusu hata mtoto mchanga aliyezaliwa leo! Kwani zile rotary phone tulizokua tunatumia miaka ile ya 90 kurudi nyuma ndio tunatumia leo?? Jibu ni hapana.


Population ya mwaka 1977 muda katiba inaundwa ndio sawa na leo jibu ni hapana kwa kifupi ni kuwa mahitaji yaliyokuwapo 197 hayafanani na 2021 kadhalika pia kwa tamaduni ,rasilimali nk

Ila utakuta suala la katiba anazungumziwa CHADEMA , ila machinga huyi huyu ndio aliekua haoni umuhimu wake kwa kujidanganya mtetezi wa wanyonge yupo ila hayupo sasa wanaanza kulia je tungekuwa na katiba nzur hata aondoke nani na kuja nani tutabaki kufahamu misingi ni ile ile.

So CCM bado ina mtaji wa asilimia kubwa ya watanzania wajnga ila sio umakini.
 
Mbowe ni kiongozi makini sana, ndio maana amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutembea na akili za wanachadema wote mfukoni mwake.
 
Bila shaka hamna chama tawala barani Afrika kinachoenjoy upinzani dhaifu kama CCM.

Chama kikuu cha upinzani nchini, Chadema ni moja ya vyama ambavyo unaweza kuviendesha kisaikolojia kutoka uchaguzi mmoja mpaka uchaguzi mwingine katika kipindi cha miaka mitano, na ninashukuru hilo linawezekana na linafanyika ndani ya CCM.

Siku Chadema wakiamka kudai katiba mpya, CCM inaweza kumtumia moja ya makada wake mwaminifu(mf Diallo) kutoa kauli tata, basi Chadema wote wataacha kujadili Chadema watahamia kwa Diallo.

Wakianza chokochoko tena, kwa kupitia mpango maalum Sabaya anaweza kutoka kwa dhamana au Makonda anaweza kwenda kuripoti kituo cha polisi basi Ufipa wote watahamia huko na kuacha tena suala la katiba.

Baada ya muda sio mrefu miaka mitano itakuwa imekatika hivi, uchaguzi huu hapa na hawana cha kuonesha kwa wapiga kura, wanapigwa tena chini. Wanarudi kulalamika kwa wananchi.

Naiona miaka 50 mingine ya CCM madarakani hii hapa kabisa.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala, CCM hii haina tofauti na Bokoharam.
 
Katika watu wanatambulika kwa uhuni na ubahatishaji ni mleta uzi.Ila huwa haelewi.Nimemuibia siri.Fisi watakuja kukudanganya ili wakutumie.Kalaghabaho!Dunia imebadilika.
 
Mbowe ni kiongozi makini sana, ndio maana amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutembea na akili za wanachadema wote mfukoni mwake.
Sifa kuu ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamu
FB_IMG_1604027510826.jpg
JamiiForums313878302.jpg
JamiiForums34820377.jpg
 
Hakuna cha umakini wala nini watanzania nadhani hawa umakini kwenye masuala mengi ya msingi yote hayo yafanyikayo ni spinnimg to kuhamisha fikra za watanzania.

Ni katikati ya madai serious ya katiba imefanyika spinning ya kuleta "meme" ya yule dereva ghafla akili za watanzania zimehama ukijumlisha na tukio la moto basi watu wamehama.

Katiba mpya ni suala linalomhusu hata mtoto mchanga aliyezaliwa leo! Kwani zile rotary phone tulizokua tunatumia miaka ile ya 90 kurudi nyuma ndio tunatumia leo?? Jibu ni hapana.


Population ya mwaka 1977 muda katiba inaundwa ndio sawa na leo jibu ni hapana kwa kifupi ni kuwa mahitaji yaliyokuwapo 197 hayafanani na 2021 kadhalika pia kwa tamaduni ,rasilimali nk

Ila utakuta suala la katiba anazungumziwa CHADEMA , ila machinga huyi huyu ndio aliekua haoni umuhimu wake kwa kujidanganya mtetezi wa wanyonge yupo ila hayupo sasa wanaanza kulia je tungekuwa na katiba nzur hata aondoke nani na kuja nani tutabaki kufahamu misingi ni ile ile.

So CCM bado ina mtaji wa asilimia kubwa ya watanzania wajnga ila sio umakini.
Huu ndiyo mtaji wa CCM
IMG-20191109-WA0000.jpg
 
Bila shaka hamna chama tawala barani Afrika kinachoenjoy upinzani dhaifu kama CCM.

Chama kikuu cha upinzani nchini, Chadema ni moja ya vyama ambavyo unaweza kuviendesha kisaikolojia kutoka uchaguzi mmoja mpaka uchaguzi mwingine katika kipindi cha miaka mitano, na ninashukuru hilo linawezekana na linafanyika ndani ya CCM.

Siku Chadema wakiamka kudai katiba mpya, CCM inaweza kumtumia moja ya makada wake mwaminifu(mf Diallo) kutoa kauli tata, basi Chadema wote wataacha kujadili Chadema watahamia kwa Diallo.

Wakianza chokochoko tena, kwa kupitia mpango maalum Sabaya anaweza kutoka kwa dhamana au Makonda anaweza kwenda kuripoti kituo cha polisi basi Ufipa wote watahamia huko na kuacha tena suala la katiba.

Baada ya muda sio mrefu miaka mitano itakuwa imekatika hivi, uchaguzi huu hapa na hawana cha kuonesha kwa wapiga kura, wanapigwa tena chini. Wanarudi kulalamika kwa wananchi.

Naiona miaka 50 mingine ya CCM madarakani hii hapa kabisa.
Mbona bila hata umakini CCM wanachukuaga tu dola.
 
Bila shaka hamna chama tawala barani Afrika kinachoenjoy upinzani dhaifu kama CCM.

Chama kikuu cha upinzani nchini, Chadema ni moja ya vyama ambavyo unaweza kuviendesha kisaikolojia kutoka uchaguzi mmoja mpaka uchaguzi mwingine katika kipindi cha miaka mitano, na ninashukuru hilo linawezekana na linafanyika ndani ya CCM.

Siku Chadema wakiamka kudai katiba mpya, CCM inaweza kumtumia moja ya makada wake mwaminifu(mf Diallo) kutoa kauli tata, basi Chadema wote wataacha kujadili Chadema watahamia kwa Diallo.

Wakianza chokochoko tena, kwa kupitia mpango maalum Sabaya anaweza kutoka kwa dhamana au Makonda anaweza kwenda kuripoti kituo cha polisi basi Ufipa wote watahamia huko na kuacha tena suala la katiba.

Baada ya muda sio mrefu miaka mitano itakuwa imekatika hivi, uchaguzi huu hapa na hawana cha kuonesha kwa wapiga kura, wanapigwa tena chini. Wanarudi kulalamika kwa wananchi.

Naiona miaka 50 mingine ya CCM madarakani hii hapa kabisa.

Watakubishia ila hata miaka 200 inawezekana sana. Hatu upinzani wenye afya wala makini Tanzania

IMG-20210714-WA0014.jpg
 
Back
Top Bottom